Serikali iingilie kati wizi unaofanywa na Halotel

Mkuu umeandika vizuri sana na inaonekana wewe ni mtaalamu wa haya mambo.

Lakini kwa hoja yako mimi ninabishi kuwezekana Tz kwa kupitia Ttcl kupitia utawala huu.

Ttcl ndiyo "baba" la mawasiliano nchini na ndiyo shirika la Taifa la mawasiliano.

Cha kujiuliza: kwanini washindwe kuunganisha Taifa ki mtandao wa mawasiliano na kwa nini washindwe kupunguza gharama za bando na matumizi yote ya simu?

Kumbe sasa usilolijua ndiyo linakupa matumaini kwamba Ttcl wanaweza kufanya kwa mafanikio yote uyawazayo, jambo hilo haliwezekani.

Hivi kwa serikali hii ya awamu ya 6 jinsi wanavyochukuliana waweza kuamini shirika la umma linaweza kuondoa ama kupunguza kero za raia Tz?

Kuna mumiani wavurugaji ambao kazi yao ni kuzuia kupunguza ama kushawishi kuhusu kupandisha bei, wamekaa kama mashetani hawana rangi wala sura, lakini wapo.

Jambo hilo ni gumu sana.
 
Karibu Airtel wezi wengine
Ukinunua mb500 ukifungua Instagram ukasoma post mbili za Mwijaku unaambiwa umeshatumia 75%
 
Usihofu Nape atashughulikia hili
 
Mkuu unaipataje hiyo free basic ya kuingia Jf bila bando? Maana mim nimeitafuta bila mafanikio
 
Mkuu unaipataje hiyo free basic ya kuingia Jf bila bando? Maana mim nimeitafuta bila mafanikio
unabofya www. Freebasics. com kwenye browser haswa chrome hapo unapeta tu lkn app yake inazingua.Kisha utakutana na wikipedia ,bbc Swahili nk km Jf haipo nenda kwny kuongeza huduma za kutumia utaikuta then una iadd mchezo unaisha mda wowote online.
 
Karibu Airtel wezi wengine
Ukinunua mb500 ukifungua Instagram ukasoma post mbili za Mwijaku unaambiwa umeshatumia 75%
Hahaha!! mm siwasahau Airtel mb 600 ziliisha kwa notifications za wasap na You2be mpk leo nimejiwekea sitotumia mimi na wao maadili forever .
 
unabofya www. Freebasics. com kwenye browser haswa chrome hapo unapeta tu lkn app yake inazingua.Kisha utakutana na wikipedia ,bbc Swahili nk km Jf haipo nenda kwny kuongeza huduma za kutumia utaikuta then una iadd mchezo unaisha mda wowote online.
Shukran mkuu
 
Kila cku Hawa jamaa wanapunguza tuh mim ninamwez huu neona bora nihie tigo kdogo napata unafuu, Ila Hawa jamaa ni hatar,,,
 
Mm saizi nimeamua Bora nitoe 1500 nipate GB 1 Tigo ,kuliko hao wajinga hallotel 1000 MB 600 na hizo MB zenyewe kama MB 100 tu . Mwezi wa pili huu sijaunga bando Wala sms hallotel
 
halotel ni wahuni waliojificha kwenye biashara ya mtandao wa simu.nilikosea kutuma pesa kwenye namba ya tigo. Baada ya kuwapigia wakasema pesa imeshaenda tigo. nikawapigia tigo wakablock pesa kisha wakairudisha halotel

Halote walikubali pesa imeingia kwao nisubiri ndani ya saa 48 nitapokea.kila nikipiga simu ahadi haziishi. nikaenda ofisini kwao wanipanga njoo tarehe fulani mpaka nikachoka kuifuatilia.

suala la vocha ukiweka ukiambiwa haipo ni kawaida. ukipiga simu mchana wanapokea kesho yake asubuhi nà sound juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…