Serikali iingilie mavazi harusini

Serikali iingilie mavazi harusini

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Yaani watu hawavai kwa adabu harusini, why? Itungwe sheria kudhibiti mavazi ya ovyo. Inatutoa kwenye udhu

fafadiamond__20200612_201449_0.jpg


super_bbw_pears_20200609_223801_0.jpg


adjoa_korang_obeng_20200602_104444_0.jpg


divateetee_20200527_165957_2.jpg


umbeamtam.og_20200614_203934_0.jpg
 

Attachments

  • nivurugenikuvuruge_1635413772021.mp4
    5.2 MB
Kwani kuvaa kwa adabu kukoje, punguza tamaa

Kwanza unafahamu mavazi ya usiku/ jioni
 
Iiiiii!!!!!.....watu wana ma..ta.k..o kama vile alama ya kuuliza imegeuzwa...
Ama kweli some people were created while others were constructed
 
Nahis ww ndio ujui kuwa kila sehemu kuna ustaraab wake kuendana na wahusika wa shyghuri wenyewe wapoje japo unaweza ukazidi mipaka kidogo.


Sasa myu mwenyewe kajaa mitattoo unategemea avaaje?
 
Raha ya harusi vaa nusu kitumbua nje sio unavaa kama umeenda kanisani kutubu dhambi
 
Mkuu kwani kwenye kadi ya mualiko uliambiwa ukaangalie mavazi au kula ubwabwa?
 
Kama hutaki tuachie siye ndo burudani yetu, siyo kila binti tukamvue chumbani tuone yaliyomo, akipita barabarani unaona upaja unaridhika.
 
Huyo wa hivyo, huku kwetu anaingia hata misa ya pili kabisa na sadaka anaenda kutoa fresh kabisa bila noma pale mbele
 
Ni ujinga tu wa kutaka kila mtu afanye unavyoona wewe inafaa!

Ukimaliza hapo utasema serikali iweke na machine ya EFD kwenye harusi maana kuna watu wanawatuza maharusi!

Upinbi kweli huu!
 
Back
Top Bottom