Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Dar es salaam ina kanda kuu kama nne hivi, KANDA YA GONGOLAMBOTO na viunga vyake, KANDA YA MBAGARA na viunga vyake, KANDA YA MBEZI BEACH na viunga vyake na KANDA YA MBEZI LOUIS/KIMARA na viunga vyake.
Serikali ijenge barabara katika kanda hizi.
Barabara ziwe za kulipia angalau 2000-5000 kwa gari binafsi na 5000-10000 kwa gari za abiria.
Hizi barabara ziwe na vituo vichache tu na speed ni kuanzia 80 km/h - 120 km/h. Chini ya speed hiyo ni faini.
Hapo mtu utaweza kuondoka Tegeta saa moja na nusu na kufika kazini Posta saa mbili kamili
Dar es salaam ina kanda kuu kama nne hivi, KANDA YA GONGOLAMBOTO na viunga vyake, KANDA YA MBAGARA na viunga vyake, KANDA YA MBEZI BEACH na viunga vyake na KANDA YA MBEZI LOUIS/KIMARA na viunga vyake.
Serikali ijenge barabara katika kanda hizi.
Barabara ziwe za kulipia angalau 2000-5000 kwa gari binafsi na 5000-10000 kwa gari za abiria.
Hizi barabara ziwe na vituo vichache tu na speed ni kuanzia 80 km/h - 120 km/h. Chini ya speed hiyo ni faini.
Hapo mtu utaweza kuondoka Tegeta saa moja na nusu na kufika kazini Posta saa mbili kamili