Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
-
- #81
DuuhhNaomba niongee hili toka rohoni na nitangulize kuomba radhi kwa watakaokwazika na hili andiko langu
Yeyote aliyehusika na kifo cha mwanakwenda awe pekeyake ama kikundi anastahili kupewa heshima kubwa na kutambuliwa kama shujaa wa Taifa...
Matumizi mabaya ya uhuru,freedom of speech ipo ila freedom after speech itategemea umeandika niniK
Labda ni kweli.?Mama amesharuhusu Uhuru wa vyombo vya habari.Ww unakuja na ukandamizaji was habari.Hauoni kuwa haumtendei haki?Au ni ww unahusika nn?
Haya sasa umeona kwanini hujampiga breki huyo au kwa sababu wewe na yeye wamoja?Duuhh
Wewe unaongea nini? Sasa hivi zipo mpaka za 15yrs bila kubadilishwa.kama una dr wa moyo yupo nje ya nchi muulize utapata jibuHuyu kafa kwa mfumo wa umeme wa Moyo Pacemaker basi. Hayo mengine unalazimisha wewe. Hakuna Mtu duniani aliwahi kuishi na kifaa Cha pacemaker kwa zaidi ya miaka 10. Kama yupo tupe jina lake na nchi yake.
Wakamatwe na wa chadema wanosema uongo kila siku.Huu ujingaujinga utaligawa Taifa, Kila siku habari mpya ya jinsi alivyouawa. Wanakera mno watu hawa. Ajabu Rais alisema atawakamata, ajabu hawakamatwi.
Huyo fisadi alikufa kwa matatizo yake binafsiNaona watu wapo busy kutaka file la namna JPM alivyokufa lifutwe. Sasa litafutwaje kwa mfano.
Rais kututangazia kwamba kilichomuua JPM ni tatizo la mfumo wa moyo lilomsumbua kwa zaidi ya miaka 10, haiondoi nadharia kwamba inawezekana kuna mkono wa mtu/watu waliotumia hilo tatizo la moyo kuharakisha kifo chake. Yote katika yote ni kwamba lazima udadisi ufanyike, za kuambiwa changanya na za kwetu.
Huyu hakuwa tu JPM, huyu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyeifanyia makubwa nchi yetu. Kuzika tu na kusahau ni hatari kwa usalama wa viongozi wetu wajao, iwapo kifo cha JPM kitaachwa juu juu tu.
Magufuli aliwekewa ya miaka 10 mwaka 2011 Enzi hizo ndiyo za muda mrefu. Umenielewa?Wewe unaongea nini? Sasa hivi zipo mpaka za 15yrs bila kubadilishwa.kama una dr wa moyo yupo nje ya nchi muulize utapata jibu
Wewe dogo sio wa kuniambia kitu chochote kuhusu jpm.kawaeleweshe watoto wenzio.Magufuli aliwekewa ya miaka 10 mwaka 2011 Enzi hizo ndiyo za muda mrefu. Umenielewa?
Makubwa yapi kutunyima Ajira? Bora Amekufa kwakweliNaona watu wapo busy kutaka file la namna JPM alivyokufa lifutwe. Sasa litafutwaje kwa mfano.
Rais kututangazia kwamba kilichomuua JPM ni tatizo la mfumo wa moyo lilomsumbua kwa zaidi ya miaka 10, haiondoi nadharia kwamba inawezekana kuna mkono wa mtu/watu waliotumia hilo tatizo la moyo kuharakisha kifo chake. Yote katika yote ni kwamba lazima udadisi ufanyike, za kuambiwa changanya na za kwetu.
Huyu hakuwa tu JPM, huyu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyeifanyia makubwa nchi yetu. Kuzika tu na kusahau ni hatari kwa usalama wa viongozi wetu wajao, iwapo kifo cha JPM kitaachwa juu juu tu.
Alikuwa akiombewa Kila siku, hata yeye mwenyewe alikuwa atikumbusha tumwombeeKwani ni ajabu ? Je haiwezekani ? Kwa nini mnafuta probability ?
Raisi aliekuwepo Waziri Mkuu basi wote walituambia uongo ? Kabla zilikuwepo tetesi kuwa Raisi Marehemu Magufuli ni mgonjwa au sivyo ? Wakajitokeza viongozi kuwa sio kweli Magu ni mzima na anawapa salamu ?
Hivyo habari zipo ndio zipo na kama ni kosa basi waliosema Rais ni mzima ndio walioteleza na kukosea ? Mbona maalim Seif alitangaziwa tokea alipopata covidi hadi akapata nafuu hadi alipozidiwa nae haikuwa salama ikavuma ameuliwa,kwani alipata hujambo ,sasa huyu tuliambiwa mzima ghafla bin voom tukatangaziwa amefariki.
Angalizo viongozi wanapooumwa hata na ukucha ni bora mtangaze na wananchi na wadau wa dua baelewe na kuomba.
Walioficha habari ndio waliomuuwa Mheshimiwa Magufuli maana hawakutaka aombewe dua. DUA ya mtu mmoja tu ingevuka vigingi na kukubaliwa basi Magu tungekuwa nae leo,lakini mlitulisha uwongo kuwa Magu ni mzima na anachapa kazi,wajibikeni kwa kutulisha matango pori,ndio uungwana au mtupe sababu za kwa nini mlisema uwongo au iliwabidi mseme uwongo.
waandishi mnaokutana na viongozi wanaoita vyombo vya habari kila uchwao waulizeni ilikuwaje hapo.
Kwa taarifa yako nayafahamu mambo mengi ya nchi kuliko ujuavyo weweWewe dogo sio wa kuniambia kitu chochote kuhusu jpm.kawaeleweshe watoto wenzio.