Roho mbaya,chuki, visasi, kiburi, hasira,epuka hivi unauweka rehani moyo wako na unafupisha siku zako za kuishi.Tabia uathiri moyo wa mtu uuaDuuh hatari!ila najikuta kuumizwa sana na kifo chake
he was a disgrace to our nation.Vyovyote vile kama aliuawa na hao watu au alikufa kwa COVID 19, yote ni kwa faida ya nchi yetu Tanzania.
Mwendazake alikuwa siyo mtu sahihi kwa nchi yetu. Hiyo miaka 5 aliyoyawala ametutudisha nyuma kimaendeleo kwa kiasi kikubwa.
Mimi nawashukuru tu waliotuondolea huyo Ibilisi wa Chato
MkuuYaani pamoja kuwa na ulinzi mzito namna ile halafu jamaa awe aliuawa kwa sumu kirahisi hivyo?
hizi ndio longolongo sasa. Sasa hayamakablasha yako yalihusika vipj na kifo cha mwendazake.Mkuu
Usitumie nguvu kupinga usichokielewa.
Ulinzi uliokuwa kwa JPM ni ule wa kizamani au wa kijeshi (military intelligence/human intelligence):
Tazama hapa chini ili uje Tanzania imewekeza kwenye usalama wa aina gani
There are six basic intelligence sources, or collection disciplines:
SIGINT—Signals intelligence is derived from signal intercepts comprising -- however transmitted -- either individually or in combination: all communications intelligence (COMINT), electronic intelligence (ELINT), and foreign instrumentation signal intelligence (FISINT). The State Intelligence Security Services is responsible for collecting, processing, and reporting SIGINT and advises the Director on SIGINT policy issues, and manages the SIGINT requirements system.
IMINT—Imagery Intelligence includes representations of objects reproduced electronically or by optical means on film, electronic display devices, or other media. Imagery can be derived from visual photography, radar sensors, and electro-optics.
MASINT—Measurement and Signature Intelligence is information produced by quantitative and qualitative analysis of physical attributes of targets and events to characterize, locate, and identify them. MASINT exploits a variety of phenomenology, from a variety of sensors and platforms, to support signature development and analysis, to perform technical analysis, and to detect, characterize, locate, and identify targets and events. MASINT is derived from specialized, technically derived measurements of physical phenomena intrinsic to an object or event and it includes the use of quantitative signatures to interpret the data. Measurement and signature intelligence is a technical branch of intelligence gathering, which serves to detect, track, identify or describe the distinctive characteristics of fixed or dynamic target sources.
HUMINT—Human intelligence is derived from human sources. To the public, HUMINT remains synonymous with espionage and clandestine activities; however, most HUMINT collection is performed by overt collectors such as strategic debriefers and military attaches. It is the oldest method for collecting information, and until the technical revolution of the mid-to-late 20th century, it was the primary source of intelligence.
OSINT—Open-Source Intelligence is publicly available information appearing in print or electronic form including radio, television, newspapers, journals, the Internet, commercial databases, and videos, graphics, and drawings. While open-source collection responsibilities are broadly distributed through the intelligence cyberspace. This is an intelligence-gathering method used to collect and analyze publicly available information and data for investigative purposes. OSINT data sources encompass pretty much anything you can find on the internet, from an IP address to public governmental records.
GEOINT—Geospatial-Intelligence is the analysis and visual representation of security-related activities on the earth. It is produced through an integration of imagery, imagery intelligence, and geospatial information.
Kilichokosekana an kufanyika kwa weledi uliobobea ni 'Ethical Hacking and Penetration Testing' kiasi ambacho adui alipenya kupitia mlango wa watu wa diplomasia wasiotiliwa shaka kuingia sebuleni
Jifunze elimu hiyo (Cyber-Security Intelligence) hutasumbua ubongo wako kwenye mambo ya blah blah za kisiasa utafaidika vya kutosha.
kwanini awakamare, kwani mumesahau kama kuna uhuru wa kutoa maoniHuu ujingaujinga utaligawa Taifa, Kila siku habari mpya ya jinsi alivyouawa. Wanakera mno watu hawa. Ajabu Rais alisema atawakamata, ajabu hawakamatwi.
Kuna mwanasiasa alijaribu kujifanya anatolea ufafanuzi wa namna alivyouwawa kwa wana "Tarime" kama sikosei. Kibano alichopata si haba, nae ni mwendazake kwa sasa.Naikumbuka habari hii, hakuna aliyechukuliwa hatua hadi leo
Ulinzi alikuwa nao wa kiwango cha juu. Tayari alikwisha kuwa ni Rais wa 5 kwa ulinzi mkali Afrika na consultants wa ulinzi wake walikuwa ni wa Israel na ndiyo walioleta zile internet jammers na bomb detectors. Askari wa PSU, Askari wa JW wakiwa na AK47, Askari wa plain cloth na Helicopter anganiMkuu
Usitumie nguvu kupinga usichokielewa.
Ulinzi uliokuwa kwa JPM ni ule wa kizamani au wa kijeshi (military intelligence/human intelligence):
Tazama hapa chini ili uje Tanzania imewekeza kwenye usalama wa aina gani
There are six basic intelligence sources, or collection disciplines:
SIGINT—Signals intelligence is derived from signal intercepts comprising -- however transmitted -- either individually or in combination: all communications intelligence (COMINT), electronic intelligence (ELINT), and foreign instrumentation signal intelligence (FISINT). The State Intelligence Security Services is responsible for collecting, processing, and reporting SIGINT and advises the Director on SIGINT policy issues, and manages the SIGINT requirements system.
IMINT—Imagery Intelligence includes representations of objects reproduced electronically or by optical means on film, electronic display devices, or other media. Imagery can be derived from visual photography, radar sensors, and electro-optics.
MASINT—Measurement and Signature Intelligence is information produced by quantitative and qualitative analysis of physical attributes of targets and events to characterize, locate, and identify them. MASINT exploits a variety of phenomenology, from a variety of sensors and platforms, to support signature development and analysis, to perform technical analysis, and to detect, characterize, locate, and identify targets and events. MASINT is derived from specialized, technically derived measurements of physical phenomena intrinsic to an object or event and it includes the use of quantitative signatures to interpret the data. Measurement and signature intelligence is a technical branch of intelligence gathering, which serves to detect, track, identify or describe the distinctive characteristics of fixed or dynamic target sources.
HUMINT—Human intelligence is derived from human sources. To the public, HUMINT remains synonymous with espionage and clandestine activities; however, most HUMINT collection is performed by overt collectors such as strategic debriefers and military attaches. It is the oldest method for collecting information, and until the technical revolution of the mid-to-late 20th century, it was the primary source of intelligence.
OSINT—Open-Source Intelligence is publicly available information appearing in print or electronic form including radio, television, newspapers, journals, the Internet, commercial databases, and videos, graphics, and drawings. While open-source collection responsibilities are broadly distributed through the intelligence cyberspace. This is an intelligence-gathering method used to collect and analyze publicly available information and data for investigative purposes. OSINT data sources encompass pretty much anything you can find on the internet, from an IP address to public governmental records.
GEOINT—Geospatial-Intelligence is the analysis and visual representation of security-related activities on the earth. It is produced through an integration of imagery, imagery intelligence, and geospatial information.
Kilichokosekana an kufanyika kwa weledi uliobobea ni 'Ethical Hacking and Penetration Testing' kiasi ambacho adui alipenya kupitia mlango wa watu wa diplomasia wasiotiliwa shaka kuingia sebuleni
Jifunze elimu hiyo (Cyber-Security Intelligence) hutasumbua ubongo wako kwenye mambo ya blah blah za kisiasa utafaidika vya kutosha.
MkuuUlinzi alikuwa nao wa kiwango cha juu. Tayari alikwisha kuwa ni Rais wa 5 kwa ulinzi mkali Afrika na consultants wa ulinzi wake walikuwa ni wa Israel na ndiyo walioleta zile internet jammers na bomb detectors. Askari wa PSU, Askari wa JW wakiwa na AK47, Askari wa plain cloth na Helicopter angani
Pili afya yake zaidi ya kuwa chini ya uangalizi wa Madaktari wabobezi kama Prof Janabi, Prof Mchembe, Dr Ngwale na Dr Kisenge alikuwa vile vile anapata huduma ya Madaktari wa Israel.
Kwa mbali alikuwa anafanyiwa maombi na Mufti Zubeir pamoja na akina TB Joshua, Cardinal Pengo, wachawi 400 wa Gamboshi na walokole akina Gwajima kibao
Hebu tuseme ukweli unakufaje kwenye hayo mazingira kama wewe ni mtenda mema
Ila Watanzania waliodhulumiwa ndiyo waliomuua Magufuli kwa sala na dua walizopiga. Mungu huzisikia Sana, Believe me
Azuie kwani uongo? Ndo jamii na dunia watajua ni kweli kabisaaa!!Mada hapo juu inaeleweka vizuri.
Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.
Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.
You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.
Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.
Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
To you onlyhe was a disgrace to our nation.
Umefikiria kama mtoto. Kwa mawazo yako unafikiri youtube inamilikiwa na tz. Youtube ile ni kama bahari. Na kuna sheria. Mtu yeyote mwenye channel anaweza tuma chochote na akabaki kua safe. Mtu anaeza kua ulaya. Utamfanya nnMada hapo juu inaeleweka vizuri.
Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.
Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.
You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.
Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.
Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Je kazi ya Internet Jammer ilikuwa Ni nini?Mkuu
Walitetereka kwenye cyber-security ambapo anayekushambulia hahitaji kuwepo ana kwa ana eneo la tukio ila taarifa zako tu muhimi zilizoko kwenye mfumo wa elektroniki
Wewe mwenyewe hapa unasambaza.Mada hapo juu inaeleweka vizuri.
Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.
Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.
You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.
Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.
Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Hakukitendea haki cheo hicho cha uRais.Huyu hakuwa tu JPM, huyu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyeifanyia makubwa nchi yetu. Kuzika tu na kusahau ni hatari kwa usalama wa viongozi wetu wajao, iwapo kifo cha JPM kitaachwa juu juu tu.