Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Weit and see how the nation driving into to the deepest bondstulirudi kwenye ukoloni.
Weka video tuione au type link tukaione YouTube kabla hatujaunga mkono hoja yakoMada hapo juu inaeleweka vizuri.
Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.
Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.
You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.
Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.
Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.
Tayari tuko huko, ule ukoloni tulisema tunafanyia hela zetu za ndani kumbe hela za ndani tulikuwa tunagawana na wameshaanza kukamatwa nazo, ,za miradi tunakopa.Weit and see how the nation driving into to the deepest bonds
Hujaelewa sku ukielewa njooTayari tuko huko, ule ukoloni tulisema tunafanyia hela zetu za ndani kumbe hela za ndani tulikuwa tunagawana na wameshaanza kukamatwa nazo, ,za miradi tunakopa.
Come again please!! Hapo umenitoa kapa mkuu.Weit and see how the nation driving into to the deepest bonds
Kutetea uovu ni mzigo mzitoHujaelewa sku ukielewa njoo
Watu wanashangaa, mbona lile wimbi la Tatu halikuendelea kuchukua Viongozi baada ya Magu kufa? Au ndo lilikuwa special kwaajili ya kuchambua team yake tu. Kama kweli lilikuwepo, yele makundi mengi yaliyojitokeza viwanjani na mabarabarani kumuaga Magufuli bila kuvaa barakoa mbona hayakupatwa na chochote?Huu ujingaujinga utaligawa Taifa, Kila siku habari mpya ya jinsi alivyouawa. Wanakera mno watu hawa. Ajabu Rais alisema atawakamata, ajabu hawakamatwi.
Hizo ni ngonjera Mwendazake alikuwa anapiga kuwapumbaza wajinga. Werevu wanajuwa hakuna FISADI ambaye amewahi kumzidi kwa kuiba kodi zetu na kujilimbikiziaHuyu ndiye Veronica France anayechukiwa na Freed Freed.✈⛴🛤💎🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui. Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja. Tumechezewa mno Ndiomaana anayasema haya hadharani ndugu zangu yakwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii y 5 chini ya Uongozi wang HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje. Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uwozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? 7bu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli wa tz waujuwe.✔ Kwahyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi💲 ni ngumu zaidi kiliko Vita y kawaida🔫🏹. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau wt 🇹🇿 ni Mambumbu Wapumbavu Wajinga,, Si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kw pamoja tuwe wa moja Tupiganie ma haki zetu. Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,. NAJUWA MKIAMUA TUTAFIKA. 👏👏👏 R.I.P. JPM🙏🙏🙏 SIMBA WA VITA🇹🇿😂😂😂💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐 Mwamba wa Africa.🙌🙌
Weka video tuione au type link tukaione YouTube kabla hatujaunga mkono hoja yako
Kuna You Tube channel inaitwa Siri za nchi, hii ina mambo yoteWeka video tuione au type link tukaione YouTube kabla hatujaunga mkono hoja yako
Bora alivyofanya, ameacha legacyHuyu bwana alikufa kwa sababu ya uoga wake wa kwenda kutibiwa kwa mabeberu,sijui hofu yake ilikuwa mini,mbona Mugabe alikuwa hapatani na wazungu lakini alikuwa anaenda kutibiwa Singapore na hawakumdhuru
Ukiona watu wanapinga na hata kufikia hatua kuanza kuwatisha watu kwamba ni wachochezi hapo kwa kuzingatia ushahidi wa kimazingira kuna 'lead' ya uhusika kupitia hao wanaobweka kupinga uchunguzi na kumbeza hayati.Kwa nini nguvu kubwa inatumika kupinga. Basi ni kweli kauwawa na hao watu wakubwa😎
Ulijuaje kuwa ni uongo?Hili nilisikia kuwa Wanyarwanda walimlinda. Nikafuatilia kiundani nikakuta ni uwongo. Je wanaoneza uvumi huu, Rais Magufuli alindwa na watu hawa ofisini, safarini, Chato au kotekote?
Sasa kwanini mnalilia tume ya kuchunguza kifo chake?Bora alivyofanya, ameacha legacy
Mtajua wenyeweSasa kwanini mnalilia tume ya kuchunguza kifo chake?
Kwani ile sheria ya mtandao haitumiki tena? Imeondoka na mwendazake? TCRA wako wapi? Mijitu ianachafua viongozi viongozi, wao wamekaa kimya tu!!!! Tulishambiwa kafa kwa matatizo ya moyo sasa hao wanaodai kauwawa walikuwepo? Si wote tulitangaziwa???? Wengine tunademka!!!! Piga kelele kwa mama Samia! Weweeeeee!!!1 Kwa raha zetu.Mada hapo juu inaeleweka vizuri.
Kuna habari zmezagaa mitandaoni kuwa Rais John Magufuli kauliwa na watu wakubwa na walianza kufanya mipango siku nyingi. Habari hizi zipo pia vijiweni.
Rais Samia Suluhu kwa makosa makubwa Sana na bila kujua kakosea alizungumzia habari hizi akilihutubia Bunge hivi majuzi. Ilikuwa ni kosa kubwa kuzungumza Jambo Kama Hilo Bungeni. Aliahidi wazushi hao watakamatwa lakini hatuoni wakikamatwa na habari hizi zinazidi kuzagaa.
You Tube Kuna video zinatembea zikitaja waratibu wa mauaji na nashangaa kwanini serikali imeruhusu uvumi huu kuendelea kuzagaa.
Niseme tu pia ilikuwa kosa kwa Rais kuteleza na kuzungumza uvumi huu Bungeni. Kufanya kosa Sio kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa.
Naomba wanaosambaza habari hizi wakamatwe Kama Rais alivyoahidi au wajitokeze kutoa ushahidi Kama pia walivyoombwa na Rais.