Huyu ndiye Veronica France anayechukiwa na Freed Freed.✈⛴🛤💎🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui. Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja. Tumechezewa mno Ndiomaana anayasema haya hadharani ndugu zangu yakwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii y 5 chini ya Uongozi wang HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje. Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uwozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? 7bu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli wa tz waujuwe.✔ Kwahyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi💲 ni ngumu zaidi kiliko Vita y kawaida🔫🏹. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau wt 🇹🇿 ni Mambumbu Wapumbavu Wajinga,, Si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kw pamoja tuwe wa moja Tupiganie ma haki zetu. Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,. NAJUWA MKIAMUA TUTAFIKA. 👏👏👏 R.I.P. JPM🙏🙏🙏 SIMBA WA VITA🇹🇿😂😂😂💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐 Mwamba wa Africa.🙌🙌