Serikali ikemee kwa nguvu zote wanaodai Hayati Magufuli kauawa, iondoe video zote YouTube na kuwasaka wahusika

Serikali ikemee kwa nguvu zote wanaodai Hayati Magufuli kauawa, iondoe video zote YouTube na kuwasaka wahusika

Watu wanashangaa, mbona lile wimbi la Tatu halikuendelea kuchukua Viongozi baada ya Magu kufa? Au ndo lilikuwa special kwaajili ya kuchambua team yake tu. Kama kweli lilikuwepo, yele makundi mengi yaliyojitokeza viwanjani na mabarabarani kumuaga Magufuli bila kuvaa barakoa mbona hayakupatwa na chochote?

Kuna muda ukiwaza sana unaona kabisa kuna kitu,na hata hivyo kama ni kweli yeye haitakuwa Rais wa kwanza kufanyiwa hivyo duniani.

Naungana na wewe,hizo habari hazitakiwi kuendelea kupewa nafasi na vyombo vya habari,maana hazina udhibitisho,na ni sawa na kuhubiri utengano.
Eti lile wimbi limewaondoa wale tu? Yule mwingine anakaribia miaka 100 lakini wala hata mafua ya kawaida hapati!
 
[emoji666]TUTALIUNDIA TUME HILI SUALA !!!
[emoji666]NAPENDA KUWATOA HOFU WATOZONIA WENZANGU....
 
Back
Top Bottom