Serikali Iko wapi mwalimu ananyanyaswa na kudhalilishwa Wilaya ya Kilindi Tanga?

Serikali Iko wapi mwalimu ananyanyaswa na kudhalilishwa Wilaya ya Kilindi Tanga?

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
PART 1.
MABOSI KILINDI WANATHAMINI KIFO KWA MWALIMU.

MWALIMU WA WILAYA YA KILINDI ILI AWE NA THAMANI MBELE YA VIONGOZI WA HALMASHAURI AU NI MPAKA AFE. HADI AFE?

MPAKA UFE NDIO VIONGOZI WATAKUTHAMINI.

Hivi VIONGOZI wa Halmashauri ya wilaya KILINDI mnatuonaje WALIMU?,

mnatuchuliaje WALIMU?
Heshima tunayowapa malipo ndio mtunyanyase?

Heshima ina kikomo, Uvumilivu una mwisho. wote sisi ni Watanzania Hakuna mwenye haki zaidi ya Mtanzania mwingine.

Mwalimu wa Shule ya sekondari X kashambuliwa, kupigwa mpaka kasababishiwa matatizo ya kiafya na askari polisi Gideon Mussa Said Cheo CPL mwenye utambulisho wa G.5354 wa kituo Cha polisi Songe lakini VIONGOZI WA halmashauri bado wanamlinda polisi huyu! Na hakuna hatua zozote wanazochukua!
maana polisi wamehalalishiwa kupiga WALIMU kama watoto wao.

Na hata mwalimu huyu alipoombq Kuhama Wilaya Ili kuficha dhahma hiyo bado mkurugenzi na afisa Elimu hawatoi ushirikiano
Kwenye utumishi Kuna kupigwa?
Kuna Sheria ya kupigana?

KILINDI mwalimu anafanywa chochote na lolote na hakuna pakusemea.

Suala hili mmelinyamazia sana, ila hata Kwa Mshemiwa Raisi Dr. Samia S Hassan nitafika nalo.
Manyanyaso Yana mwisho.

Hima viongozi Wa serikali/tamisemi mulikeni hawa mliowapa dhamana
 
Hivi nyie watz mpoje,!? Pesa huna ,mkwara huna ,hata uchawi huna!??hivi nyie mna akili Gani!? Waganga wa ukweli wapo hapo Kwa msisi Wala hawataki pesa mpaka ufanikishe kumuadabisha adui Yako ndio unapeleka pesa au ulichoahidi tatizo nn!?
Mbona adhabu za watu kama hao ni nyingi!??Kuna kumtengenezea ajali,kichaa,Kuna kupigwa sakirisi ajinyonge mwenyewe .
Kwann uonewe!??
Mimi hata hawa wanaokamata magari hadhubutu kukamata Lori langu la kubebea wamasai mnadani nilisha Dili nao vizuri tuu SoMo likawaingia!! Sasa mtu unapigwa!!!???
Dawa ya mtu mshenzi unakuwa mshenzi zaidi yake!!
 
PART 1.
MABOSI KILINDI WANATHAMINI KIFO KWA MWALIMU.

MWALIMU WA WILAYA YA KILINDI ILI AWE NA THAMANI MBELE YA VIONGOZI WA HALMASHAURI AU NI MPAKA AFE. HADI AFE?

MPAKA UFE NDIO VIONGOZI WATAKUTHAMINI.

Hivi VIONGOZI wa Halmashauri ya wilaya KILINDI mnatuonaje WALIMU?,

mnatuchuliaje WALIMU?
Heshima tunayowapa malipo ndio mtunyanyase?

Heshima ina kikomo, Uvumilivu una mwisho. wote sisi ni Watanzania Hakuna mwenye haki zaidi ya Mtanzania mwingine.

Mwalimu wa Shule ya sekondari X kashambuliwa, kupigwa mpaka kasababishiwa matatizo ya kiafya na askari polisi Gideon Mussa Said Cheo CPL mwenye utambulisho wa G.5354 wa kituo Cha polisi Songe lakini VIONGOZI WA halmashauri bado wanamlinda polisi huyu! Na hakuna hatua zozote wanazochukua!
maana polisi wamehalalishiwa kupiga WALIMU kama watoto wao.

Na hata mwalimu huyu alipoombq Kuhama Wilaya Ili kuficha dhahma hiyo bado mkurugenzi na afisa Elimu hawatoi ushirikiano
Kwenye utumishi Kuna kupigwa?
Kuna Sheria ya kupigana?

KILINDI mwalimu anafanywa chochote na lolote na hakuna pakusemea.

Suala hili mmelinyamazia sana, ila hata Kwa Mshemiwa Raisi Dr. Samia S Hassan nitafika nalo.
Manyanyaso Yana mwisho.

Hima viongozi Wa serikali/tamisemi mulikeni hawa mliowapa dhamana
Huyo mwalimu apone na yeye afanye kama alivyofanyiwa.
 
Ungeeleza vizuri mwanzo mwisho wa sakata hilo. Hujaeleza huyo Mwalimu ni jinsia gani, ilikuwaje, wapi, na lini. Na km alipigwa hakwenda mahakani? Yani wewe upigwe na raia au askari alafu utegemee huruma ya mkurugenzi wako? Mkurugenzi ni nani yako, yule ni boss wako tu ktk kazi labda km alipigwa ofsini kwa mkurugenzi. Na hata km ingekuwa hivyo mkurugenzi angebakia km shahidi tu namba moja ktk kesi. Km Mwalimu ni wa kiume bila shaka alipigwa na askari wa kiume. Sasa inakuwaje unamuacha tu huyo askari akupige km MKE wake, huyo Mwalimu hakuwa na mikono na miguu na kichwa.

Hivi ktk karne hii msomi kiwango Cha Mwalimu ni wakunyanyaswa na askari kweli tena kwa kupigwa? Mwambie afuate taratibu za kisheria siyo taratibu za kazi yake.

Nimeskitika sn sijui huyo Mwalimu ni kabila gani daaaaaaa
 
Labda kama aliyepigwa ni KE ila kama ni ME unaanzaje kunipiga labda tuwe kwenye mazingira ya Kituo cha polisi mnichangie ndo mtanidhibiti au niwe lock up ila tukiwa kwenye mazingira yangu aseee nitakutwanga vibaya mno kuwa askari zile ni Gwanda tu ! ila tukiupanga mkono unamtoa jasho !!!
Na mimi ugomvi wangu anaamuaga mama tu ndo namsikiliza Sasa mpaka atoke MWANZA mniue labda 🤣🤣🤣 Raia wakituamua bado nitakutafuta kwenye mazingira yako bifu haliishi nitakubonda !! kisasi mpaka askari ataenda kukata RB

Haya mambo sio kwa aliyepigwa tu , wanangu hakikisha mtu akitaka kutumia cheo au madaraka kukutoa umaarufu ! kama unammudu unalingana nae aseee mnyooshe ukimshindwa kamkomoe huko kwenye familia na watu wa karibu !! roga mpaka paka wa nyumbani ikibidi (kuingia bifu na wenye nchi ndo kipengele huko sina experience🤣) ila eti wote mna mshahara haufiki hata digit sita !! polisi ni kuchukua loss report tukipoteza simu ila dharau Mtwange ukishindwa tuite wahuni tukusaidie Angalizo USIMUUE
Dharau hatutaki Wanaume.
 
KWANINI CWT HAWANA KITENGO CHA KUFUATILIA UNYANYASAJI KAMA HUU WAKAUWEKA PUBLIC???


NA NYIE SI NDO MLIIBA KURA ZA WATU KWENYE UCHAFUZI

ALAAAA

MIALIMU HAINA AKILI YANI
 
PART 1.
MABOSI KILINDI WANATHAMINI KIFO KWA MWALIMU.

MWALIMU WA WILAYA YA KILINDI ILI AWE NA THAMANI MBELE YA VIONGOZI WA HALMASHAURI AU NI MPAKA AFE. HADI AFE?

MPAKA UFE NDIO VIONGOZI WATAKUTHAMINI.

Hivi VIONGOZI wa Halmashauri ya wilaya KILINDI mnatuonaje WALIMU?,

mnatuchuliaje WALIMU?
Heshima tunayowapa malipo ndio mtunyanyase?

Heshima ina kikomo, Uvumilivu una mwisho. wote sisi ni Watanzania Hakuna mwenye haki zaidi ya Mtanzania mwingine.

Mwalimu wa Shule ya sekondari X kashambuliwa, kupigwa mpaka kasababishiwa matatizo ya kiafya na askari polisi Gideon Mussa Said Cheo CPL mwenye utambulisho wa G.5354 wa kituo Cha polisi Songe lakini VIONGOZI WA halmashauri bado wanamlinda polisi huyu! Na hakuna hatua zozote wanazochukua!
maana polisi wamehalalishiwa kupiga WALIMU kama watoto wao.

Na hata mwalimu huyu alipoombq Kuhama Wilaya Ili kuficha dhahma hiyo bado mkurugenzi na afisa Elimu hawatoi ushirikiano
Kwenye utumishi Kuna kupigwa?
Kuna Sheria ya kupigana?

KILINDI mwalimu anafanywa chochote na lolote na hakuna pakusemea.

Suala hili mmelinyamazia sana, ila hata Kwa Mshemiwa Raisi Dr. Samia S Hassan nitafika nalo.
Manyanyaso Yana mwisho.

Hima viongozi Wa serikali/tamisemi mulikeni hawa mliowapa dhamana
Ingia website ya Ikulu kuna email pale andika kila kitu wata respond
 
PART 1.
MABOSI KILINDI WANATHAMINI KIFO KWA MWALIMU.

MWALIMU WA WILAYA YA KILINDI ILI AWE NA THAMANI MBELE YA VIONGOZI WA HALMASHAURI AU NI MPAKA AFE. HADI AFE?

MPAKA UFE NDIO VIONGOZI WATAKUTHAMINI.

Hivi VIONGOZI wa Halmashauri ya wilaya KILINDI mnatuonaje WALIMU?,

mnatuchuliaje WALIMU?
Heshima tunayowapa malipo ndio mtunyanyase?

Heshima ina kikomo, Uvumilivu una mwisho. wote sisi ni Watanzania Hakuna mwenye haki zaidi ya Mtanzania mwingine.

Mwalimu wa Shule ya sekondari X kashambuliwa, kupigwa mpaka kasababishiwa matatizo ya kiafya na askari polisi Gideon Mussa Said Cheo CPL mwenye utambulisho wa G.5354 wa kituo Cha polisi Songe lakini VIONGOZI WA halmashauri bado wanamlinda polisi huyu! Na hakuna hatua zozote wanazochukua!
maana polisi wamehalalishiwa kupiga WALIMU kama watoto wao.

Na hata mwalimu huyu alipoombq Kuhama Wilaya Ili kuficha dhahma hiyo bado mkurugenzi na afisa Elimu hawatoi ushirikiano
Kwenye utumishi Kuna kupigwa?
Kuna Sheria ya kupigana?

KILINDI mwalimu anafanywa chochote na lolote na hakuna pakusemea.

Suala hili mmelinyamazia sana, ila hata Kwa Mshemiwa Raisi Dr. Samia S Hassan nitafika nalo.
Manyanyaso Yana mwisho.

Hima viongozi Wa serikali/tamisemi mulikeni hawa mliowapa dhamana
WALIMU TENAAAAA !!

Kwa taarifa yako sio kilindi tu ni Tanzania nzima, kwani ya Moshi hujayasikia ??

Unako shtaki ndio wameyabariki yote hayo hivyo hutapata majibu.

Hakuna atakaye ondoa matatizo ya Walimu isipokuwa Walimu wenyewe. Kwa wingi wenu mnaweza kufanya lolote ila hamna umoja.

Anyway huyo mwalimu alikosa Nini ??
 
Hivi nyie watz mpoje,!? Pesa huna ,mkwara huna ,hata uchawi huna!??hivi nyie mna akili Gani!? Waganga wa ukweli wapo hapo Kwa msisi Wala hawataki pesa mpaka ufanikishe kumuadabisha adui Yako ndio unapeleka pesa au ulichoahidi tatizo nn!?
Mbona adhabu za watu kama hao ni nyingi!??Kuna kumtengenezea ajali,kichaa,Kuna kupigwa sakirisi ajinyonge mwenyewe .
Kwann uonewe!??
Mimi hata hawa wanaokamata magari hadhubutu kukamata Lori langu la kubebea wamasai mnadani nilisha Dili nao vizuri tuu SoMo likawaingia!! Sasa mtu unapigwa!!!???
Dawa ya mtu mshenzi unakuwa mshenzi zaidi yake!!
Ukweli wa 100%
Hata mimi huwa nastaajabu sana mtu kulalamika kuhusu kiumbe anamsumbua eti na wanashea hewa hii hii tofauti ni harufu tuu.
Tandika mtu kitu ya maana iwe mfano
 
Askari analingia gwanda oyaaa mi ningemtoa shipa awezi kunioneshea unyonge kiasi hicho yaani nile mkong'oto alafu yeye atambe uraiani never, never ever,never ever forever
 
Hivi Mpwayungu yupo au kapata ban somwoni Hadi kwenye search member
 
M
Hivi nyie watz mpoje,!? Pesa huna ,mkwara huna ,hata uchawi huna!??hivi nyie mna akili Gani!? Waganga wa ukweli wapo hapo Kwa msisi Wala hawataki pesa mpaka ufanikishe kumuadabisha adui Yako ndio unapeleka pesa au ulichoahidi tatizo nn!?
Mbona adhabu za watu kama hao ni nyingi!??Kuna kumtengenezea ajali,kichaa,Kuna kupigwa sakirisi ajinyonge mwenyewe .
Kwann uonewe!??
Mimi hata hawa wanaokamata magari hadhubutu kukamata Lori langu la kubebea wamasai mnadani nilisha Dili nao vizuri tuu SoMo likawaingia!! Sasa mtu unapigwa!!!???
Dawa ya mtu mshenzi unakuwa mshenzi zaidi yake!!
Mimi kuna MTU nilimloga mpaka Leo haoni ,, nilitumia 12000 (elfu kumi na mbili) roho yangu imeridhika sasa kwa kweli , sitaki MTU anione hata kidogo .na sionewi mimi na awaye yoyote.
 
Back
Top Bottom