Serikali Iko wapi mwalimu ananyanyaswa na kudhalilishwa Wilaya ya Kilindi Tanga?

Serikali Iko wapi mwalimu ananyanyaswa na kudhalilishwa Wilaya ya Kilindi Tanga?

PART 1.
MABOSI KILINDI WANATHAMINI KIFO KWA MWALIMU.

MWALIMU WA WILAYA YA KILINDI ILI AWE NA THAMANI MBELE YA VIONGOZI WA HALMASHAURI AU NI MPAKA AFE. HADI AFE?

MPAKA UFE NDIO VIONGOZI WATAKUTHAMINI.

Hivi VIONGOZI wa Halmashauri ya wilaya KILINDI mnatuonaje WALIMU?,

mnatuchuliaje WALIMU?
Heshima tunayowapa malipo ndio mtunyanyase?

Heshima ina kikomo, Uvumilivu una mwisho. wote sisi ni Watanzania Hakuna mwenye haki zaidi ya Mtanzania mwingine.

Mwalimu wa Shule ya sekondari X kashambuliwa, kupigwa mpaka kasababishiwa matatizo ya kiafya na askari polisi Gideon Mussa Said Cheo CPL mwenye utambulisho wa G.5354 wa kituo Cha polisi Songe lakini VIONGOZI WA halmashauri bado wanamlinda polisi huyu! Na hakuna hatua zozote wanazochukua!
maana polisi wamehalalishiwa kupiga WALIMU kama watoto wao.

Na hata mwalimu huyu alipoombq Kuhama Wilaya Ili kuficha dhahma hiyo bado mkurugenzi na afisa Elimu hawatoi ushirikiano
Kwenye utumishi Kuna kupigwa?
Kuna Sheria ya kupigana?

KILINDI mwalimu anafanywa chochote na lolote na hakuna pakusemea.

Suala hili mmelinyamazia sana, ila hata Kwa Mshemiwa Raisi Dr. Samia S Hassan nitafika nalo.
Manyanyaso Yana mwisho.

Hima viongozi Wa serikali/tamisemi mulikeni hawa mliowapa dhamana
Eleza vizuri ni kwanini huyo askari alimkung'uta huyo mwalimu ? Toa kwanza sababu alafu tutafute haki iko upande wa nani ?
 
Kwa nini asimshtaki huyo polisi kwenye vyombo vya sheria, kabla ya kukimbilia kuomba uhamisho?

Na kama hana imani na hivyo vya sheria, si anheenda hata kwa Mkuu wa Wilaya, ambaye anatambulika kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika Wilaya husika!!

Sasa kulalamika tu inasaidia nini?
 
PART II
Kwasasa viongozi wanaendelea kumtisha mwalimu kwa kumwambia amesambaza hizi taarifa kwani tayari wakubwa wamepita hapa JF na kuona hizi habari na Kuna wengine tayari wamenifuata inbox kuomba mawasiliano ya mwalimu huyo Ili hatua stahiki zichukuliwe,

Manyanyaso kwa walimu yafikie mwisho!
 
Kwa nini asimshtaki huyo polisi kwenye vyombo vya sheria, kabla ya kukimbilia kuomba uhamisho?

Na kama hana imani na hivyo vya sheria, si anheenda hata kwa Mkuu wa Wilaya, ambaye anatambulika kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika Wilaya husika!!

Sasa kulalamika tu inasaidia nini?
Atamshtaki polisi kwa "polisi"?

Na umeona hapo hata viongozi wake wa juu wanamlinda mhalifu
 
Back
Top Bottom