Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Ming'okooo unaijua🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli. Na wengine huko KMC pamewakalia kushoto, huwa wanapita kinondoni mara Moja Kwa mwaka wakienda Magufuli stand,hawana cha kuwapeleka hukoLabda angetumua tafsida kuwa kuko kushoto,mi huwa napita temeke mara moja kwa mwaka nikienda viwanja vya sabasaba, kwenye maonyesho ya biashara,sina cha kunipeleka huko
Mwamba umetisha, yaani kanisa lipo moja tu tena magomeni, hapo ni mwenge mzee, kama unaijua mitaa ya nakiete pharmacy basi nyuma kuleNaona kanisa hapo karibu na Magomeni kotaz? Uwanja ndiyo umejengwa maeneo hayo?
Mwamba umetisha, yaani kanisa lipo moja tu tena magomeni, hapo ni mwenge mzee, kama unaijua mitaa ya nakiete pharmacy basi nyuma kuleNaona kanisa hapo karibu na Magomeni kotaz? Uwanja ndiyo umejengwa maeneo hayo?
Y mimi mmanyema wa magomeni kitambo sana babu yangu kazalliwa town,tafuta hela uhame temeke huko ushenzini mkuuKumbe dreva wa Uber! Kwanza angalia inavyoandikwa! Hujui hata kuiandika! Bado una maziwa ya mama mdomoni! Hujui kula chapati kwa mchuzi! Hayo maneno uliwahi kuyasikia?
Mimi niko Washington DC. Temeke nina makazi pia kwa Tanzania. Hapo vipi? Ukija kuishi hapa huchelewi kusema Tanzania ni ushenzini watu wahame!Y mimi mmanyema wa magomeni kitambo sana babu yangu kazalliwa town,tafuta hela uhame temeke huko ushenzini mkuu
Hakika mkuu haijui TMK huyoHuijui TMK wewe
Ukitoa kijichi the rest ni ushenzini tu high density areasVetenari,sokota,mtaa wa yombo,mikoroshini,mwembeyanga,sandali,mnc,unubini,chang'ombe,taifa,wailés,kurasini,mtongani,Kwa Aziz ally,temeke stereo,temeke hospital,temeke sudani majaribio,tandika,devis corner,dovya,chama,abiola,makangarawe,buza,kilakala,Kwa limboa,maguruwe,mtoni kijichi,mgeni nani,kichemchem,vikunai,njiapanda neruka,njia ya ng'ombe hapo ni kwa uchache kabisa baadhi ya maeneo
Hakika mkuu haijui TMK huyo
lilikuwa kosa kubwa sana na huenda inatokana na serikali yetu kutokuwa na mipango ya muda mrefu. Walikurupuka baada ya kupewa ofaMpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Nkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa.
Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini,
Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa.
Mimi binafsi huwa naenda uwanja wa Mkapa kwa matukio muhimu ya kiserikali, mechi ya mwisho na mwanzo kwenda ilikuwa Simba na Yanga ile sare ya 3-3 miaka takribani kumi.
Temeke kuna wahuni wengi sana na hawana uwezo kiuchumi, siwezi kutoka Ununio eti niende Taifa kuabgalia mechi ya Simba na Namungo.
KMC wametufungua macho, mpira sasa unapendwa na kada zote,wastaarabu na wasomi.
Uwanja wa KMC hata mechi ndogo ukiweka kiingilio cha 10000 unajaa.
Pia soma: Mapato ya uwanja wa Benjamini Mkapa ndiyo kikwazo kikubwa kwa mapacha wa Kariakoo kujenga uwanja wao
Jimbo la Kawe na Kinondoni ndio majimbo ya watu wenye uwezo hapa Daslam na Tanzania kwa ujumla. 10,000 kwa wakazi wa Temeke ni hela nyingi mno.
Hongera KMC, nawasihi Simba msirudi kwa Mkapa labda kwenye derby tu.huo ndio uwe uwanja wenu, kwanza Mwenge na Bunju sio mbali.
Haters mpooo
Kifa Mburahati ilitakiwa ibomolewe wasimamishe uwanja mkubwa pale pia pale Karume wangepapanu na kujenga wa kisasa zaidi Ili Kila wilaya iwe na kiwanja kikuu.hizo unazoziita wilaya nyingine zina maeneo mapya mengi ambayo kihistoria hayakuwa sehemu ya Dar, hivyo ukiangalia kihistoria kwangu mimi uwanja umejengwa strategic sana tu kuna barabara kama port access ambayo ambayo ilipaswa kuwa na iljengwa kama exxpress highway kutoka nje ya mji, siyo mbali na city center, labda nikuulize eneo gani la dar ambalo unafikiri uwanja ulipaswa kujengwa ambalo linaweza kuwa bora zaidi ya hapo pa sasa hivi labda tungejadili hapo halafu ndiyo tutaona pro an cons za hilo eneo la sasa hivi ukilinganisha na hilo (eneo) ambalo ungelipendekeza …
BossMimi niko Washington DC. Temeke nina makazi pia kwa Tanzania. Hapo vipi? Ukija kuishi hapa huchelewi kusema Tanzania ni ushenzini watu wahame!
Hivi siku hizi wahindi wanajenga bongo?Niliwahi kusafiri kwa gari yangu binafsi kutoka Dar es Salaam mpaka Kibiti. Lengo langu lilikuwa ni kununua shamba kubwa kuanzia ekari tano ndani ya umbali wa meta mia tatu kutoka barabara ya Kilwa ambayo ni ya lami. Nilichoambiwa na wenyeji ni kuwa maeneo yote yamenunuliwa na watu kutokea Dar es Salaam. Wamo wahindi, waarabu, wapemba, wachina na swahili na maeneo machache bado yako mikononi mwa wenyeji. Baada ya mahangiko sana nilifaniķiwa kupata shamba la ekari mbili barabarani karibu na kiwanda cha wachina cha kutengeneza vigae pale kijiji cha Mkiu wilayani Mkuranga kama kilometa 110 kutoka Temeke. Kuna mhindi analitaka eneo langu kwa Tzs. 2 bilioni lakini nimemwambia mimi siliuzi nataka kuweka kiwanda cha maji ya kunywa. Ila ninaishi Temeke kwa washamba na wahuni. Ningekuwa na akili za kijinga za aliyeanzisha huu uzi ningeliuza hilo shamba ili nikanunue nyumba Ununio ya kulala na kuamka ili niwe karibu na uwanja wa KMC niweze kupata urahisi wa kuangalia mechi pale zinapokuwepo kutokea Ununio kwa washua!!!!
Una Hoja hasa kwanini Uwanja wa Mkapa ulijengwa mkabala na Uwanja wa Uhuru ( Shamba la Bibi ) ila kuna mahala Umewadhalilisha sana Watu wa Temeke kwa kusema kuwa wengi Wao hawana Uchumi mzuri. Na sijui ni kwanini Wakazi wa maeneo mengine Dar es Salaam mnapenda Kuwadharau Watu wa Temeke.Mpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Nkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa.
Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini,
Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa.
Mimi binafsi huwa naenda uwanja wa Mkapa kwa matukio muhimu ya kiserikali, mechi ya mwisho na mwanzo kwenda ilikuwa Simba na Yanga ile sare ya 3-3 miaka takribani kumi.
Temeke kuna wahuni wengi sana na hawana uwezo kiuchumi, siwezi kutoka Ununio eti niende Taifa kuabgalia mechi ya Simba na Namungo.
KMC wametufungua macho, mpira sasa unapendwa na kada zote,wastaarabu na wasomi.
Uwanja wa KMC hata mechi ndogo ukiweka kiingilio cha 10000 unajaa.
Pia soma: Mapato ya uwanja wa Benjamini Mkapa ndiyo kikwazo kikubwa kwa mapacha wa Kariakoo kujenga uwanja wao
Jimbo la Kawe na Kinondoni ndio majimbo ya watu wenye uwezo hapa Daslam na Tanzania kwa ujumla. 10,000 kwa wakazi wa Temeke ni hela nyingi mno.
Hongera KMC, nawasihi Simba msirudi kwa Mkapa labda kwenye derby tu.huo ndio uwe uwanja wenu, kwanza Mwenge na Bunju sio mbali.
Haters mpooo
Sawa nshomile!Mpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Nkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa.
Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini,
Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa.
Mimi binafsi huwa naenda uwanja wa Mkapa kwa matukio muhimu ya kiserikali, mechi ya mwisho na mwanzo kwenda ilikuwa Simba na Yanga ile sare ya 3-3 miaka takribani kumi.
Temeke kuna wahuni wengi sana na hawana uwezo kiuchumi, siwezi kutoka Ununio eti niende Taifa kuabgalia mechi ya Simba na Namungo.
KMC wametufungua macho, mpira sasa unapendwa na kada zote,wastaarabu na wasomi.
Uwanja wa KMC hata mechi ndogo ukiweka kiingilio cha 10000 unajaa.
Pia soma: Mapato ya uwanja wa Benjamini Mkapa ndiyo kikwazo kikubwa kwa mapacha wa Kariakoo kujenga uwanja wao
Jimbo la Kawe na Kinondoni ndio majimbo ya watu wenye uwezo hapa Daslam na Tanzania kwa ujumla. 10,000 kwa wakazi wa Temeke ni hela nyingi mno.
Hongera KMC, nawasihi Simba msirudi kwa Mkapa labda kwenye derby tu.huo ndio uwe uwanja wenu, kwanza Mwenge na Bunju sio mbali.
Haters mpooo
Ona hili nalo hivi kwanini wanajamii forum mnapenda sana kufake life hili linasema halipo Tanzania kwamba lipo Washington DC lakini linavyochati tu linaonesha lipo tandaleMimi niko Washington DC. Temeke nina makazi pia kwa Tanzania. Hapo vipi? Ukija kuishi hapa huchelewi kusema Tanzania ni ushenzini watu wahame!
Tunjivunia Temeke , Temeke tunayo na tunatambana nayo.Maeneo Yangu Temeke, Yombo Kisiwani, Yombo Kilakala, Temeke Mikoroshini
Mtaa Wa Yombo, Mwembe Yanga, Mwembe Radu
Umeongea point sana , Mimi niliyezaliwa Yombo Vituka na kucheza mitaa mingi ya Temeke amenisikitisha sana kijana . Kwa Tanzania asilmia kubwa maisha yetu hatuchekani haswa Dar huko kwa wastaarabu Kuna mitaa mingi choka mbaya ,uhuni hali ya juu , mpangilio mbovu wa makazi nk yeye hata Temeke Ina afadhali kubwa sana...Una Hoja hasa kwanini Uwanja wa Mkapa ulijengwa mkabala na Uwanja wa Uhuru ( Shamba la Bibi ) ila kuna mahala Umewadhalilisha sana Watu wa Temeke kwa kusema kuwa wengi Wao hawana Uchumi mzuri. Na sijui ni kwanini Wakazi wa maeneo mengine Dar es Salaam mnapenda Kuwadharau Watu wa Temeke.
Bahati nzuri nimekaa katika Wilaya zote Kubwa za Dar es Salaa ( Kinondoni, Ilala na Temeke ) kabla ya hizi zingine Mbili Kuongezwa na naomba nikuambie tu kuwa hata huko Temeke kuna Matajiri / Watu wenye Uwezo kuliko huko Kinondoni.
Nadhani Hoja yako hapo mwishoni ingekuwa si tu Kuwasifia KMC FC kwa Kujenga huo Uwanja bali ungetumia muda wako mwingi hapa ama Kuwaomba au Kuwalaumu Simba SC na hata Yanga SC kwanini mpaka sasa Wao kama Giants wa Mpira hapa Tanzania walionzishwa miaka ya 1935 na 1936 hawana Uwanja wowote hadi sasa?
Enzi hizo temeke ilikuwa inajumuisha kigamboni ya Sasa, GSM anakaa huko na wanene wengi! Kurasini, viwanja Vina bei kuliko unavyodhaniNimezaliwa Dar es Salaam ikiwa na watu chini ya milioni moja.kihistoria unaweza kuwa sahihi kidogo ila kiuhalisia Temeke ni wikaya ya low income,sehemu ya bandari,makampuni ya mafuta,magodown,viwanda viko Temeke ila senior staff wanaishi wilaya zingine,
Hilo sio swala la mjadala kuhusu naisha duni ya wakazi wa Temeke kulinganisha na wilaya zingine za mkoa wa DSM,