Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hilo jina la "Port Access" watu wa kizazi hiki wengi hawawezi kulijua...Kuna barabara kama port access ambayo ambayo ilipaswa kuwa na iljengwa kama exxpress highway kutoka nje ya mji...
Umenikumbusha mbali Sana.. enzi kampuni ya Mowlem ilipokuwa inajenga Barabara ya Mandela...