Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Tokea kipindi cha nyerere serikali ilipenda kuwa mtu mkubwa wa kufanya biashara ila mwisho wa siku vimekufa na vengine kutoweka.
Jambo ambalo bado tuna rudia bila kukoma ni ili
*Shirika la mawasiliano TTCL
*Shirika la ndege ATCL
*Shirika la umeme tanesco
*Shirika la reli
Bado tuna safari kubwa sana
Jambo ambalo bado tuna rudia bila kukoma ni ili
*Shirika la mawasiliano TTCL
*Shirika la ndege ATCL
*Shirika la umeme tanesco
*Shirika la reli
Bado tuna safari kubwa sana