Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu.

Je serikali inafahusika ina maelezo yoyote ya ziada?

Haiwezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tu.

Wengi wanashindwa kuelewa

Nani ameajiriwa hizo nafasi 680 zilizo baki?

Kuna utata mkubwa na imetoa majina bila maelezo yoyote.

Tunaomba serikali ijitokeze na ieleze hizo nafasi 680 ambazo hazijapata madaktari zimejazwa na nani na ni lini zitajazwa.

Kitu gani kimetokea hadi serikali imepunguza nafasi za ajira toka 726 hadi 45?
 
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tuu.

Je serikali inafahusika na huu utapeli? Au kuna maelezo yanatakiwa kutolewa ?

Haiqezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tuu.

Wengi wanaona kuna kitu chini ya kapeti.

Nani ameajiriwa hizo nafasi 680 zilizo baki?

Kuna utata mkubwa na imetoa majina bila maelezo yoyote.


Tunaomba serikali ijitokeze na ieleze hizo nafasi 680 ambazo hazijapata madaktari zimejazwa na nani na ni lini zitajazwa.

Kitu gani kimetokea hadi serikali imepunguza nafasi za ajira toka 726 hadi 45?
Pole pole ndiyo mpango gentleman, relax 🐒
 
Weka taarifa vizuri mkuu. Majina ya waliochaguliwa yametoka?
 
KABLA YA KUITA SERIKALI MATAPELI ULIZA UTARATIBU KWANZA, UTUMISHI SIYO KAMA TAMISEMI, HUKU HUWA WANATOA PDF TOFAUTI TOFAUTI HADI ZIFIKE HIZO NAFASI AU HADI ZAIDI.
 
Maelezo yako hayaleti majibu
KABLA YA KUITA SERIKALI MATAPELI ULIZA UTARATIBU KWANZA, UTUMISHI SIYO KAMA TAMISEMI, HUKU HUWA WANATOA PDF TOFAUTI TOFAUTI HADI ZIFIKE HIZO NAFASI AU HADI ZAIDI.
 
Bila shaka ni mgeni wa utumishi 😂 kaa kwa kutulia hakuna kosa lililofanyika
 
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu.

Je serikali inafahusika na huu utapeli? Au kuna maelezo yanatakiwa kutolewa?

Haiqezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tu.

Wengi wanaona kuna kitu chini ya kapeti.

Nani ameajiriwa hizo nafasi 680 zilizo baki?

Kuna utata mkubwa na imetoa majina bila maelezo yoyote.

Tunaomba serikali ijitokeze na ieleze hizo nafasi 680 ambazo hazijapata madaktari zimejazwa na nani na ni lini zitajazwa.

Kitu gani kimetokea hadi serikali imepunguza nafasi za ajira toka 726 hadi 45?
Mitano tena kwa Mama
 
Back
Top Bottom