Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Chama dola kongwe kinajali sana maisha na afya za waTanzania.

Sasa uamuzi ni kwenu November 2024 na October 2025 kura nyingi mkipigie chama kinachowajali, kwa kuiambia serikali iachane na kununua magari ya kifahari ya anasa, Serikali ipunguze misafara ya kwenda kufungua miradi, serikali ipunguze matumizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru zinazoambatana na sherehe za kufa mtu n.k
 
  • Huu ndio mkakati mahsusi wa Samia kuboresha Sekta ya Afya, amwaga ajira eneo hili muhimu la kuwa na taifa lenye afya timamu

TOKA MAKTABA:​

11 July 2024​

Huu ndio mkakati mahsusi wa Samia kuboresha Sekta ya Afya​

1729283984443.jpeg

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam
JUMAPILI, Julai 7, 2024, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ilitangaza nafasi mpya za ajira 9,483 katika Sekta ya Afya, ukiwa ni mwendelezo wa utekelezaji wa mkakati mahsusi wa Rais Samia katika kuiboresha Sekta ya Afya.

Tangazo hilo lililotolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa lilieleza kuwataka Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi hizo 9,483 kwenye sekta hiyo katika kada takriban 38.

Miongoni mwa nafasi hizo ni daktari bingwa wa kinywa na meno daraja la II, madaktari wa upasuaji wa kinywa na meno daraja la II 111, madaktari bingwa wa watoto 4, madaktari bingwa wa magonjwa ya ndani 7, madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama 9, Madaktari wa upasuaji 5, daktari bingwa wa masikio, pua na koo 1, madaktari (Medical officer II) 726 na wauguzi 2,282
 
  • Huu ndio mkakati mahsusi wa Samia kuboresha Sekta ya Afya

TOKA MAKTABA:​

11 July 2024​

Huu ndio mkakati mahsusi wa Samia kuboresha Sekta ya Afya​

View attachment 3129226
Na Daniel Mbega, Dar es Salaam
JUMAPILI, Julai 7, 2024, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ilitangaza nafasi mpya za ajira 9,483 katika Sekta ya Afya, ukiwa ni mwendelezo wa utekelezaji wa mkakati mahsusi wa Rais Samia katika kuiboresha Sekta ya Afya.

Tangazo hilo lililotolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa lilieleza kuwataka Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi hizo 9,483 kwenye sekta hiyo katika kada takriban 38.

Miongoni mwa nafasi hizo ni daktari bingwa wa kinywa na meno daraja la II, madaktari wa upasuaji wa kinywa na meno daraja la II 111, madaktari bingwa wa watoto 4, madaktari bingwa wa magonjwa ya ndani 7, madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama 9, Madaktari wa upasuaji 5, daktari bingwa wa masikio, pua na koo 1, madaktari (Medical officer II) 726 na wauguzi 2,282
Huu ni mpango mchafu wa kumchafua Rais wa nchi.. Sekretarieti ya ajira ijitafakari na isimcjafue Rais wa nchi
 
  • Huu ndio mkakati mahsusi wa Samia kuboresha Sekta ya Afya

TOKA MAKTABA:​

11 July 2024​

Huu ndio mkakati mahsusi wa Samia kuboresha Sekta ya Afya​

View attachment 3129226
Na Daniel Mbega, Dar es Salaam
JUMAPILI, Julai 7, 2024, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ilitangaza nafasi mpya za ajira 9,483 katika Sekta ya Afya, ukiwa ni mwendelezo wa utekelezaji wa mkakati mahsusi wa Rais Samia katika kuiboresha Sekta ya Afya.

Tangazo hilo lililotolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa lilieleza kuwataka Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi hizo 9,483 kwenye sekta hiyo katika kada takriban 38.

Miongoni mwa nafasi hizo ni daktari bingwa wa kinywa na meno daraja la II, madaktari wa upasuaji wa kinywa na meno daraja la II 111, madaktari bingwa wa watoto 4, madaktari bingwa wa magonjwa ya ndani 7, madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama 9, Madaktari wa upasuaji 5, daktari bingwa wa masikio, pua na koo 1, madaktari (Medical officer II) 726 na wauguzi 2,282
Huu ni mpango mchafu wa kumchafua Rais wa nchi.. Sekretarieti ya ajira ijitafakari na isimcjafue Rais wa nchi
 
Huu ni mpango mchafu wa kumchafua Rais wa nchi.. Sekretarieti ya ajira ijitafakari na isimcjafue Rais wa nchi

Muiamini serikali yenu ya chama dola kongwe ina mikakati kibao, msifanye makosa uchaguzi TAMISEMI 2024

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA
MIAKA MITATU YA RAIS MHE DKT. SAMIA NA MAGEUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA YA AFYA


Utangulizi
Serikali ya Awamu ya sita (6) inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeendelea kutoa habari kwa wananchi kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Serikali katika Sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya.

Wizara ya Afya ndiyo yenye dhamana ya kuboresha hali ya afya ya wananchi wote ili kuwa na Jamii yenye afya bora na Ustawi, ambayo itachangia kikamilifu katika maendeleo ya mtu binafsi naMaendeleo ya nchi kwa ujumla.

Katika kufikia azma hiyo, Wizara imeendelea kuandaa mipango na bajeti zake kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo (2025), Sera ya Afya ya mwaka 2007, Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
ya mwaka 2020-2025, Mpango Mkakati wa Tano wa Sekta ya Afya (2021/22 -2025/26) pamoja na

Uk. 01
makubaliano ya Kimataifa na Kikanda yenye lengo la kuimarisha utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi.

Hadi kufikia Machi 2024, Wizara ya Afya imetekeleza kwa mafanikio majukumu yake, ikijikita katika maeneo Makuu mbalimbaliyakiwemo;

Ujenzi wa Miundombinu ya Kutolea Huduma za Afya nchini, Hali ya upatikanaji wa bidhaa za afya, Upatikanaji wa Huduma za Ubingwa Bobezi nchini, Huduma za Uchunguzi wa Mionzi, Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto.

Huduma ya kupambana na Magonjwa ya mlipuko, Ajira bwerere kwa Watumishi na Udahili wa Wanafunzi, Upatikanaji wa Watoa huduma ngazi ya Jamii (CHWs) na Sheria ya Bima ya Afya kwa wote. Aidha, taarifa hii inaelezea matarajio ya Wizara kuelekea Mwaka wa
fedha 2024/25.
Uk. 02
 
Wataitwa taratibu taratibu hadi wote watimie,na unaweza kuta wakaitwa zaidi ya hao kutokana na mahitaji ya Taasisi husika kuomba vibali Serikalini.
Endelea kufuatilia PDF zao zote kadri zinavyotoka
 
Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.
Nawasilisha.
 
Hapo kuna kitu hakiko sawa, labda kama wasailiwa wengi walifeli hatua ya mchujo, jambo ambalo sio rahisi.
 
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu.

Je serikali inafahusika na huu utapeli? Au kuna maelezo yanatakiwa kutolewa?

Haiwezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tu.

Wengi wanaona kuna kitu chini ya kapeti.

Nani ameajiriwa hizo nafasi 680 zilizo baki?

Kuna utata mkubwa na imetoa majina bila maelezo yoyote.

Tunaomba serikali ijitokeze na ieleze hizo nafasi 680 ambazo hazijapata madaktari zimejazwa na nani na ni lini zitajazwa.

Kitu gani kimetokea hadi serikali imepunguza nafasi za ajira toka 726 hadi 45?
Propaganda za Samia.
 
Umeele
Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.
Nawasilisha.
Umeeleweka vizuri mkuu,
 
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu.

Je serikali inafahusika na huu utapeli? Au kuna maelezo yanatakiwa kutolewa?

Haiwezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tu.

Wengi wanaona kuna kitu chini ya kapeti.

Nani ameajiriwa hizo nafasi 680 zilizo baki?

Kuna utata mkubwa na imetoa majina bila maelezo yoyote.

Tunaomba serikali ijitokeze na ieleze hizo nafasi 680 ambazo hazijapata madaktari zimejazwa na nani na ni lini zitajazwa.

Kitu gani kimetokea hadi serikali imepunguza nafasi za ajira toka 726 hadi 45?
Mimi naona ni mapema Sana kulalamika kama ulivyosema mwenyewe ni jana tu wametangaza hayo majina.
 
Back
Top Bottom