Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.
Nawasilisha.
Nimekupata mkuu
 
Nimekupata mkuu
Wakuu wakuuu Pdf …
Tayariiiii

681+45=726
Nafasi zilitangazwa 726 TAMISEMI…
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Tukutane kuwahudumia watz.
 
Bila shaka umeliona jina lako kwenye mkeka wa leo. Ukawe mtumishi mwema Daktari
 
Hivi Kuna daktari yuko mtaani bado Hana ajira yoyote? Inawezekana hii ni sababu
 
Wataitwa taratibu taratibu hadi wote watimie,na unaweza kuta wakaitwa zaidi ya hao kutokana na mahitaji ya Taasisi husika kuomba vibali Serikalini.
Endelea kufuatilia PDF zao zote kadri zinavyotoka
Tangazo lilihusu TAMISEMI na mwajiri ni mkoa husika. Cha ajabu majina watu wanaitwa kwenda WIZARA YA AFYA na MATAASIS ina maana tangazo la tamisemi ajira ndio zimepelekwa wizara ya afya?
 
Back
Top Bottom