Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

Nimekupata mkuu
 
Nimekupata mkuu
Wakuu wakuuu Pdf โ€ฆ
Tayariiiii

681+45=726
Nafasi zilitangazwa 726 TAMISEMIโ€ฆ
๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ
Tukutane kuwahudumia watz.
 
Bila shaka umeliona jina lako kwenye mkeka wa leo. Ukawe mtumishi mwema Daktari
 
Hivi Kuna daktari yuko mtaani bado Hana ajira yoyote? Inawezekana hii ni sababu
 
Wataitwa taratibu taratibu hadi wote watimie,na unaweza kuta wakaitwa zaidi ya hao kutokana na mahitaji ya Taasisi husika kuomba vibali Serikalini.
Endelea kufuatilia PDF zao zote kadri zinavyotoka
Tangazo lilihusu TAMISEMI na mwajiri ni mkoa husika. Cha ajabu majina watu wanaitwa kwenda WIZARA YA AFYA na MATAASIS ina maana tangazo la tamisemi ajira ndio zimepelekwa wizara ya afya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ