Serikali imchukulie hatua kali za Kisheria huyu aliyemtesa Mtoto kwa staili hii

Serikali imchukulie hatua kali za Kisheria huyu aliyemtesa Mtoto kwa staili hii

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Haijalishi hata kama atakuwa Mtoto ana makosa kiasi gani, hii sio namna sahihi ya kumuadhibu Mtoto. Tafadhali Waziri Dkt. Gwajima D tunataka kuona huyu aliyefanya hivi anafikishwa kwenye vyombo vya sheria

Screenshot 2023-09-18 231312.png

Pia soma: Jeshi la Polisi linamsaka aliyemfanyia Mtoto Kitendo cha Ukatili na Udhalilishaji kwa Kumning’iniza kwenye mti
 
Hatari sana, unyama huu umefanyika Tanzania?
 
Back
Top Bottom