Bila watumishi kulipwa mishahara unadhani hiyo biashara yako ya Madera itatoka? Utayanunua wewe?Hamna kazi wanayoifanya ,hata wasipolipwa ni sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila watumishi kulipwa mishahara unadhani hiyo biashara yako ya Madera itatoka? Utayanunua wewe?Hamna kazi wanayoifanya ,hata wasipolipwa ni sawa.
Hii ndio taarifa sahihiKwa TETESI zilizopo serikali haina hela ya kulipa mishahara unasubiri ikusanye kwanza ndipo ianze kulipa napo Kwa mafungu
Haaya lalamika badala ya kutafuta pesaMfanyakazi haki yake ni.mshahafa,mfanyakazi pekee ambaye .mshahara ulichelewa halalamiki ni Housegirl anayekaa Kwa bosi maana Kila kitu kipo
Mbona jana niliona post baadhi zinasema watumishi waumma mmelipwa , au wametumika watu kufanya utapeli, dadeki mwafaaHii ndio taarifa sahihi
Ku upload mishahara inachukua siku tatu?!Wanafanya ku upload mishahara mipya ya watumishi waliopandishwa ngazi majuzi kati.
Hii ni verified report.