wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
😄😄 Wenyewe wanakwambia they're Young,Wild and Free.Hali ni mbaya sana, Kuna siku nipo kitambaa cheupe nikasema acha nijidai mtafiti.. Kila manzi nilie kuwa na mgusa nampanga alafu Nampa hiyo opt hakatai.. karibia 20 hakuna Alie kataa kutoka chemba 🙍🙍.. nikasema kimoyo kimoyo hiki kizazi kina maisha amazing sana japo hatujafikia sodoma na gomora
Alishanyoosha goti Samsoni tangu 2015-16. Kuna kipindi flani alikuwa anavukishwa barabara mgongoni na chalii flani wakagongwa Jamaa akafa Samsoni akapona lakini alirushwa kima cha twiga huko. Watu wakawa wanamkwepa kumvusha kwasababu ni gundu. Ila mziki wake wa kutandaza miti jamaa alisifika.Mmh Alikufa lini mzee?si yule mlemavu wa pale stand Tengeru?
Weka picha ya jinsi yanavyovaliwa kwani hapo yanaonekana kama ni soseji.Siku hizi imekuwa kawaida kukuta haya madude kwenye mikoba ya kina dada ( usiniulize nilikuwa natafuta nini)
Je, tatizo ni sisi wanaume? Na je Serikali imeruhusu?
Hahah wakija hapa watakumaindi kishenziAf watanga ndio washenzi wakubwa kuliko
Duh aisee longtime sijapita pande hizo,sikujua kama ameshang'ata shuka arifu.Alishanyoosha goti Samsoni tangu 2015-16. Kuna kipindi flani alikuwa anavukishwa barabara mgongoni na chalii flani wakagongwa Jamaa akafa Samsoni akapona lakini alirushwa kima cha twiga huko. Watu wakawa wanamkwepa kumvusha kwasababu ni gundu. Ila mziki wake wa kutandaza miti jamaa alisifika.
Ni soseji?Unaweza kuitafuna Bob?Weka picha ya jinsi yanavyovaliwa kwani hapo yanaonekana kama ni soseji.
Nahisi watanga hawatii mguu Kwa wapemba 😄😄😄Hahah wakija hapa watakumaindi kishenzi
Ndio mkuu darlisalam na mwanzawapi huko? itakua dalisalam hiyo
Mm ata siwaogopHahah wakija hapa watakumaindi kishenzi
Wapemba wanakuambia suhnNahisi watanga hawatii mguu Kwa wapemba [emoji1][emoji1][emoji1]
Nina ujumbe wako inbobo😊Tatizo vijana wanashindia chips unategemea nini?
Unakuta kijana amekaa na smart phone huku anatafuna chips anashua na mirinda, unategemea nini hapo?
Enzi zetu mambo haya hayakuwepo kabisa.
Mtoto ya Yanga sema kitu
Kanatetemesha Nini mkuu?Nahitaji...kale kanakotetemesha
Kunywa soda af ludia Tena kwa sautiKuna watu bado wanamitazamo ya ovyo nakujidanganya mfano mtu anapodai ulaji wa chips ndiyo sababu, pasipo kufikiria chanzo cha chips ni viazi ambavyo vinatoka huko huko mkoani na walimaji ni hao hao wamikoani uandaaji wake ni kama mapishi mengine tu na ni chanzo cha wanga je ulaji wa wanga unashida? Shida ni utandawazi na wazungu wanayafanya hayo yote ni katika harakati zakupunguza uzazi tu ndiyo mana kila kukicha zinaletwa option kama hizi zakujiridhisha kwa wanawake wenyewe.