Serikali imehalalisha biashara ya nyeti bandia?

Serikali imehalalisha biashara ya nyeti bandia?

Hali ni mbaya sana, Kuna siku nipo kitambaa cheupe nikasema acha nijidai mtafiti.. Kila manzi nilie kuwa na mgusa nampanga alafu Nampa hiyo opt hakatai.. karibia 20 hakuna Alie kataa kutoka chemba [emoji143][emoji143].. nikasema kimoyo kimoyo hiki kizazi kina maisha amazing sana japo hatujafikia sodoma na gomora
Hiki kizazi ni mtihani
 
Tatizo vijana wanashindia chips unategemea nini?

Unakuta kijana amekaa na smart phone huku anatafuna chips anashua na mirinda, unategemea nini hapo?

Enzi zetu mambo haya hayakuwepo kabisa.
Tatizo jingine pia ni majukumu. Achilia mbali kumtunza mwanamke, Vijana wanazalisha wanakimbia halafu wanadharau single mothers.
 
😀 😀 😀pagumu sana ...ndani ya ndoa mume anaogopa kuomba ataonekana muhuni na hajieheshimu akienda nje anapewa... mke nje anatoaa
Kusema kweli ni bora mke wangu nimfumue mwenyewe na sio mtu mwingine....na kwa uzoefu nilio nao nikiangalia tu kinyeo najua tu kama kinatafunwa au lah
 
Back
Top Bottom