Tetesi: Serikali imeondoa Posho za Safari Mpya kimyakimya?

Tetesi: Serikali imeondoa Posho za Safari Mpya kimyakimya?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Barua ya Tanroad wakikataa Posho za Safari hii hapa.

Mambo yanazidi kugeuka? Yamekuwa Makumu?
IMG-20220723-WA0044.jpg
 
Private sector wanapata shida sana kuitisha kikao kulipa rate Mpya.

Inakuwaje Rais anaingizwa kwenye mtego wa kuruhusu rate mpya za posho, inamaana uchunguzi haukufanyika.

Serikali inakazia hizi rate Mpya zitaanza kutumika kwenye budget Mpya
 
Uongozi wa sa100 janja janja nyingi sana..no wonder miradi imesimama.

Yeye anachojua ni kukopa..kisha kuwalambisha asali wafanyabiashara wenzake na timu mgaso.

#MaendeleoHayanaChama
Dikteta alikuwa hakopi
 
Na huu ni ukwel mchungu ambao wengne hawataki kuukubali
Waziri wa Fedha bora kabisa alitepigwa vita ya udini kuwa eti amejenga Msikiti Wizarani!!

Nalikumbuka gazeti la Motomoto na Uhuru ndo yaliongoza kwa propaganda hii
 
Back
Top Bottom