Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongozi wa sa100 janja janja nyingi sana..no wonder miradi imesimama.Barua ya Tanroad wakikataa Posho za Safari hii hapa.
Mambo yanazidi kugeuka? Yangekuwa Makumu?
Waziri wa Fedha bora kabisa alitepigwa vita ya udini kuwa eti amejenga Msikiti Wizarani!!Nakumbuka hayati Kighoma Malima
Waziri wa Fedha aliyejitambua
Mwanaccm mwenzioMwigulu Matozo Nchemba
Huyu mweneza dini?????🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Nakumbuka hayati Kighoma Malima
Waziri wa Fedha aliyejitambua
Huyu Madilu ni Chadema anatuhujumu,Nakumbuka hayati Kighoma Malima
Waziri wa Fedha aliyejitambua
Dikteta alikuwa hakopiUongozi wa sa100 janja janja nyingi sana..no wonder miradi imesimama.
Yeye anachojua ni kukopa..kisha kuwalambisha asali wafanyabiashara wenzake na timu mgaso.
#MaendeleoHayanaChama
CCM upuuzi walianza siku nyingi,Waziri wa Fedha bora kabisa alitepigwa vita ya udini kuwa eti amejenga Msikiti Wizarani!!
Nalikumbuka gazeti la Motomoto na Uhuru ndo yaliongoza kwa propaganda hii
Waziri wa Fedha bora kabisa alitepigwa vita ya udini kuwa eti amejenga Msikiti Wizarani!!
Nalikumbuka gazeti la Motomoto na Uhuru ndo yaliongoza kwa propaganda hii
Yaani sijui Mh. Rais ana mlea wa nini huyu rais wa kwenye mawe??Mwigulu Matozo Nchemba