Ni Bora kwamba wameliona hili mapema. Ifikie sehemu hela za Serikali zisitumike hovyohovyo. Tuwe wazalendo jamani. Hivi kweli 250k, 220k watu wanaenda safari siku 10 , mamilioni. Wakati miundombinu yetu bado ikiwa duni kiasi hiki.
Mimi pia ni mnufaika wa nyongeza tena kwa asilimia 120 lakini moyoni nilikuwa nasononeka sana kuwaumiza watanzia wenzetu kwa kujipendelea kiasi hicho.
Kama Kuna hela nyingi kiasi hicho za kujilipa 250k kwa siku, kwa nini wasizipeleke kwenye Miradi ya Maendeleo kuliko kutumia hivyo kila siku Ughaibuni kukopa!! Sio fair kabisa!
Tusihangaikie kujipendelea, tuhangaikie Taifa kwa ujumla.
View attachment 2301473