Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Wewe ndiyo hutampa kura wengine sote tutampa kura zetu.Hatuandiki tu uzi kujifurahisha mkuu! Na kama ndivyo, usisemee Watanzania wote, Jisemee wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiyo hutampa kura wengine sote tutampa kura zetu.Hatuandiki tu uzi kujifurahisha mkuu! Na kama ndivyo, usisemee Watanzania wote, Jisemee wewe
Uko sahihi,sisi mambo ya kijinga ndiyo tunabishana sana,hasa mambo ya umbea umbea,wakiona mjadala unaendelea kuwa mkubwa huu wa Luku wataongea na Diamond au Harmonize aachie clip ya ngono,basi mjadala utahamaMatanzania hata waongeze sukari kg 1 iwe 10000 yanalialia mtandao yakija ishu ya chama tu kwenda yanga yamesahau matanzania yote mambumbumbu
Hata mimi ambaye stampa kura ni mtanzania halisia wa asili. Na sababu zangu kubwa 1. kupora rasilimali za Tanganyika na kuwagawia waarabu;Watanznaia wote tutampa kura za ndiyo, Dr. SSH.
Wewe ndiyo hutampa kura wengine sote tutampa kura zetu.
Mkuu, CCM kama chama hakijachoka maana kina kanuni, miongozo na katiba mzuri tu; na vyote vipo hai na vina mambo nyenye tija kwa Taifa na wananchi wake. Tatizo kubwa ni lile AZIMIO LA ZANZIBAR ambalo lina waruhusu Watumishi wa Serikali hasa viongozi Wakuu, kuwa na vitega uchumi vyao binafsi, ruhusa hii inasababisha mgongano wa kiutendaji na maamuzi, hasa ya kibiashara kati ya Serikali na viongozi hao wa Serikali katika Maputo na kodi ya Serikari na ya viongozi binafsi; mfano (mimi kama Mkurugezi ama Waziri wa Nyumba, na nina Nyumba 50 za kupanga na sheria inanitaka kulipia kodi ya Serikali , basi nitapindisha sheria hoyo ya kodi na kuielekeza ama kuipindisha kanuni za kodi hiyo kulipwa na mpangaji AU kama nina vituo vya petrol nitapenda kuongeza bei ama kodi zake kuto kuzilipa yeye na kutumia mbinu za kiofisi kuelekeza kodi hizo kulipwa na Wananchi.Hakika CCM imechoka
Mkuu huyu huko kwao anapita bila kupingwaNikiwa miongoni mwa wanaouchukia uongozi huu unaomlimbikizia kodi na tozo mwananchi mlala hoi,
Juzi tena CCM wameongeza petrol kwenye moto wa kifuu kwa kuongeza tozo ya luku kwa mlala hoi
Ni nani atampa kura kiongozi huyu?
Time shall tells!Crap! Labda wewe na mafisadi. Hapa tu JF kwa sampling ndogo ya uchangiaji, zaidi ya 50% hawatampa.
Labda huelewi maana ya wote.
V8Mkuu Mwigulu ni mkatili sana, hata huo mwezi wa 6 tozo ilikuwa 1500 haikuwa 1000, kama wameunganisha basi alipaswa akatwe elfu 3
Anatukaanga kwa mafuta yetu...anaongeza tozo na kutumia hiyo pesa kuwarubuni akina Msigwa(Yuda Iskariote)Mwigulu atasababisha kitu nchi hii, subirini
Kuna kundi kubwa sana la watu hawapigi kura Tanzania.Mkifika kwenye sanduku la kura ni kwamba hua mnasahau haya mateso?
Serikali inajitekenya alafu inacheka yenyewe
Sasa, Kama ni Apartments Si Watakua Wanakusanya Nyingi! Maana kila Mita InajitegemeaHiyo siyo bei ya umeme, ni kodi ya jengo.
Kama unaishi nyumba ya kupanga na una mita ya peke yako maana yake unamlipia kodi mwenye nyumba.
Hawa mwisho wao hauko mbali, Mungu amewatia upofu hawataamini ikifika punda anapogoma.
Unawajua wabongo lakini, yaani hata Serikali ifanye nini hakuna atakayesimama kuandamana, na hata wakiandamana ni bomu moja tu la machozi wote wanasambaaWakuu tuanzishe mgomo tafadhali
Tarehe 10 mwezi huu mgomo nchi nzima kama ni kufa acha tufe, yaani ni kufa ama kupona. Hii nchi bila damu kumwagika haiwezi kunyooka kamwe
1. Maisha magumu
2. Kodi za kumkandamiza mwananchi kila kona.
3. Utawala wa ovyo, raisi hafai na watendakazi wake ovyo
4. Viongozi wapenda rushwa kuliko haki
Tumechoka maisha ya kuwanufaisha viongozi hatutaki kuwa na kiongozi yeyote tutajiongoza wenyewe. Free Nation
Hata watanzania wote tusipo mpa Kura SSH bado atatangazwa mshidi , katiba mpya ndio dawa ya yoteMkifika kwenye sanduku la kura ni kwamba hua mnasahau haya mateso?
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?