Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Mtu awezi kushika hata bunduki nauza bandari na anga anakuaje mkuu wao?

Wanalinda mipaka gani anga letu limeuzwa kwa warabu ?

Jw tusaide kuondoa ccm tuitishe uchaguzi.
WEWE ANGA LIMEUZWA KWA MAREKANI sio warabu, jielewe pale alipokuja Busha kisha Obama
Walinzi wetu wote walienguliwa viwanja vya ndege na ikulu. na kila sehemu.
Wako walio lalama ,lakini ndio uhalisia , Hatuna letu na Ulinzi wetu si salama kwa Wamarekani wenye Hofu ya Ugaidi na kuwindwa.
 
Wacha kutulisha maneno yako, weka hayo mabadiliko yanayotakiwa yabadilishwe. Mbona umetaja vifungu ukaweka porojo zako badala ya hayo ya muswaa sasa hivi yako vipi na mapendekezo yatayobadilishwwa yako hivi. Sijaona..

DP World inahusiana nini na sheria zenu za ndani?

Wacha soinning.
Kiwango chako cha chini mno unajikuza Kwa udini tu. Mkataba wenu wa Kimangungo ndo ulivyotaka sheria za ndani ziwapendelee DPW, hapa unasema sheria za ndani haziihusu DPW, Una akili kweli?
 
Kiwango chako cha chini mno unajikuza Kwa udini tu. Mkataba wenu wa Kimangungo ndo ulivyotaka sheria za ndani ziwapendelee DPW, hapa unasema sheria za ndani haziihusu DPW, Una akili kweli?
Unauongelea mkataba upi? IGA?

Au unao mwengine?
 
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Angalieni

Muswada wa The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023 umesomwa kwa mara ya Kwanza tr. 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).

Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika Sheria Tano ikiwemo :

1. Sheria ya Chuo cha
Bahari Dar es Salaam, Sura ya 253;

2. Sheria ya Mamlaka ya Nchi
Kuhusiana na Umiliki wa Mali na Rasilimali Asilia, Sura ya 449;

3. Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusu Utajiri na Maliasilia za Nchi (Mapitio ya
Mikataba na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi), Sura ya 450 na

Hii ni sawa na kutudharau wananchi
Wanasema “kwani watatufanya nini?”
Jamani mliokuwa mnamsifia eti ni msikivu mbona mko kimya? 🤣
#TutaelewanaTu lakini

=============

Taarifa hii ni kwa Kwa mujibu wa Muswada wa Marebisho ya Sheria Mbalimbali No. 2 wa mwaka 2023 uliosomwa kwa mara kwanza Bungeni Dodoma, Juni 28, 2023.

Muswada huo unapendekeza kutotumika kwa Sheria mbili zilizopitishwa na Bunge mwaka 2017 kwa madhumuni ya Kulinda Rasilimali zote za Tanzania katika Miradi ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari endapo itakuwa imesharidhiwa na Baraza la Mawaziri.

Katika mapendekezo ya mabadiliko hayo, Muswada unataka Sheria hizi zisitumike ili kuwezesha Bandari za Tanzania zifanye kazi kwa Viwango vya Kimataifa zikipata Meli kubwa za Mizigo mikubwa.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili. The Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignity) Act, 2017

Sheria inaweka bayana kuwa Maliasili ni mali ya Watanzania na zinasimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa niaba yao.

Inaeleza kuwa Mikataba yote ya Uwekezaji katika Maliasili inatakiwa kuidhiniswa na Bunge.

Sheria inaweka wazi kuwa makubaliano yoyote ya Uwekezaji lazima yazingatie Uhuru na Haki ya Umiliki wa Watanzania juu ya Maliasili yao.

Inazuia utoroshaji wa Fedha zinazopatikana katika Uwekezaji wa Maliasili.

Sheria ya Mapitia na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Mikataba ya Maliasili za Nchi. The Natural Wealth and Resorces Contracts (Review and Re-negotiations of Unconscionable Terms) Act, 2027

Sheria inalipa Nguvu Bunge kupitia Mikataba yote inayoingiwa na Serikali kuhusiana na Maliasili za Tanzania.

Sheria hii kwa kupitia vifungu vyake inaweza vigezo kuwa Serikali inaweza kupitia upya Mikataba na Makubaliano ambayo hayana Maslahi kwa Taifa.

Ninaota ota njozi za kuogofya kuhusu Tanzania Yangu.

Tusiache kumlilia Mungu kila mmoja kwa sauti yake, hakika ATATUSIKIA
 
Kitendo chochote cha kufuta sheria zinazolinda Rasilimali zetu za Nchi na kuweka sheria zinazohujumu Rasilimali zetu kitatafsiriwa kuwa ni Uhaini, na yeyote atakayewezesha kwa namna yoyote ile kufanikisha kufuta sheria zinazolinda Rasilimali zetu za Nchi, atahesabika kama ni Mhaini, hivyo atachukuliwa hatua kali sawasawa na Uhaini wake.
 
Huu ni uhaini.

Hivi Jeshi la Wananchi wa Tanzania liko wapi kuzuia hii Treason?

Au siku hizi Jeshi letu limebaki na mambo ya kupasua matofali kwa kichwa ila haliwezi kuzuia Uhaini wa wazi namna hii?
Hapa ndipo tunapaswa kujua tuna USALAMA WA TAIFA au tuna USALAMA WA WALA TAIFA!! Usalama wa Taifa mko wapi?
 
Treason? Is more than that
Mama how dare you!! Halafu bila aibu unasema (kwa sauti ya kubana pua): "hakuna mwenye ubavu wa kuiuza nchi yetu"!! Unasema hayo wakati umeshauza tayari na sasa unahangaika kubadili sheria uliyoikiuka ili uandike sheria inayoruhusu uuzwaji wa nchi yetu!! Kauze huko zanzibar!!
 
Samia bado kang'ang'ania kubadili sheria ya kizalendo kabisa ili kumuwezesha mwarabu kutwaa bandari zetu.
Hii ni aibu!
 
Back
Top Bottom