Serikali imeshikwa pabaya sana kesi ya Mbowe na wenzake

Serikali imeshikwa pabaya sana kesi ya Mbowe na wenzake

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,995
Hii kesi serikali ilijiaminisha hatari, Sirro akatangazia dunia kuwa wanao ushaidi wa kutosha wa kumtia hatiani Mbowe, Tena akataja wanao mashaidi 24. Walidhani wataendesha kesi gizani, ndo maana mwanzoni walikuwa wanakataza watu wasiingie mahakamani. ASP Kingai alifikia hatua ya kumwambia Mbowe kuwa safari hii hatoki.

Mashitaka yalikuwa na page 224[emoji1], hadi Sasa Jamuhuri wamefunga ushahidi, DCI mstaafu ni Kama amesitiliwa maana angekanyaga kizimbani angekoma. Sasa endapo kina Mbowe watakuwa na kesi ya kujibu itakuwa pigo kwa Sabaya,Sirro na DGIS( Diwani) maana kina Kibatara waliwaweka Kama mashaidi wa utetezi. Itapidi wapande kizimbani kutoa ushaidi.

Wakiwakuta hawana kesi ya kujibu, itakuwa pigo kwa Hangaya na polisi maana watakuwa wameumbuka, na Mbowe atakuja na spirit Kali Sana na hatokuwa anaogopa kitu labda wampige risasi

Nilisema matokeo yeyote ya hii kesi Mbowe ndo mshindi
 
Kwa kuwa Chadema Wana kelele sana, hii kesi haitaisha katika no case to answer, itaenda mpaka utetezi, kule Jaji Ephery Kisanya, aliyekuwa Msaidizi wa mwanasheria mkuu(private secretary) anaikimbiza kesi ya Sabaya ili Mbowe na Sabaya wakutane gerezani, Jana kakataa kuisogeza mbele ili Moses Mahuna wakili wa sabaya afike, kwa hiyo hapa kuna mawili, Mbowe na Sabaya wakutane gerezani wakazichape wamalize bifu lao(sabaya atakuwa nyapara wa Mbowe gerezani) au wote waachiwe, Chadema mtachagua muanze kufurahia na kununia lipi.

Sisi Chadema wenye roho nzuri tutamuomba mama atoe msamaha wa Rais kwa Mbowe, aliteleza tu kutenda uhalifu, ila wale maafande wajipange
 
Mbowe atakuwa mshindi kwa nyie RAIA mnaona haki haitendeki na bado mpo kimya-atakuwa mshindi hadi hapo SAMIA na CCM yake wakitaka,vinginevyo atafungwa na nyie mpo tu nyumba ya keyboard na twitter.
 
Kwa kuwa Chadema Wana kelele sana, hii kesi haitaisha katika no case to answer, itaenda mpaka utetezi, kule Jaji Ephery Kisanya, aliyekuwa Msaidizi wa mwanasheria mkuu(private secretary) anaikimbiza kesi ya Sabaya ili Mbowe na Sabaya wakutane gerezani, Jana kakataa kuisogeza mbele ili Moses Mahuna wakili wa sabaya afike, kwa hiyo hapa kuna mawili, Mbowe na Sabaya wakutane gerezani wakazichape wamalize bifu lao(sabaya atakuwa nyapara wa Mbowe gerezani) au wote waachiwe, Chadema mtachagua muanze kufurahia na kununia lipi.

Sisi Chadema wenye roho nzuri tutamuomba mama atoe msamaha wa Rais kwa Mbowe, aliteleza tu kutenda uhalifu, ila wale maafande wajipange
"Kwa kuwa Chadema wana kelele sana...."

"Sisi Chadema wenye...."

My Take: Ukihiyo ni mzigo sana.
 
Mkuu wa machief alituaminisha kwamba wenzake na Mbowe walishafungwa kwa kesi ya ugaidi ni kina nani hao
 
Hii kesi serikali ilijiaminisha hatari, Sirro akatangazia dunia kuwa wanao ushaidi wa kutosha wa kumtia hatiani Mbowe, Tena akataja wanao mashaidi 24. Walidhani wataendesha kesi gizani, ndo maana mwanzoni walikuwa wanakataza watu wasiingie mahakamani. ASP Kingai alifikia hatua ya kumwambia Mbowe kuwa safari hii hatoki.

Mashitaka yalikuwa na page 224[emoji1], hadi Sasa Jamuhuri wamefunga ushahidi, DCI mstaafu ni Kama amesitiliwa maana angekanyaga kizimbani angekoma. Sasa endapo kina Mbowe watakuwa na kesi ya kujibu itakuwa pigo kwa Sabaya,Sirro na DGIS( Diwani) maana kina Kibatara waliwaweka Kama mashaidi wa utetezi. Itapidi wapande kizimbani kutoa ushaidi.

Wakiwakuta hawana kesi ya kujibu, itakuwa pigo kwa Hangaya na polisi maana watakuwa wameumbuka, na Mbowe atakuja na spirit Kali Sana na hatokuwa anaogopa kitu labda wampige risasi

Nilisema matokeo yeyote ya hii kesi Mbowe ndo mshindi
Mashitaka yalikuwa na page 224[emoji1], hadi Sasa Jamuhuri wamefunga ushahidi, DCI mstaafu ni Kama amesitiliwa maana angekanyaga kizimbani angekoma. Sasa endapo kina Mbowe watakuwa na kesi ya kujibu itakuwa pigo kwa Sabaya,Sirro na DGIS( Diwani) maana kina Kibatara waliwaweka Kama mashaidi wa utetezi. Itapidi wapande kizimbani kutoa ushaidi.[emoji23]
 
Huwajui ccm wewe wanaweza pindisha hukumu kila mtu akabaki anatoa macho
 
Back
Top Bottom