Serikali imeshikwa pabaya sana kesi ya Mbowe na wenzake

Serikali imeshikwa pabaya sana kesi ya Mbowe na wenzake

Kwa kuwa Chadema Wana kelele sana, hii kesi haitaisha katika no case to answer, itaenda mpaka utetezi, kule Jaji Ephery Kisanya, aliyekuwa Msaidizi wa mwanasheria mkuu(private secretary) anaikimbiza kesi ya Sabaya ili Mbowe na Sabaya wakutane gerezani, Jana kakataa kuisogeza mbele ili Moses Mahuna wakili wa sabaya afike, kwa hiyo hapa kuna mawili, Mbowe na Sabaya wakutane gerezani wakazichape wamalize bifu lao(sabaya atakuwa nyapara wa Mbowe gerezani) au wote waachiwe, Chadema mtachagua muanze kufurahia na kununia lipi.

Sisi Chadema wenye roho nzuri tutamuomba mama atoe msamaha wa Rais kwa Mbowe, aliteleza tu kutenda uhalifu, ila wale maafande wajipange
Nyo nyo nyo[emoji1][emoji1]
 
Mbowe atakuwa mshindi kwa nyie RAIA mnaona haki haitendeki na bado mpo kimya-atakuwa mshindi hadi hapo SAMIA na CCM yake wakitaka,vinginevyo atafungwa na nyie mpo tu nyumba ya keyboard na twitter.
Si afungwe Sasa kwani tumebisha Tena ugaidi Ni miaka 30[emoji1]
 
Mbowe atakuwa mshindi kwa nyie RAIA mnaona haki haitendeki na bado mpo kimya-atakuwa mshindi hadi hapo SAMIA na CCM yake wakitaka,vinginevyo atafungwa na nyie mpo tu nyumba ya keyboard na twitter.
Na wewe uko wapi juu au mbele ya key board??
 
Bado natafakari mengi katika aridhi yangu ya Tanzania,ninajiuliza maswali mengi majibu Sina, je? tunapoenda kusali tuna maanisha? je ? tuna amini kabisa kutenda dhambi ya kusema uongo ni kosa kwa Mungu?.Au watanzania tuliowengi tunaenda kanisani kama fashion? ili watu watuone kuwa nasi tu wafuasi wa dini.Kwa maoni yangu watanzania wengi tunaenda kanisani kinafiki tu.Tungekuwa serious na dini zetu haya mambo ya hovyo yasingekuwepo Kwenye Jamii yetu.Na mhe, Mbowe angekuwa anaendelea na Maisha yake kama kawaida tu.Kwa sababu watu tungekuwa na hofu ya Mungu.
 
Kwa kuwa Chadema Wana kelele sana, hii kesi haitaisha katika no case to answer, itaenda mpaka utetezi, kule Jaji Ephery Kisanya, aliyekuwa Msaidizi wa mwanasheria mkuu(private secretary) anaikimbiza kesi ya Sabaya ili Mbowe na Sabaya wakutane gerezani, Jana kakataa kuisogeza mbele ili Moses Mahuna wakili wa sabaya afike, kwa hiyo hapa kuna mawili, Mbowe na Sabaya wakutane gerezani wakazichape wamalize bifu lao(sabaya atakuwa nyapara wa Mbowe gerezani) au wote waachiwe, Chadema mtachagua muanze kufurahia na kununia lipi.

Sisi Chadema wenye roho nzuri tutamuomba mama atoe msamaha wa Rais kwa Mbowe, aliteleza tu kutenda uhalifu, ila wale maafande wajipange
Stupid
 
Nchi za kiafrika zinajichimbia kaburi na kujizika kisha zinasingizia mabeberu.

WAKE UP, RISE UP AFRICANS.
 
Bado natafakari mengi katika aridhi yangu ya Tanzania,ninajiuliza maswali mengi majibu Sina, je? tunapoenda kusali tuna maanisha? je ? tuna amini kabisa kutenda dhambi ya kusema uongo ni kosa kwa Mungu?.Au watanzania tuliowengi tunaenda kanisani kama fashion? ili watu watuone kuwa nasi tu wafuasi wa dini.Kwa maoni yangu watanzania wengi tunaenda kanisani kinafiki tu.Tungekuwa serious na dini zetu haya mambo ya hovyo yasingekuwepo Kwenye Jamii yetu.Na mhe, Mbowe angekuwa anaendelea na Maisha yake kama kawaida tu.Kwa sababu watu tungekuwa na hofu ya Mungu.
Mungu angekuwa na nafasi katika nafsi za watanzania, tusingekuwa tunatawaliwa kwa uongo miaka 60.
 
SSH kujisafisha amtoe Sirro itaonekana alidanganywa na anapenda haki
 
Ndio maana Bwana Dalali kutoka Kigoma alikazana sana kutaka Mbowe aombe radhi, paymasters wake itakuwa walishamwambia tunaenda kupata aibu, fanya jambo!
 
Mbowe akitoka polisi watakuwa na aleji nae wataogopa kumsogelea
Jidanganyeni/poleni sana..
Hivi unajua katika nchi yoyote ile hata huko dunia akatokea mmoja wao awe mwanasiasa au raia wa kawaida naserikali ikaona kuwa atasumbua hivi unajua wanafanyaje?
Ngoja nichomekee neti kwanza
 
Mungu angekuwa na nafasi katika nafsi za watanzania, tusingekuwa tunatawaliwa kwa uongo miaka 60.
Mkuu hili ndo nimeliandika hapa haiwezekani Ukasimame kusema uongo hadharani watu maelfu kwa maelfu wakusikie na pengine kukuona unasema uongo wa dhahili Kisha siku inayofuata unapiga magoti kanisani.Huu ni unafiki wa kiwango Cha lami na utatufikisha pabaya tuwe na hofu ya Mungu sio kuharibu Maisha ya mwenzio kiasi hicho
 
Hii kesi serikali ilijiaminisha hatari, Sirro akatangazia dunia kuwa wanao ushaidi wa kutosha wa kumtia hatiani Mbowe, Tena akataja wanao mashaidi 24. Walidhani wataendesha kesi gizani, ndo maana mwanzoni walikuwa wanakataza watu wasiingie mahakamani. ASP Kingai alifikia hatua ya kumwambia Mbowe kuwa safari hii hatoki.

Mashitaka yalikuwa na page 224[emoji1], hadi Sasa Jamuhuri wamefunga ushahidi, DCI mstaafu ni Kama amesitiliwa maana angekanyaga kizimbani angekoma. Sasa endapo kina Mbowe watakuwa na kesi ya kujibu itakuwa pigo kwa Sabaya,Sirro na DGIS( Diwani) maana kina Kibatara waliwaweka Kama mashaidi wa utetezi. Itapidi wapande kizimbani kutoa ushaidi.

Wakiwakuta hawana kesi ya kujibu, itakuwa pigo kwa Hangaya na polisi maana watakuwa wameumbuka, na Mbowe atakuja na spirit Kali Sana na hatokuwa anaogopa kitu labda wampige risasi

Nilisema matokeo yeyote ya hii kesi Mbowe ndo mshindi
Jaji akija na uamuzi kuwa kuna kesi nafikiri Maza, Boaz na Sirro watakuwa mashahidi wazuri sana......!!
 
Back
Top Bottom