Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina Kingai hawawezi kukuelewaBado natafakari mengi katika aridhi yangu ya Tanzania,ninajiuliza maswali mengi majibu Sina, je? tunapoenda kusali tuna maanisha? je ? tuna amini kabisa kutenda dhambi ya kusema uongo ni kosa kwa Mungu?.Au watanzania tuliowengi tunaenda kanisani kama fashion? ili watu watuone kuwa nasi tu wafuasi wa dini.Kwa maoni yangu watanzania wengi tunaenda kanisani kinafiki tu.Tungekuwa serious na dini zetu haya mambo ya hovyo yasingekuwepo Kwenye Jamii yetu.Na mhe, Mbowe angekuwa anaendelea na Maisha yake kama kawaida tu.Kwa sababu watu tungekuwa na hofu ya Mungu.
Rubbish Trump anamsumbua Biden aswaaa, narudia aswaaa, refer campaign zake uko Texas, na Arizona,,,wamemfanyaje[emoji57]Jidanganyeni/poleni sana..
Hivi unajua katika nchi yoyote ile hata huko dunia akatokea mmoja wao awe mwanasiasa au raia wa kawaida naserikali ikaona kuwa atasumbua hivi unajua wanafanyaje?
Ngoja nichomekee neti kwanza
Mnamrudisha kichaa Trump?Rubbish Trump anamsumbua Biden aswaaa, narudia aswaaa, refer campaign zake uko Texas, na Arizona,,,wamemfanyaje[emoji57]
Hawa ni mazumbukuku, wanachoambiwa wanameza tu. Trump alishaanza kampeni za 2024 mara baada ya Biden kuapishwaRubbish Trump anamsumbua Biden aswaaa, narudia aswaaa, refer campaign zake uko Texas, na Arizona,,,wamemfanyaje[emoji57]
Mimi toka lissu alipopigwa risasi na bado akapokonywa ubunge ndipo nilipoamini ccm ni chama cha mashetani.Bado natafakari mengi katika aridhi yangu ya Tanzania,ninajiuliza maswali mengi majibu Sina, je? tunapoenda kusali tuna maanisha? je ? tuna amini kabisa kutenda dhambi ya kusema uongo ni kosa kwa Mungu?.Au watanzania tuliowengi tunaenda kanisani kama fashion? ili watu watuone kuwa nasi tu wafuasi wa dini.Kwa maoni yangu watanzania wengi tunaenda kanisani kinafiki tu.Tungekuwa serious na dini zetu haya mambo ya hovyo yasingekuwepo Kwenye Jamii yetu.Na mhe, Mbowe angekuwa anaendelea na Maisha yake kama kawaida tu.Kwa sababu watu tungekuwa na hofu ya Mungu.
Mkuu what "goes around comes around" Amini Amini nakuambia Mungu huwa analipa hapa hapa duniani nazani unanielewa wote waliohusika Mungu ameshajidhihilisha kwao.Tatizo watanzania hatutaki kujifunza kwa yaliyopita lkn unaweza ukauona ukuu wa Mungu.Yuko wapi Ndungai aliyesimama Bungeni kusema Tundu Lissu hajulikani alipo amesahau kuwa siku ya tukio alikuwepo na watanzania wote tulimuona lkn kisa madaraka akamkana Lissu kama Petro alivyomkana Yesu.Lkn Mungu yupo kzn daima na alikuwa upande wa Lissu kama alivyokuwa upande wa Daudi daima awapo vitani.Mimi toka lissu alipopigwa risasi na bado akapokonywa ubunge ndipo nilipoamini ccm ni chama cha mashetani.
Hii kesi serikali ilijiaminisha hatari, Sirro akatangazia dunia kuwa wanao ushaidi wa kutosha wa kumtia hatiani Mbowe, Tena akataja wanao mashaidi 24. Walidhani wataendesha kesi gizani, ndo maana mwanzoni walikuwa wanakataza watu wasiingie mahakamani. ASP Kingai alifikia hatua ya kumwambia Mbowe kuwa safari hii hatoki.
Mashitaka yalikuwa na page 224[emoji1], hadi Sasa Jamuhuri wamefunga ushahidi, DCI mstaafu ni Kama amesitiliwa maana angekanyaga kizimbani angekoma. Sasa endapo kina Mbowe watakuwa na kesi ya kujibu itakuwa pigo kwa Sabaya,Sirro na DGIS( Diwani) maana kina Kibatara waliwaweka Kama mashaidi wa utetezi. Itapidi wapande kizimbani kutoa ushaidi.
Wakiwakuta hawana kesi ya kujibu, itakuwa pigo kwa Hangaya na polisi maana watakuwa wameumbuka, na Mbowe atakuja na spirit Kali Sana na hatokuwa anaogopa kitu labda wampige risasi
Nilisema matokeo yeyote ya hii kesi Mbowe ndo mshindi
yee babaa, ili tuendelee na harakati zetu za kudai KATIBA MPYA tukiwa na kamanda wetu - zege halilali yaani kwa kesi hii ni kama wameifanyia service engine yetu.Inatosha SASA Kwa akina mbowe kukaa jela
Mungu afanye njia Kwa akina mbowe waweze kuwa huru
Usishangae Jaji akasema wama kesi ya kujibu. Nasema hivi kwa grounds tatu.Wamejitafutia laana tupu.
we boya kelele hazinyamazishwi kwa uonevu, it only applied enzi za ukoloni ambapo kila jambo lilikuwa gizani, elevuka!!Kwa kuwa Chadema Wana kelele sana
NeverUsishangae Jaji akasema wama kesi ya kujibu. Nasema hivi kwa grounds tatu.
1. Kumbuka kuna jaji alihongwa cheo kwenye hii kesi
2. Kama state ndio wako nyuma ya hii kesi hata hukumu jaji aliepo anapewa kusoma hukumu tuu. Huwezi nishawishi jaji anaweza kufanya majumuisho ya karatasi 1500 kwa siku mbili.
3. Kwa sasa Tanzania hakuna mahakama bali kuna chama cha siasa kinaitwa mahakama.
4. Kuna baadhi ya maamuzi huyu jaji alikuwa anaonekana nae kama wakili upande wa mashtaka.
All in all Mungu huwapatiliza waovu sasa sawa na matendo yao.
Wataandika hukumu mbaya lakini atakae soma atapigwa upofu.. #Mbowe sio gaidi