Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

Nakuonea huruma kwa kuwaona watu wanaotumia nguvu kulinda wananchi na mali zao kuwa madikteta
Je USA na NATO yao China Urusi ujerumani nazitumii nguvu kwa demokrasia na ukomunisti kutuhadaa
Waafrika na kujaribu kutawala ulimwengu

Basi nakwambia subiri ndo kwanza tunaanza uzi makini sana umesisimua hamu yangu ya black panther
Unataka kusemaje mkuu.
 
Korea kaskazini ni nchi wanayoishi maisha yao pekee yao na kwa namba yao hawafanyi uchaguzi unaogawanya watu na kupoteza kodi kwenye kampeni wala mda hawacheki na wala rushwa ukila rushwa na kutapeli mali ya umma utaonja adhabu ya kifo hawaigi utamaduni wa nchi nyingine yeyote hawatumii mitandao ya kijamii inayozembesha watu hawana dini inayowagawanya hakuna tv inayorusha matangazo mchana mda wa KAZI hawavai modo kukumbatiana au kubusiana hadharani.

Leo taifa lao lina lina ubavu wa kusimama na kukutunishiana misuli na Marekani

Nambie hakuna BBC, CNN, DW wala UN wala mtandao wowote wa kijamii nchi ina channel tatu tu 2 zinaonesha weekend tu hizo chokochoko za kutibua nchi zinaiingilia wapi?
Huko wanaishi watu au hayawani.🤣🤣🤣
 
Ukiwaambia waswahili haya wataona kama unataka kuwapeleka Utumwani,, wamesahau already wapo kwenye Utumwa.

Kuendana na kasi ya Dunia hatuna huo uwezo., tunazidi kupoteza vizazi creative na tuna depend kwa wao.
Acheni uongo na kudanganya watu.
 
Unataka kusemaje mkuu.
Ninachotaka kusema magufuli alitumia nguvu kwa aina yake na ufundi wake kuiletea maendeleo nchi yake na kuwalinda watu wake kisawasawa .
Huwezi kushindana na mtu mkali kwa kumfanya ajione yeye anaogopwa huwezi kumtoa siafu kwenye ngozi kwa kusema ondoka lazima umng'oe huwezi kuacha dhambi kwa kujibembeleza ni lazima utumie nguvu kuiacha
Nchi zinazotetea demokrasia zinatumia demokrasia kunyonya nchi maskini na kujaribu kuitawala dunia kwa mgongo huo kumbuka pia nchi hizo zinazodai kuwa za kidemokrasia zinaendesha muungano wa kijeshi wa NATO unaowajibika katika mauaji duniani gaddafi na viongozi wengi wameuawa chini ya muungano huu wa kijeshi je huu si udikteta kuvamia nchi za watu na kufanya mauaji na machafu mengi ya ovyo yapo ndani ya hii demokrasia
Kiufupi ndio maana putin alisema hajui kwa nini nato bado ipo ni hatari kwake kuwa na mbwa wa nato wanaochungulia kwa nchi yake ndio sababu anawatoa karibu yake kwa nguvu kubwa kwa sababu maneno tupu haingewezekana.
Magu pia alikaataa wachina wasijenge military base yao bagamoyo na kwa sababu wana uchu wakageuza mradi uwe wa bandari bado akagoma lengo si kuwa na tija ila mbwa wa jirani yako akiwa karibu lolote laweza tokea .
Na akakataa mikopo nyote mnajua mikopo ina riba sasa matrioni yamekopwa mtakua mbwa wa mkopeshaji wenu chochote atachosema mtamtii na chochote atachodai mtampa mkumbuke mikopo inaongezeka riba kila mwaka basi msubiri kuuza migodi kuporwa mashirika kuuza miradi au hata kukubali masharti ya kipuuzi kabisa.

Hakuna atakayeendelea kwa kukopa
Huo ni uongo
Hatutaendelea kwa kubembelezana
Hilo liko wazi
Hakuna ukuu pasipo udikteta. Ujerumani ya adolf hitler china ya mao ze dong n.korea ya Kim ulaya ya ukoloni na marekani ya kijasusi Urusi ya kikomunisti japani ya utawala wa kijeshi italy ya ubepari wa kidini uarabuni ya kifalme ndio zimefanya mataifa yote hayo yawe makubwa leo
Salia mnyonge uonewe
Au tupambane na hali zetu kama magu alivyotaka au kama gaddafi alivyoona

Sisi hatujatumia unyama kuendelea
Tulitumia maarifa ya magu chap

Sasa na hayo matrioni mliyokopa yapo wapi sasa .

Tumsingizie magu kwa vile kafa
Acheni hizo
Magu hakuwa dikteta iko hivyo
Itakua hivyo.
Alitumia nguvu kulinda wananchi wake.
 
Ninachotaka kusema magufuli alitumia nguvu kwa aina yake na ufundi wake kuiletea maendeleo nchi yake na kuwalinda watu wake kisawasawa .
Huwezi kushindana na mtu mkali kwa kumfanya ajione yeye anaogopwa huwezi kumtoa siafu kwenye ngozi kwa kusema ondoka lazima umng'oe huwezi kuacha dhambi kwa kujibembeleza ni lazima utumie nguvu kuiacha
Nchi zinazotetea demokrasia zinatumia demokrasia kunyonya nchi maskini na kujaribu kuitawala dunia kwa mgongo huo kumbuka pia nchi hizo zinazodai kuwa za kidemokrasia zinaendesha muungano wa kijeshi wa NATO unaowajibika katika mauaji duniani gaddafi na viongozi wengi wameuawa chini ya muungano huu wa kijeshi je huu si udikteta kuvamia nchi za watu na kufanya mauaji na machafu mengi ya ovyo yapo ndani ya hii demokrasia
Kiufupi ndio maana putin alisema hajui kwa nini nato bado ipo ni hatari kwake kuwa na mbwa wa nato wanaochungulia kwa nchi yake ndio sababu anawatoa karibu yake kwa nguvu kubwa kwa sababu maneno tupu haingewezekana.
Magu pia alikaataa wachina wasijenge military base yao bagamoyo na kwa sababu wana uchu wakageuza mradi uwe wa bandari bado akagoma lengo si kuwa na tija ila mbwa wa jirani yako akiwa karibu lolote laweza tokea .
Na akakataa mikopo nyote mnajua mikopo ina riba sasa matrioni yamekopwa mtakua mbwa wa mkopeshaji wenu chochote atachosema mtamtii na chochote atachodai mtampa mkumbuke mikopo inaongezeka riba kila mwaka basi msubiri kuuza migodi kuporwa mashirika kuuza miradi au hata kukubali masharti ya kipuuzi kabisa.

Hakuna atakayeendelea kwa kukopa
Huo ni uongo
Hatutaendelea kwa kubembelezana
Hilo liko wazi
Hakuna ukuu pasipo udikteta. Ujerumani ya adolf hitler china ya mao ze dong n.korea ya Kim ulaya ya ukoloni na marekani ya kijasusi Urusi ya kikomunisti japani ya utawala wa kijeshi italy ya ubepari wa kidini uarabuni ya kifalme ndio zimefanya mataifa yote hayo yawe makubwa leo
Salia mnyonge uonewe
Au tupambane na hali zetu kama magu alivyotaka au kama gaddafi alivyoona

Sisi hatujatumia unyama kuendelea
Tulitumia maarifa ya magu chap

Sasa na hayo matrioni mliyokopa yapo wapi sasa .

Tumsingizie magu kwa vile kafa
Acheni hizo
Magu hakuwa dikteta iko hivyo
Itakua hivyo.
Alitumia nguvu kulinda wananchi wake.
Kwa kuwa kutoa maoni ni uhuru wa mtu basi sawa. Haya ni maoni yako binafsi
 
Kinyume cha moja sio sifuri ni hasi moja, mtu kazungumzia aliyepo sasa wewe unamlazimisha awe mfuasi wa aliyepita, kwan kila lifanyikalo sasa ni kinyume cha waliopita?
 
Ninachotaka kusema magufuli alitumia nguvu kwa aina yake na ufundi wake kuiletea maendeleo nchi yake na kuwalinda watu wake kisawasawa .
Huwezi kushindana na mtu mkali kwa kumfanya ajione yeye anaogopwa huwezi kumtoa siafu kwenye ngozi kwa kusema ondoka lazima umng'oe huwezi kuacha dhambi kwa kujibembeleza ni lazima utumie nguvu kuiacha
Nchi zinazotetea demokrasia zinatumia demokrasia kunyonya nchi maskini na kujaribu kuitawala dunia kwa mgongo huo kumbuka pia nchi hizo zinazodai kuwa za kidemokrasia zinaendesha muungano wa kijeshi wa NATO unaowajibika katika mauaji duniani gaddafi na viongozi wengi wameuawa chini ya muungano huu wa kijeshi je huu si udikteta kuvamia nchi za watu na kufanya mauaji na machafu mengi ya ovyo yapo ndani ya hii demokrasia
Kiufupi ndio maana putin alisema hajui kwa nini nato bado ipo ni hatari kwake kuwa na mbwa wa nato wanaochungulia kwa nchi yake ndio sababu anawatoa karibu yake kwa nguvu kubwa kwa sababu maneno tupu haingewezekana.
Magu pia alikaataa wachina wasijenge military base yao bagamoyo na kwa sababu wana uchu wakageuza mradi uwe wa bandari bado akagoma lengo si kuwa na tija ila mbwa wa jirani yako akiwa karibu lolote laweza tokea .
Na akakataa mikopo nyote mnajua mikopo ina riba sasa matrioni yamekopwa mtakua mbwa wa mkopeshaji wenu chochote atachosema mtamtii na chochote atachodai mtampa mkumbuke mikopo inaongezeka riba kila mwaka basi msubiri kuuza migodi kuporwa mashirika kuuza miradi au hata kukubali masharti ya kipuuzi kabisa.

Hakuna atakayeendelea kwa kukopa
Huo ni uongo
Hatutaendelea kwa kubembelezana
Hilo liko wazi
Hakuna ukuu pasipo udikteta. Ujerumani ya adolf hitler china ya mao ze dong n.korea ya Kim ulaya ya ukoloni na marekani ya kijasusi Urusi ya kikomunisti japani ya utawala wa kijeshi italy ya ubepari wa kidini uarabuni ya kifalme ndio zimefanya mataifa yote hayo yawe makubwa leo
Salia mnyonge uonewe
Au tupambane na hali zetu kama magu alivyotaka au kama gaddafi alivyoona

Sisi hatujatumia unyama kuendelea
Tulitumia maarifa ya magu chap

Sasa na hayo matrioni mliyokopa yapo wapi sasa .

Tumsingizie magu kwa vile kafa
Acheni hizo
Magu hakuwa dikteta iko hivyo
Itakua hivyo.
Alitumia nguvu kulinda wananchi wake.
Kichwa kinauma ngoja nikalewe nilale

Ningekuwa mimi ni rais......

Sijui ingekuwaje
 
SERIKALI IMEUNGANA NA DUNIA YA KWANZA KUWAKANDAMIZA MASIKINI. NAMI NASEMA WAMALIZENI KABISA

Na, Robert Heriel

Kusoma wakati mwingine sio kuelimika, ninaushahidi wa kutosha usiotia Shaka kuwa wasomi wanashindwa na mambo mengi zaidi ya Wale wasiosoma.

Sio kwenye ndoa, sio kwenye kazi, sio kwenye uongozi.

Unajua ni kwanini?

Kwa sababu wasomi wengi wamesomea upumbavu kama sio ujinga.

Ni Kwa sababu wasomi wamefundishwa kuwa Uniform, kufanana, kuwa kama Fulani (hasa kuwa kama Wazungu) ni nadra elimu ya wasomi wengi Kwa jamii zetu zikamfundisha mtu kuwa mbunifu zaidi ya kukariri mambo.

Ndio maana wasomi wengi na Wale wanaojiona hivyo na wenye kutumainiwa kwenye taifa hili, wasomi mashuhuri, iwe maarufu kwenye mitandao wengi hujionea fahari kujiona wasomi Kwa kukariri na kujisarehesha na Wazungu.

Wengi huwa na mtazamo kuwa Uzungu ndio usomi na hapo ndipo upumbavu wao unapodhihirika.

Wazungu wanafahamu wazi kuwa elimu waliyotupa ni mtego wao muhimu na wapekee kutufanya tuwe watu wasioweza kufikiri vizuri, tuwe watu wa bendera fuata UPEPO.

Yaani Mzungu akifanya nawe unaiga kunya Kwa Tembo.

Wasomi wengi ni waiga kunya Kwa Tembo. Siwalaumu Kwa sababu ndio wameshaathirika kisaikolojia.

Afrika haiwezi kuendelea Kwa sababu maendeleo yake niya bendera fuata UPEPO, kuiga Kwa Tembo.

Ni nadra Sana umkute msomi asiyeiga kunya Kwa Tembo, nadra Sana.

Mzungu akisema Uzazi wa mpango, bendera fuata UPEPO nao HAO.
Mzungu akisema haki Sawa, bendera fuata UPEPO hao.
Mzungu akisema Demokrasia, waiga kunya Kwa Bata HAO.
Mzungu akisema haki za wapenzi WA jinsia moja, wasomi uchwara nao HAO.
Mzungu akisema waliopewa mimba waendele na Shule, wenzangu na miye HAO wanarukia makida.

Huwezi iga watu ambao mpo tofauti nao Kwa karibu kila kitu.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu masikini na wajinga Kama nchi za Afrika huko ni kuikandamiza Afrika na Nchi yako.

Hivi masikini tangu lini akawa na demokrasia?

Tangu lini masikini na mjinga akapewa demokrasia nauliza.

Demokrasia ya Wazungu ilikuja baada ya maendeleo kukua, baada ya watu kupata elimu.

Unaletaje Haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume kwenye jamii ya watu masikini na wajinga. Ajabu Sana hii.

Haki Sawa inawafaa watu walioendelea kiasi na walioikimbia UMASIKINI.

Kwenye umasikini lazima mfumo mmoja utumike IMA ni mfumo jike au mfumo Dume.

Sasa unaruhusu wanawake wafanye kazi Kama wanaume alafu muda huo huo sheria hubadili unaacha Kama zilivyokuwa; mwanaume ndiye anawajibu WA kumtunza mwanamke! Hivi hiyo ni Akili kweli ndugu zangu.

Hivi hamuoni kuwa Kama mwanamke kwenye jamii masikini akipewa nafasi ya za kuajiriwa automatically tatizo la Ajira litajitokeza,

Hamfikirii kuwa Kuruhusu wanawake wafanye kazi automatically ni kuangusha taasisi ya ndoa. Hamuoni kuwa Vijana watachelewa kuoa kwani Ajira zitakuwa hakuna?

Wasomi lazima tuelewe kuwa, huwezi taka nchi yako masikini ifanane kimifumo na Nchi zilizoendelea.

Nchi zilizoendelea zinazouwezo wa kufanya hivyo Kwa sababu zimeshaendelea, kwenye maendeleo ndio kuna haki Sawa. Hata wanawake wakiajiriwa ni Sawa Kwa sababu serikali inajua wapi itapata pesa iwe Kwa kudhulumu na kunyonya nchi masikini au kuzitawala kabisa.

Sasa kanchi Kako hata uwezo wa kuvamia taifa jingine ili waibe Mali hakana unataka kuiga mambo ya nchi kubwa. Wasomi tuweni Sirius tunaongoza Nchi.

Kama serikali na wasomi ingekuwa inawapenda watoto wakike, ingeweka mipango na mikakati wasijiingize kwenye ngono zembe mapema, wangezuia watoto wasifanye zinaa ili wasipate matokeo ya zinaa ambayo huweza kuwa chanya au Hasi.

Wazungu sio kwamba wanaakili kutuzidi Waafrika isipokuwa viongozi na wasomi wa Afrika wengi wao ni bendera fuata UPEPO.

Msomi na serikali lazima tujiulize kuwa Mzungu na mataifa makubwa yanapotuamrisha Jambo Fulani, labda ni Uzazi wa mpango, au ushoga, ya Kuruhusu waliopewa mimba kuendelea na masomo, tujiulize mataifa hayo kipindi yakiwa na uchumi Kama wetu yaliruhusu mambo hayo?

Au ndio wametuhusu sasa hivi Kwa sababu washaelimisha jamii zao zikaelimika kiasi kwamba wanajua kabisa jamii zao mpaka watoto wanauelewa na elimu ya Uzazi wa mpango,

Wasomi na serikali lazima tujue kulinganisha na kutofautisha.

Lazima tujiulize, wakati Uingereza au USA ikiwa na Hali Kama yetu, ikiwa na miaka 60 tangu ipate Uhuru iliruhusu mambo ambayo inataka tuyafanye?

Sio wenzanu wamefikia level ya Kula mifupa na ninyi mpo level ya kunyonya maziwa na kunywa uji alafu wanawashinikiza mle mifupa wakati hamna Meno. Tuweni Makini Sana.

Jamii yoyote changa inahitaji sheria Kali zisizo na huruma.
Jamii na taifa likiwa masikini na ujinga mwingi linahitaji sheria Kali zisizo na huruma, huku elimu ikiendelea kutolewa.

Jamii ikishaendelea kiuchumi na kielimu ndio unaanza Kupunguza ukali wa SHERIA. Unatoa demokrasia, ndio mambo yanavyoenda hivyo.

Ustaarabu haumfai mtu mjinga na masikini Hilo kila siku ninasema na nitasema.

Serikali ninaiomba iache kuungana na Dunia ya kwanza kuikandamiza jamii yake.

Wazungu wanatabia ya kujifanya wanakusaidia kumbe Kwa nyuma yake wanaagenda ya Siri kabisa ambayo huko mbeleni huwa mtego Kwetu.

Tangu zamani Wazungu walitumia serikali

Dini, mashirika binafsi, watu mashuhuri, Elimu, misaada n.k kutawala Afrika.

Serikali ingejikita zaidi kuweka sheria kali, wala isijali hawa wasomi fuata UPEPO wa Wazungu Kama bendera.

Nipumzike sasa.

Ni Yule Shahidi kutoka Nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, KARIAKOO, DAR ES SALAAM
Ni kiri wazi hili ni moja ya bandiko lako bora kuwahi kusoma.
 
Back
Top Bottom