Serikali imezuia malipo wiki sasa! hakuna malipo yoyote! viongozi hawajali wafanyakazi

Serikali imezuia malipo wiki sasa! hakuna malipo yoyote! viongozi hawajali wafanyakazi

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Kuna watu wamefiwa, wengine wana kazi maalumu, wengine wanatoa huduma kwa jamii, mambo yamesimama hakuna malipo yoyote maofisini!

Je, ni kweli nchi imefilisika? wiki nzima hakuna malipo yoyote kweli? au ni MWIGULU ndiye anatugombanisha na mama!

kuna watu wapo wizara nyeti kama Ulinzi huko naambiwa nako malipo yamesimama je Usalama wa nchi yetu unaendaje kwa staili hii? je Mama anajua haya kweli au wahuni.hapa kati ndio wanazingua!

Hali ni ngumu wiki nzima watu wana madai yao hakuna kinacholipwa maana sasa ni kulipa kwa mifumo tu! imeblokiwa HAZINA huko!

Nchi hii tunajirudisha nyuma wenyewe tu kwa upumbafu wetu

Mungu atusaidie kwa kweli
 
Ni kweli tatizo hilo lipo nchi nzima na wataalamu wa MUSE wanasema hawafanyi kazi yoyote toka tarehe 2 mwezi huu. Hakuna malipo wala mfumo kufunguka na huu ni mwisho wa mwaka wa fedha, shughuli zinatakiwa ziendelee lakini hakuna kinachofanyika
 
Ikifika June malipo mengi huwa magumashi.....hadi week kwanza ya July
 
Hyo kawaida kila unapoanza mwaka mpya wa fedha mambo mengi yanasua sua sio kila kitu mnalalamika tu kuna majizi ndio wanasababisha yote haya
 
Uko wizara gani mbona wizarani kwangu kazi zinaendelea Kama kawaida
 
Back
Top Bottom