Serikali imkamate na kumuhoji Felix Simbu kwa hujuma aliyoifanya kwenye mashindano

Serikali imkamate na kumuhoji Felix Simbu kwa hujuma aliyoifanya kwenye mashindano

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Leo nimegundua kuwa kumbe Mazoezi niliyoyafanya hayakuwa sahihi kwangu na nilipofika Kilomita ya 30; kuelekea ya 35 sikuona haja ya kuendelea hadi Kilomita 42 tulizokuwa tunakimbia, hivyo naomba radhi na asitafutwe mchawi, nitajitahidi katika mashindano yajayo," amesema Mwanariadha aliyejivunja (aliyeyakimbia) Mashindano ya Kimataifa ya Riadha Duniani Alphonse Felix Simbu.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One Usiku huu Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema akamatwe na ahojiwe?

Kwanza kitendo cha kukata tamaa na kuachia njiani (tena akienda pembeni kabisa kujificha) ni kutudhalilisha Watanzania.

Pili, kauli yake kuwa amegundua hakufanya mazoezi sahihi yanakinzana na kauli yake aliyoitoa juzi na jana kuwa amejiandaa kikamilifu na atatuletea Medali Watanzania, matokeo anaenda kutuletea Medali ya Kuyatoroka Mashindano na kwenda Kujificha Porini kwa muda.

Tatu, binafsi kwa ninavyowajua viongozi wa michezo mbalimbali nchini Tanzania walivyo wajanja na matapeli (Panjuani na Samjo) huenda huyu Mwanariadha Alphonse Felix Simbu amepewa chake (pesa) kisha akaambiwa ajichomeshe (ajifelishe) kwa makusudi ili asiwe kikwazo kwa wanariadha wengi wakubwa waliokuwa wakimhofia kutokana na uimara wake.

Msichokijua

Wanariadha wote walioshiriki Mashindano haya huko Jijini Budapest nchini Hungary walipewa ratiba yote ya mashindano kuanzia eneo mpaka umbali na huyu mwanariadha aliomba msaada kutoka Serikalini ili kuweka kambi na kujiandaa kikamilifu huko huko Ulaya.

Ambapo alipewa na hata yeye mwenyewe kushukuru, ila leo kwa makusudi, uhuni na usanii anayaachia mashindano katikati tena kwa kutoroka na kuzamia (kuingia) porini (msituni).

Na alivyo mpuuzi (asivyo na akili) ameshindwa hata kudanganya kuwa alishikwa na tumbo la kuhara au haja kubwa (kuukweka) kwa ghafla kutokana na kufakamia hovyo vyakula vya Wazungu muda mchache kabla ya kuanza mashindano. Yeye kaona atudanganye kuwa hakuwa na mazoezi ya kutosha!

Asitufanye Watanzania wote wajinga.
 
nakumbuka tuhuma kama hizi zikienda kwa bondia kutoka tanga bw mwakinyo,lakini baada ya makelele kuwa mengi ilibidi kijana apasuke kwa codes,kwamba “sitakula sifa mimi😂😂”.
nilimuelewa sana.

watu wanakuja na kibunda mezani unafikiria carrier yako na hatima yake kisha familia yako,unaamua kujilipa pension haraka.
 
"Leo nimegundua kuwa kumbe Mazoezi niliyoyafanya hayakuwa sahihi Kwangu na nilipofika Kilomita ya 30; kuelekea ya 35 sikuona haja ya Kuendelea hadi Kilomita 42 tulizokuwa tunakimbia, hivyo naomba Radhi na asitafutwe Mchawi nitajitahidi katika Mashindano yajayo" amesema Mwanariadha aliyejivunja ( aliyeyakimbia ) Mashindano ya Kimataifa ya Riadha duniani Alphonse Felix Simbu.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One Usiku huu Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema akamatwe na ahojiwe?

Kwanza kitendo cha kukata Tamaa na kuachia Njiani ( tena akienda pembeni kabisa Kujificha ) ni Kutudhalilisha Watanzania.

Pili Kauli yake kuwa amegundua hakufanya Mazoezi sahihi yanakinzana na Kauli yake aliyoitoa Juzi na Jana kuwa amejiandaa Kikamilifu na atatuletea Medali Watanzania matokeo anaenda kutuletea Medali ya Kuyatoroka Mashindano na kwenda Kujificha Porini kwa muda.

Tatu Binafsi kwa ninavyowajua Viongozi wa Michezo mbalimbali nchini Tanzania walivyo Wajanja na Matapeli ( Panjuani na Samjo ) huenda huyu Mwanariadha Alphonse Felix Simbu amepewa chake ( Pesa ) kisha akaambiwa ajichomeshe ( ajifelishe ) kwa Makusudi ili asiwe Kikwazo kwa Wanariadha wengi Wakubwa waliokuwa Wakimhofia kutokana na Uimara wake.

Msichokijua

Wanariadha wote walioshiriki Mashindano haya huko Jijini Budapest nchini Hungary walipewa Ratiba yote ya Mashindano kuanzia Eneo mpaka Umbali na huyu Mwanariadha aliomba Msaada kutoka Serikalini ili kuweka Kambi na Kujiandaa Kikamilifu huko huko Ulaya ambapo alipewa na hata Yeye Mwenyewe kushukuru ila Leo kwa Makusudi, Uhuni na Usanii anayaachia Mashindano katikati tena kwa Kutoroka na Kuzamia ( Kuingia ) Porini ( Msituni )

Na alivyo Mpuuzi ( asivyo na Akili ) ameshindwa hata Kudanganya kuwa alishikwa na Tumbo la Kuhara au Haja Kubwa ( Kuukweka ) kwa ghafla kutokana na Kufakamia hovyo Mivyakula ya Wazungu muda mchache kabla ya kuanza Mashindano Yeye kaona atudanganye kuwa hakuwa na Mazoezi ya Kutosha.

Asitufanye Watanzania Wote Fools.
Nchi za mbelembele huko angeenda jela.

Kwetu mama yuko busy kukamilisha HIGA na dp

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
"Leo nimegundua kuwa kumbe Mazoezi niliyoyafanya hayakuwa sahihi Kwangu na nilipofika Kilomita ya 30; kuelekea ya 35 sikuona haja ya Kuendelea hadi Kilomita 42 tulizokuwa tunakimbia, hivyo naomba Radhi na asitafutwe Mchawi nitajitahidi katika Mashindano yajayo" amesema Mwanariadha aliyejivunja ( aliyeyakimbia ) Mashindano ya Kimataifa ya Riadha duniani Alphonse Felix Simbu.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One Usiku huu Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema akamatwe na ahojiwe?

Kwanza kitendo cha kukata Tamaa na kuachia Njiani ( tena akienda pembeni kabisa Kujificha ) ni Kutudhalilisha Watanzania.

Pili Kauli yake kuwa amegundua hakufanya Mazoezi sahihi yanakinzana na Kauli yake aliyoitoa Juzi na Jana kuwa amejiandaa Kikamilifu na atatuletea Medali Watanzania matokeo anaenda kutuletea Medali ya Kuyatoroka Mashindano na kwenda Kujificha Porini kwa muda.

Tatu Binafsi kwa ninavyowajua Viongozi wa Michezo mbalimbali nchini Tanzania walivyo Wajanja na Matapeli ( Panjuani na Samjo ) huenda huyu Mwanariadha Alphonse Felix Simbu amepewa chake ( Pesa ) kisha akaambiwa ajichomeshe ( ajifelishe ) kwa Makusudi ili asiwe Kikwazo kwa Wanariadha wengi Wakubwa waliokuwa Wakimhofia kutokana na Uimara wake.

Msichokijua

Wanariadha wote walioshiriki Mashindano haya huko Jijini Budapest nchini Hungary walipewa Ratiba yote ya Mashindano kuanzia Eneo mpaka Umbali na huyu Mwanariadha aliomba Msaada kutoka Serikalini ili kuweka Kambi na Kujiandaa Kikamilifu huko huko Ulaya ambapo alipewa na hata Yeye Mwenyewe kushukuru ila Leo kwa Makusudi, Uhuni na Usanii anayaachia Mashindano katikati tena kwa Kutoroka na Kuzamia ( Kuingia ) Porini ( Msituni )

Na alivyo Mpuuzi ( asivyo na Akili ) ameshindwa hata Kudanganya kuwa alishikwa na Tumbo la Kuhara au Haja Kubwa ( Kuukweka ) kwa ghafla kutokana na Kufakamia hovyo Mivyakula ya Wazungu muda mchache kabla ya kuanza Mashindano Yeye kaona atudanganye kuwa hakuwa na Mazoezi ya Kutosha.

Asitufanye Watanzania Wote Fools.
Amemuiga Hassan Mwakinyo
 
... ameshindwa hata Kudanganya kuwa alishikwa na Tumbo la Kuhara au Haja Kubwa ( Kuukweka ) kwa ghafla kutokana na Kufakamia hovyo Mivyakula ya Wazungu muda mchache kabla ya kuanza Mashindano Yeye kaona atudanganye kuwa hakuwa na Mazoezi ya Kutosha.
Sasa si mazoezi sahihi ambayo hakuyafanya ni pamoja na ya kula chakula sahihi?
 
"Leo nimegundua kuwa kumbe Mazoezi niliyoyafanya hayakuwa sahihi Kwangu na nilipofika Kilomita ya 30; kuelekea ya 35 sikuona haja ya Kuendelea hadi Kilomita 42 tulizokuwa tunakimbia, hivyo naomba Radhi na asitafutwe Mchawi nitajitahidi katika Mashindano yajayo" amesema Mwanariadha aliyejivunja ( aliyeyakimbia ) Mashindano ya Kimataifa ya Riadha duniani Alphonse Felix Simbu.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One Usiku huu Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema akamatwe na ahojiwe?

Kwanza kitendo cha kukata Tamaa na kuachia Njiani ( tena akienda pembeni kabisa Kujificha ) ni Kutudhalilisha Watanzania.

Pili Kauli yake kuwa amegundua hakufanya Mazoezi sahihi yanakinzana na Kauli yake aliyoitoa Juzi na Jana kuwa amejiandaa Kikamilifu na atatuletea Medali Watanzania matokeo anaenda kutuletea Medali ya Kuyatoroka Mashindano na kwenda Kujificha Porini kwa muda.

Tatu Binafsi kwa ninavyowajua Viongozi wa Michezo mbalimbali nchini Tanzania walivyo Wajanja na Matapeli ( Panjuani na Samjo ) huenda huyu Mwanariadha Alphonse Felix Simbu amepewa chake ( Pesa ) kisha akaambiwa ajichomeshe ( ajifelishe ) kwa Makusudi ili asiwe Kikwazo kwa Wanariadha wengi Wakubwa waliokuwa Wakimhofia kutokana na Uimara wake.

Msichokijua

Wanariadha wote walioshiriki Mashindano haya huko Jijini Budapest nchini Hungary walipewa Ratiba yote ya Mashindano kuanzia Eneo mpaka Umbali na huyu Mwanariadha aliomba Msaada kutoka Serikalini ili kuweka Kambi na Kujiandaa Kikamilifu huko huko Ulaya ambapo alipewa na hata Yeye Mwenyewe kushukuru ila Leo kwa Makusudi, Uhuni na Usanii anayaachia Mashindano katikati tena kwa Kutoroka na Kuzamia ( Kuingia ) Porini ( Msituni )

Na alivyo Mpuuzi ( asivyo na Akili ) ameshindwa hata Kudanganya kuwa alishikwa na Tumbo la Kuhara au Haja Kubwa ( Kuukweka ) kwa ghafla kutokana na Kufakamia hovyo Mivyakula ya Wazungu muda mchache kabla ya kuanza Mashindano Yeye kaona atudanganye kuwa hakuwa na Mazoezi ya Kutosha.

Asitufanye Watanzania Wote Fools.
[/QUOTE
ni tabia ya kihuni na dhihaka kwa Taifa. Ni utovu wa nidhamu kupindukia.
Achukuliwe hatua Kali za kimichezo ili iwe fundisho kwa wasio na shukran na fedha za walipa Kodi.
 
"Leo nimegundua kuwa kumbe Mazoezi niliyoyafanya hayakuwa sahihi Kwangu na nilipofika Kilomita ya 30; kuelekea ya 35 sikuona haja ya Kuendelea hadi Kilomita 42 tulizokuwa tunakimbia, hivyo naomba Radhi na asitafutwe Mchawi nitajitahidi katika Mashindano yajayo" amesema Mwanariadha aliyejivunja ( aliyeyakimbia ) Mashindano ya Kimataifa ya Riadha duniani Alphonse Felix Simbu.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One Usiku huu Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili.

Kwanini GENTAMYCINE nimesema akamatwe na ahojiwe?

Kwanza kitendo cha kukata Tamaa na kuachia Njiani ( tena akienda pembeni kabisa Kujificha ) ni Kutudhalilisha Watanzania.

Pili Kauli yake kuwa amegundua hakufanya Mazoezi sahihi yanakinzana na Kauli yake aliyoitoa Juzi na Jana kuwa amejiandaa Kikamilifu na atatuletea Medali Watanzania matokeo anaenda kutuletea Medali ya Kuyatoroka Mashindano na kwenda Kujificha Porini kwa muda.

Tatu Binafsi kwa ninavyowajua Viongozi wa Michezo mbalimbali nchini Tanzania walivyo Wajanja na Matapeli ( Panjuani na Samjo ) huenda huyu Mwanariadha Alphonse Felix Simbu amepewa chake ( Pesa ) kisha akaambiwa ajichomeshe ( ajifelishe ) kwa Makusudi ili asiwe Kikwazo kwa Wanariadha wengi Wakubwa waliokuwa Wakimhofia kutokana na Uimara wake.

Msichokijua

Wanariadha wote walioshiriki Mashindano haya huko Jijini Budapest nchini Hungary walipewa Ratiba yote ya Mashindano kuanzia Eneo mpaka Umbali na huyu Mwanariadha aliomba Msaada kutoka Serikalini ili kuweka Kambi na Kujiandaa Kikamilifu huko huko Ulaya ambapo alipewa na hata Yeye Mwenyewe kushukuru ila Leo kwa Makusudi, Uhuni na Usanii anayaachia Mashindano katikati tena kwa Kutoroka na Kuzamia ( Kuingia ) Porini ( Msituni )

Na alivyo Mpuuzi ( asivyo na Akili ) ameshindwa hata Kudanganya kuwa alishikwa na Tumbo la Kuhara au Haja Kubwa ( Kuukweka ) kwa ghafla kutokana na Kufakamia hovyo Mivyakula ya Wazungu muda mchache kabla ya kuanza Mashindano Yeye kaona atudanganye kuwa hakuwa na Mazoezi ya Kutosha.

Asitufanye Watanzania Wote Fools.
Dah
 
nakumbuka tuhuma kama hizi zikienda kwa bondia kutoka tanga bw mwakinyo,lakini baada ya makelele kuwa mengi ilibidi kijana apasuke kwa codes,kwamba “sitakula sifa mimi😂😂”.
nilimuelewa sana.

watu wanakuja na kibunda mezani unafikiria carrier yako na hatima yake kisha familia yako,unaamua kujilipa pension haraka.
Ha ha haaaa, just ha ha haaa
 
Kusema kuna Rushwa asifanye vizuri hilo linaweza likawa halipo kabisa.Taifa Lina shida ya kupata qualifies wa world champions, hakuna wanaofikia viwango..ukiangalia nchi zingine katika kila category wana wanawariadha zaidi ya wawili..sasa michezo yote huko mtanzania ni mmoja tu. Tungekuwa na wanariadha wakutosha ingekuwa advantage hata kama mmoja anashindwa mwingine anaweza fanya vizuri ndio kimetokea leo kwa Uganda na Ethiopia. JE ULIMWONA YULE M ETHIOPIA leo Hadi around 40 km alikuwa 3rd place lakini kashindwa kumaliza mkia uliobaki akawa wa 66..Pia weather ilikuwa ngumu sana leo angalia wakimbiaji walivokuwa wanajikanda kwa barafu na maji njiani...there is possibility weather ilimkataa na akaishia njiani...kushindwa kwa wanariadha wakubwa kwenye mbio kubwa ni jambo la kawaida. ALL BIG CHAMPIONS .mfano kipchoge ameshashindwa mara kadhaa kwenye marathon.. ajipange tu for coming marathons..kingine Taifa lifanye jitihada tupate more qualifies.

Tunaokimbia marathon we understand anachokisema simbu....ukivuka 35 km vizuri na mwili uko sawa na weather Iko sawa basi unaweza maliza vizuri Sana..ila marathon zingine zinakukataa hata ujiandae vip...SIO automatically ukishiriki lazima umalize
 
Back
Top Bottom