rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Yeye katimiza wajibu wake Kama mwandishi wa habari mmezoea waandishi wenu wanaoandika habari kwa maelekezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Micky jr tunamuunga mkono tupo naye na tunatamba naye na siku akitaka kuja tanzania tutampa ulinzi.Micky amekuwa akihujumu mpira wa Tanzania kwa mgongo wa kuiponda Yanga. Ila makolo wanamshangalia sana. Sasa anaichafua Tanzania kwa sababu anao watu wanamuunga mkono. Kuna kipndi alidai kwamba anataka kuuliwa akija Tanzania sikumbuki sijui ilikuwa ni mechi ya fainali ya shirikisho Yanga vs Alger
Namuunga mkono micky jr na akija tanzania ntampa bure wa mabaunsa wangu kutoka kihando security wamlinde na ningemuomba aendelee kuwapiga nyundo yanga mpaka waseme.Huyo jamaa alituandama Yanga
Eng Hersi hakumjibu
Tanzania mzuie asikanyage katika ardhi yetu
Aya nenda kwa micky anakusubiriWe lofa kweli Micky ameleta taarifa ya malalamiko ya Guinea ...tena wa Kikanuni.Sasa unabwabwaja nini! Umeona utetezi dhidi wa TFF ? Hat mtoto' wangu wa Std 3 asingeandika utetezi wa kindezi kama vile!