Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Kwa mujibu wa Askofu Pengo huyu Gavana wa Dar es salaam ndiye Rais ajaye.
 
Mange alikuwaga anasema kuwa eti huyo ako ni bibi yake ya kando

huko bongo mnasemaga mchepuko!!

lakini Mange yuko asema vitu ya urongo mumkwepe..

yule xpresident mpole wa Msoga ako na usemi ya kuwa "akili za kuambiwa changanya na zako..''


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndugu akitumbuliwa atakuwa na maisha magumu sana kiusalama. Amezoea kuzungukwa na Mambosasa + IGP hivyo anajinasibu yupo salama na anakula raha za duniani.
Wakimtumbua wanaweza wakamkashogi ili asiropoke kuvujisha siri kumbuka mikoba yote kashika.Ushirika Wa wachawi umefika mwisho
 
S
Hao wawili wanatunziana siri zao, mmoja anatoa order mwingine anaenda kutekeleza, siku mkimkamata mtekelezaji lazima mtamuuliza nani aliekutuma!, hilo balaa ndio wanalificha lisije kutokea, hivyo anaona bora kuendelea kumkumbatia D.A.B.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siri ipi sasa ukishatumia technology ya mawasiliano hakuna siri yeyeto ngoja pompei aje atoe tap record voice za maagizo.Siku zaja tutajua tu walipo kina Ben na azory huwezi ikimbia technology third eyes watched.Unayajua ya BBC eyes.
Nkurunziza kaona hatari mbele isiwe tabu anawaachia Burundi yao
 
Mimi huwa nashangaa karibia kila mtu wa Jamii Forums anataka Raisi Magufuli aongoze nchi jinsi anavyotaka yeye mwana Jamii forums, tena wanakwenda mbali kulalamika kwamba Raisi hashauriki kisa tu hajachukuwa ushauri wao, labda hata hajui na hajasikia kama ulimshauri, isitoshe hilo haliwezekani siyo practical hata kama Raisi Magufuli angeamua kufanya kila mmoja wenu anavyotaka, siyo realistic, hata muda tu hautoshi, kama hamuwapendi wateule wake so be it, next time just vote otherwise, man!
Rubbish

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Gwajima alionya Sana amteme atamuharibia gunia la misumari alibebeki lakini zimewekwa pamba sikioni too late
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
"Fyatueni watoto elimu ni bure"
 
weka pembeni swala la Makonda,pia tuna viongozi wa upinzani ambao wanatanguliza mbele maslahi yao binafsi kuliko ya kitaifa.

Mtu yuko tayari kusifiwa kwa muda flani lakini akaleta madhara kwa Taifa lake.

Hii tabia ya kwenda kushitaki nje huko ni ulimbukeni ambao kwa Taifa lolote lile haukubaliki.

Nadhani hata hao nao tunaowapelekea mashtaka wanatushangaa namna tunavyokosa busara.

Hii tabia haifai.

Kama mifumo ya ndani inaminya uhuru na haki tegemea watu kutoka nje. Unachezea mifumo yote watu wanakosa nayo imani kisha unashangaa watu wakitafuta plan B! Wapinzani nendeni nje mkashitaki, humu ndani mifumo imegeuka kumtukuza Magufuli hakuna haki yoyote mtapata.
 
Back
Top Bottom