Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Ningelikuwa na kauwezo ile mi INVECO ningeitumbukiza baharini kwa sababu hawa jamaa wanaweza weka bolt na nut kumbe ni makamera yao ya kuwapelekea siri za jeshi letu. Siyaamini sana haya mabeberu. Hakuna msaada pale bali uchuro tu
Hakuna siri za Jeshi mkuu.
Jeshi ni international .
Siri ni uoande wa TISS na CID tuu.
Jeshi lina mpaka wachina,Warusi ,Wamarekani n.k.wanabadilishana uzoefu na Teknolojia na mbinu za kivita mana kuna wakati wanakua na operations za pamoja kama kule Kongo na kwingineko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
At least kule Marekani kuna watu walikamatwa na kuhojiwa.
Kuna misako ilifanyika.

Kulinganisha na Lisu ni jambo la hovyo.
Lisu ushahidi unaweza kupatikana kwa wepesi mana alikua anatishiwa na watu wanaojulikana na simu zao zingeweza kufuatiliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umekosa kazi ya kufanya?

Mwaka wa ngapi huu unapiga chapuo RC atolewe?
 
Wamekuambia tamko lingine wanalitoa lini? Hii ni nchi huru. Hatuogopi mtu yeyote awe kibaraka au beberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali haiwezi kutolea maelezo upumbavu wewee.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam,
Tanzania bado ni hazina na ni kisiwa cha Amani, Changamoto kubwa inayoendelea ni mgongano wa maslahi na tabaka la walionancho, wanaofaidika, wasionancho na wale wafaidika waliowekwa pembeni, sijui wewe unaangukia kundi gani hapa.
Kuhusu Mikutano, Baada ya uchaguzi kasi ya mikutano haiwi kubwa kwa kuwa sasa wateule na wachaguliwa watakuwa busy kushughulika na maendeleo na kero za waliwachagua. Mbunge ana nafasi kubwa ya kufanya vikao na wananchi wake bila kujali chama anachotoka, na katika hili sidhani kama kuna aliyezuiliwa.
Wasiojulikana? Ni dhana potofu, au ni hofu inayoenezwa kwa maslahi ya watu wachache.
Issue ya Bahari Beach? Kaka nikwambie kitu? Bahari ina tabia ya kusarisha takataka kuelekea Pwani, kwa Mimi ambaye nimekaa karibu na Bahari kwa muda mrefu ni kawaida sana kukuta mabaki pwani, aidha ya watu, boat au wakati mwingine hata samaki wakubwa.
Mtu ana thamani kubwa sana, hawawezi kupotea watu 5 halafu ndugu wasiwatafute, Nikuulize wewe binafsi umepotelewa na Jirani,Ndugu, Jamaa au rafiki wangapi? Unipe jibu kwa idadi na majina, kama huna utakuwa mzushi.
Kwa kuwa umesahahu naomba nikukumbushe yaliyojiri utawala uliopita ambao sasa hivi hamuachi kuusifia japo kwa wakati ule mlikuwa mnakesha mitandaoni kuukashifu:
Siku njema.
 
Chamsingi Mh akili makosa aliyo yatenda ndan ya nchi kwa maandishi then taarifa itumwe Marekan kwa bwana Pompeo former leader of CIA hapo nchi inaweza kuwa salama make hakuna mkamilifu chini ya jua.
 
Hata ungekuwa wewe mtu anayekutafutia waganga unamuondoaje ?
 
Bro angalia kauli zako central cyo mbali ujue...😆😆😆😆😆
 
Gogo yuko radhi amuondoe waziri mkuu,makamu wa rais,CDF na mwengine yeyote yule lakini sio bashite
 
duuh hivi ni kweli?!?, niliwahi kuona heche,matiko wanazuiliwa na polisi kufanya vikao vyao na waajiri wao, sijui sababu ilikuwa nini!!!!
 
Wamekusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…