Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Ubaya zaidi wanasema wana ushahidi. Hawa wamarekani huu uchunguzi walioufanya lini? Inawezekana CIA ina operate Bongo kimya kimya, inakusanya data na kuzirusha kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana haja ya kuja huku. Hiyo kazi wanampa dogo wa fildi anachokonoa kwenye kilaptop chake ndani ya dakika 3 taarifa zote wanazo.
Unaweza kuta wanazo picha za satellite na video za satellite za matukio yote yasiyoeleweka. Mpaka coordinates zao ili wakitaka wanaweza kufanya alichofanyiwa jenerali wa iran.


Mawazo:Serikali ikitaka isifatiliwe kwa njia ya sattelite. Wahakikishe wanaezeka barabara zote Tanzania kwa mabati manene kwa juu ili magari yapite chini ya paa la mabati.
 
Hawa Jamaa hawapigi ramli wana uhakika na wakisemacho. Au wakuwekee ushahidi hadharani kisha wachukue hatua wanazoona zinafaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningelikuwa na kauwezo ile mi INVECO ningeitumbukiza baharini kwa sababu hawa jamaa wanaweza weka bolt na nut kumbe ni makamera yao ya kuwapelekea siri za jeshi letu. Siyaamini sana haya mabeberu. Hakuna msaada pale bali uchuro tu
 
Unafikiri kwa nini hawajataja wengine au katika historia ya Tanzania una kumbukumbu yoyote ya kiongozi aliyewekwa blacklist kwa tuhuma za kudhulumu watu haki ya kuishi?

Kutokuwa kwao na democracy hakumpi haki mtu mwingine yeyote kuuwa watu. Jitafakari na angalau elimika. Nawia kusema Makonda ni kiongozi katili kuliko wote na mbaya zaidi atumii akili nyingi kung'amua mambo kwa weledi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haitasaidia bado vikwazo na wahusika wengi watatajwa kwani makonda alikuwa anafanya kazi hiyo peke yake ?Na alikuwa anaagizwa na nani?Wapo wengi mno wataenda na maji .
 
Wanakufa Afghanistan na Iraqi ni Ng'ombe wa kulimia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu upo sawa kabisa itakuwa niajabu ikiwa vyombo vya ulinzi vya nje vinaweza kufahamu mahovu ya mkuu wa mkowa alafu interejensia ya ndani ishindwe kuyajuwa hayo Mambo ya zulma
 
Sasa wakuu wetu hawayafahamu haya??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati Waziri Kabudi alienda ziara Marekani.
Wakati wa mahojiano na waandishi wa habari, aliulizwa, " kwa nini Serikali ya Tanzania haijafanya uchunguzi na kutoa taarifa kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi"
Alijibu kwa kuwauliza swali. " Kwani nini hadi leo toka aliyekuwa Rais wa Marekani , John Kennedy kupigwa risasi na kufa miaka mingi iliyopita hadi leo hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kuhusu mauaji hayo"
Kiuhalisia aliuliza vizuri.
Lakini wanafalsafa hunena , The boss is always right.
Mkubwa huwa hachelewi ila anakawia kufika.
Kwa waswahili mzee akiharibu hali ya hewa, humsingizia mto to aliye akaribu naye.
Inchi kama Tanzania hatuwezi kujilinganisha na Inchi ya Marekani.
Katika maamuzi magumu ya Ki dunia Marekani ana veto power.
Kwa hiyo katika swala hili kubishana na Marekani ni sawa na kugombana na hakimu mahakamani au raia wa kawaida kugombana au kubishana na Rais Makufuli.
Tuwe wapole na tutafakari na tukubali yaishe kwa maslahi ya Taifa letu.
 
Tusubirie taarifa ya Msigwa Jumapili 2/2/2020, ikipita bila tamko tujue Jiwe la mtoni halipasuliwi hata na moto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe kumlinganisha na Kanali Maliyamungu yule muuaji wa IDD Amin aliyekuwa anaogopwa na viongozi wote kasoro bosi wake Amin ilikuwa sawa? Kijana mdogo namna hiyo una mikono imejaa damu?
 
Yahani walipoteua tu balozi wa kudumu.niliogopa nikajua mbele kunashida.kama mlizoea kumshambulia mama wa watu haya kaja dume pambaneni nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…