Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

C

CIA wapo kila mahali na unawajua wamarekani wana maagent wao kila sehemu.
CIA wapo Ikulu, wapo TCRA, wapo TISS, wapo Police, wapo makanisani na misikitini, wapo TBC, wapo mahakamani, wapo kwa wasanii, mpaka gerezani. Na ndani ya vyombo hivyo, tena wanaisifia serikali na watawala kuwazidi hata watu wengine.
 
Aondolewe ili mfanye vizuri ushoga wenu na uuzaji wa madawa ya kulevya yenu pale ufipa?

Mlaaniwe kabisa Pumbavu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Upende usipende ataondoka au kuondolewa. Ni suala la wakati tu. Bahati yake ni endapo ataondolewa na kuendelea kuwa huru lakini inaweza isiwe hivyo.
 
Hivi Marekani inalinda haki za binadamu kweli? Mbona kila kukicha unasikia katika vyombo vya habari mtu kafyatulia risasi wanafunzi, watu wailo katika club au supermarket! Mara Police wamemuua raia! Huo ndo utaratibu wa kulinda haki za binadamu kwa Wamerekani?
Marekani, watu wanauawa na maharamia, na maharamia wanakamatwa na kushtakiwa. Kwetu watu wanauawa na watu waliotakiwa kuwalinda. Kwa hiyo wauaji hawakamatwi wala kushtakiwa maana waliotakiwa kuwashtaki ndio wauaji wenyewe. Hiyo ndiyo tofauti kubwa.
 
Baada ya tangazo la Serikali ya Marekani kumzuia Makonda na familia yake kupata visa ya Marekani Kuna uwezekana mkubwa huo ndiyo ukawa mwisho wa Makonda kisiasa.

Tangazo hilo halijatoa Picha nzuri kwa uongozi wa awamu ya tano na ili kurudisha heshima na mahusiano hayo tena ni Makonda kuondolewa katika nafasi ya Mkuu wa mkoa haraka Sana.

Wamerakani watakawa wametuma makachero wao ndani ya nchi Kama majasusi bila tz kujua na uwezekano wamekuja Kama watalii na kukusanya habari nyingi Sana za ndani ya mifumo ya Serikali.

Ni wakati umefika RC aondoke haraka katika nafasi hiyo.

Ni aibu kubwa sana kwa nchi kwa tangazo hilo.
Una chuki binafsi na Makonda tu, tangu lini wamerekani wakatupangia wakuu wa mikoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huoni tatizo la Makonda na boss wake ni kwa sababu wewe ni kipofu.
Tatizo la makonda ni kuwafurusha mashoga kama wewe baas
Mbona hakufungiwa chalamila aliewachapa viboko wanafunzi hadharani
Mpaka leo wamarekani wamesusa kuleta balozi kwa kua balozi pendekezwa ni shoga la kutupwa tumelikataa,wana hasira na hawawezi kutufanya lolote
Hata wakinyima viza watanzania wote,maisha hayapo marekani tu
 
Ulimwengu huu wa teknolojia ambapo kuna mambo kama utandawazi na mengineyo unanishangaza sana. Ni wakati ambapo mtu anawe za kuanzisha habari kubwa na kuisambaza.

Turudi kwenye hoja, Suala la RC Makonda na familia yake kuzuiwa kuingia Marekani. Binafsi nimeiona kwenye ukurasa wa Twitter wa Waziri wa Mambo ya Nje Marekani.

Pamoja na habari hizo kusambaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchi na duniani, naomba niulize hivi:
  • Ndugu wanahabari, mmeshindwa kweli kwenda kwa ofisi ya inayowakilisha serikali ya Marekani (ubalozi) ambapo ndipo RC alipoombea visa?
  • Mmeshindwa kupata msemaji mwakilishi mpaka mtoe vyanzo vyenu vya habari kwenye mitandao ya kijamii au vyombo vya nje wakati nyinyi ndio nchi husika?
  • Mmeshindwa kumfuata RC Makonda pale Ilala Boma na kuomba azungumzie waraka huo uliosambaa?
  • Hamuoni ajabu ofisi wakilishi ya serikali ya Marekani ambayo ndiyo inahusika na kutoa vibali kukaa kimya mpaka sasa?
  • Mnapata wapi ujasiri wa kuweka habari kubwa na nzito kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti lako kwa habari iliyoanzia kwenye mitandao ya kijamii?
Kwa huku tulipofikia inasikitisha.
 
Nacho ongelea Mimi ni weledi wa wana habari, kushindwa kunukuu mtu na kufikia kunukuu mabandiko, nilitegemea nione kitu kama “kufuatia waraka huo kusambaa kwenye vyombo mbali mbali na mitandao ya kijamii, kituo hiki kilimtafuta afisa habari wa wizara ya mambo ya nje ama muwakilishi wa ubalozi ama mkuu wa Mkoa mwenyewe” nazungumzia weledi hata Mimi nina uwezo wa kufungua account na kuliita kwa jina la Pompeo
 
Pia kuna public notice iliyotolewa kuhusu zuio hilo. Vilevile Twitter ni credible source ya kufikisha ujumbe nowadays, as long user yuko verified.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom