Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Sikitiko langu kubwa ni tuhuma aliooredheshewa ya kudhulumu uhai wa watu kadhaa (kukatisha uhai wa watu kabla ya wakati wao). Hili ni jambo ambalo serikali inapaswa ilitolee maelezo ni kwa namna gani vyombo vya usalama vya nje vifahamu pasipo na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo ni patamu, ili polisi nao waingizwe kwenye kesi ya Makonda ICC pamoja na anae mtuma ata julikana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Marekani inalinda haki za binadamu kweli? Mbona kila kukicha unasikia katika vyombo vya habari mtu kafyatulia risasi wanafunzi, watu wailo katika club au supermarket! Mara Police wamemuua raia! Huo ndo utaratibu wa kulinda haki za binadamu kwa Wamerekani?
 
Hivi Marekani inalinda haki za binadamu kweli? Mbona kila kukicha unasikia katika vyombo vya habari mtu kafyatulia risasi wanafunzi, watu wailo katika club au supermarket! Mara Police wamemuua raia! Huo ndo utaratibu wa kulinda haki za binadamu kwa Wamerekani?
So mantiki yako ni kuungana na Makonda, hivi angemuua ndugu yako ungethubutu kuuliza maswali hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ubunge lkn sio Uwaziri. Ni ngumu sana kwa Serikali za Kiafrika kuwa na Waziri asiyetakiwa na Marekani. Kijana kajiharibia future yake kwa kiwango kikubwa sana... Bahati mbaya zuio hili linaweza kwenda kwa familia pia..

Sent using Jamii Forums mobile app
Familia imehusika ndugu, si umeona wamemtaja kabisa mke wake kwa majina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wana JF, kila mmoja amesoma tamko la hasira la Marekani juu ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ndugu Paul Makonda.

Kwa desturi za USA, mlengwa mkuu hapo ni Rais Magufuli na serikali yake, walichofanya ni kuipima serikali yetu itamfanya nini Makonda baada ya wao kutangazia Dunia kuwa hawataki akanyage Marekani.

Makonda asipoondolewa, tujiandae kususiwa na Dunia nzima, maana Marekani ndio taifa lenye nguvu za kila aina Duniani.

Hata mataifa yanayojitegemea Kiuchumi yana ufyata kwa Marekani, sembuse sisi tunaojitegemea kwa asilimia 56%? Huku 44% tukitegemea kusaidiwa na Mabeberu?

Kama unajua trend reading, Ubalozi Marekani walikuwa wanatoa taarifa inayofanana na balozi nyingine kama ubalozi wa Ulaya, Uingereza nk.

Usishangae ndani ya siku chache ukawasikia washirika wa Marekani nao wakimpiga marufuku Makonda kukanyaga huko.

Kama serikali ikizembea kumfukuza Kazi Makonda ili kujisafisha, usishangae likatoka tamko la kuzuia misaada kwa Tanzania, halafu tuwekewe na vikwazo ikiwa ni pamoja na kuzuia watalii wasije Tanzania kwakuwa ni nchi hatari kiusalama.

Wazungu wanaweza kutukumia vyovyote, hambo la msingi na haraka ni kumuondoa Makonda ofisini na kuteua mtu mwingine atakaefanya tofauti.

Chonde Chonde washauri wa Rais Magufuli, tunawapenda sana na tunaipenda serikali yetu, Makonda Mmoja asiingize nchi kwenye mgogoro wa Kidiplomasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aondoke aende wapi futa kabisa hilo wazo kwenye akili yako bado yupo na ataendelea kuwepo kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli mtumishi wa Mungu Paulo anaua hiyo dhambi abebe ila tuwe tu Makini beneru lisituumize kwa kukaza Uzi wa raslimali zetu
 
naona makonda akitolewa kama mbuzi wa kafari ili awakingie kifua wakubwa hapo juu
 
Back
Top Bottom