Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

We kweli kiazi yani serikali ya chuma itapanye pesa afu CAG amwage upupu muanze CAG anamchukia chuma km yeye alikua akijinisabu msema kweli mbona ripoti ilivyotoka akawa anahahaha km mbweha. CAG hana shida ya mtu yeye kasema hajafika umri wa kustaafu gavo mpka imeenda kufoji makaratasi na saini ili astaafu huoni upumbavu tunalea
 
Assad kqma huelewi jakataa offer za kazi za Kimataifa.

Kaamua kuutia ujuzi wake kwa Waislqm wenzake na ana Kampuni yake ya mambo
ya Waislam.

Hana shidanyule, utamnyang'aje elimu yake inayojulikana dunia mzima.?
. Labda uende wewe usiye na kazi akakutafutie kazi ya kufanya.

Unajuwa kupanga mafaili wewe?
 
Tatizo la watu wengi wakiwa kazini wanasahau baada ya kazi maisha yanaendelea. Yaani mtu nje ya makaratasi na kalamu hakuna unachokijua kingine. Kazi ikitamatika ndo matokeo yake hayo sasa. Kulialia. Wachukuage mfano wa mizengo pinda.
 
Siyo kweli. Alilia kwa kumbukumbu ya marehemu mke wake siyo kwa sababu ya u-CAG. Angalia vizuri hiyo video. Labda kama unarejerea jambo lingine.
 
kitu ambacho nashindwa kumuelewa huyo mkubwa mtoto, kwa nini raisi Samia asimrudishie hicho cheo kama kweli alionewa? raisi Samia akiamua ni fasta tu anarudia u cag nini kinazuia? ni muislamu mwenzake, yeye mkubwa mtoto anamsapoti raisi Samia 100%, sasa shida iko wapi kurudishiwa hicho kama anafikiri kiliundwa kwa ajili yake?
 
Komeo...
Assad hatokwi machozi kwa kuondolewa madarakani.

Sikiliza vizuri mahojiano.
 
Katiba ibara ya 144 (6)
"Mtu ambaye ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu au
aliyepata kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hawezi
kuteuliwa kushika au kushikilia madaraka ya kazi nyingine
yoyote katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano."
 
Ungepaswa kusema hivi. Magufuli huko aongezewe adhabu nyingine kwa kuongoza nchi kidictator bila kufata utaratibu wa sheria zinasema je kuhusu kumwondoa CAG. Badala ya kumpiga nyund yule Mungu wa chato unampiga nyundo mzalendo wa kweli.
 
Sisi wakristo tunafundishwa kusamehe na kua usipomsamehe mtu hata wewe hutasamehewa na Mungu, angekua ni mkristo anayeisoma bible na kuielewa angeshasamehe
Fundisho la hovyo kabisa. Wala yesu hakuwahi kufundisha hivyo. Ni bahati mbaya tu kwambq Yesu hajui na hatambui hii biblia yenu kuwa ndo maneno yake
 
Kuna Mkuu fulani alikuwa Mkuu wa Mkoa, msomi level ya Phd, alipoondolewa ukuu, akalalama kuwa ataishi vipi, wakati alitoka kuwa mwalimu kule Sokoine University. Tumshauri Prof. aje mtaani atu-profesaizi ili nasi tupate madini yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…