Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huwa nahisi labda Asadi anataka arudishiwe nafasi yake ili astaafu kwa heshima mana si kwa kilalamika hivyo. Au huwa anataka akumbukwe kwenye uteuzi fulani ngazi za juu.Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.
Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.
Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.
Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla
Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani
KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Kumbe!Assad kqma huelewi jakataa offer za kazi za Kimataifa.
Kaamua kuutia ujuzi wake kwa Waislqm wenzake na ana Kampuni yake ya mambo
ya Waislam.
Hana shidanyule, utamnyang'aje elimu yake inayojulikana dunia mzima.?
. Labda uende wewe usiye na kazi akakutafutie kazi ya kufanya.
Unajuwa kupanga mafaili wewe?
Professor gani mjinga huyu. Kuingia tu ofisini akakarabati nyumba ya kuishi yeye kwa mamilioni tenda kampa jamaa yake kandarasi. Kazini kageuza chumba kimoja cha ofisi msikiti wake. Halafu kamuamini zito eti rais hawezi kumtoa kufuatana na katiba. Kashindwa kujua au kukumbuka kwamba kateuliwa kwa mkataba. Mkataba kumalizika bila kutegemea jpm akamtema. Anasononeka bure hadi leo.Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.
Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.
Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.
Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla
Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani
KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Wakisikia hili wenzio watakushukia kama mwewe. Prof anafaa kufundisha tu. Uongozi haumfai kabisa.Prof tatizo lake kubwa ni fundamentalist, yaani anachokiamini huwezi mbadilisha, hakufaa kuwa kiongozi. Naamini hata vetting ilikuwa mbaya ila nadhani Dkt Kikwete atakuwa alilazimisha
Mke Aliyemkataza asizike mama yake mzazi! Assad ni mtu?
bora na wewe umesema..ila watu bwana..🚮Sikweli unayonena,alitoa mchozi juu yakifo chamkewake kwamba mkewake sikuhiyo kama angekuwepo nyumbani asingefariki sababu walishamjulia chakufanya akizidiwa
Kumbe hana akili kabisa. Ndo maana anabaki kulia lia kama bwege ...Professor gani mjinga huyu. Kuingia tu ofisini akakarabati nyumba ya kuishi yeye kwa mamilioni tenda kampa jamaa yake kandarasi. Kazini kageuza chumba kimoja cha ofisi msikiti wake. Halafu kamuamini zito eti rais hawezi kumtoa kufuatana na katiba. Kashindwa kujua au kukumbuka kwamba kateuliwa kwa mkataba. Mkataba kumalizika bila kutegemea jpm akamtema. Anasononeka bure hadi leo.
umemaliza...yakiwakuta watakuja lia lia huki..kichaa anachekesha akiwa hatoki familia yenuWe kweli kiazi yani serikali ya chuma itapanye pesa afu CAG amwage upupu muanze CAG anamchukia chuma km yeye alikua akijinisabu msema kweli mbona ripoti ilivyotoka akawa anahahaha km mbweha. CAG hana shida ya mtu yeye kasema hajafika umri wa kustaafu gavo mpka imeenda kufoji makaratasi na saini ili astaafu huoni upumbavu tunalea
you made my day..sema na wewe...mtu anasomesha wanaye nje wanaona hana mbele wala nyuma kama wao..mxiuewHivi
Wewe unamjua Asad unahisi Asad ni kama baba yako ambae mpaka leo anafanya kazi kwa wahindi?
Usipaniki taratibu tu haya mambo hayataki hasira ..... 🤣Hivi
Wewe unamjua Asad unahisi Asad ni kama baba yako ambae mpaka leo anafanya kazi kwa wahindi?
uliiskiliza ile interview yote na Kikeke?? 😐Alisema yupo kijijini analima bamia ila naona mambo Bado magumu si Kwa malalamiko aliyonayo
Ana uchungu wa fedha za watanzania masikini wakulima na walipa Kodi trilioni moja na nusu zilizopaa na wajuaji Wala matunda ya uhuru.Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.
Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.
Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.
Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla
Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani
KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Mi ni Sukuma Gang na wewe ni kitumbua gang. So nakusumia huko. 🤣Wewe na asa
D nani anateseka? Wewe bila Shaka ni sukuma gang
Bwege sana.... Yaani mpaka nilicheka. Anasema usione ninalia nipo very strong... Huku analia. Sasa akiwa weak si ndo atagala gala chini?Prof analia kama mtoto halafu anamwambia kikeke usione nalia niko very strong
umeandika nnProfessor gani mjinga huyu. Kuingia tu ofisini akakarabati nyumba ya kuishi yeye kwa mamilioni tenda kampa jamaa yake kandarasi. Kazini kageuza chumba kimoja cha ofisi msikiti wake. Halafu kamuamini zito eti rais hawezi kumtoa kufuatana na katiba. Kashindwa kujua au kukumbuka kwamba kateuliwa kwa mkataba. Mkataba kumalizika bila kutegemea jpm akamtema. Anasononeka bure hadi leo.
Huyo ni mjinga Hana akili
Siyo issue ya kuwa kama angekuwa mkiristo ndiyo asamehe.Kwanza asamehe amefanywa nini.Ile ofisi haukuwa ya baba yake Mzazi kwamba atakaa nayo milele.Kwanza mnavyosema ana akili kwa kuwa ni Profesa ,mimi naseama Assad hana akili kabisa.Profesa mzima mwenye taaluma tena ya kujiongeza binafsi maisha yakaendelea analialia mbele ya kamera eti anakumbuka alivyoondolewa ofisini.Huu ni ubwege uliopitiliza.Angelia kwa kuwa Magufuli kamnyang'anya degree zake zote hapo ningesema labda.Lakini no matter anashahada ngapi lakini hili analolionyesha sasa linamuweka katika kundi la vilaza.Analialia kama LAST BORN.Hata jina la Asaad halimfai tena. Mana ya Asaad ni Simba.Sasa huyu Simba kweli au Kondoo ?Sisi wakristo tunafundishwa kusamehe na kua usipomsamehe mtu hata wewe hutasamehewa na Mungu, angekua ni mkristo anayeisoma bible na kuielewa angeshasamehe