Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Mimi huwa nahisi labda Asadi anataka arudishiwe nafasi yake ili astaafu kwa heshima mana si kwa kilalamika hivyo. Au huwa anataka akumbukwe kwenye uteuzi fulani ngazi za juu.
 
Assad kqma huelewi jakataa offer za kazi za Kimataifa.

Kaamua kuutia ujuzi wake kwa Waislqm wenzake na ana Kampuni yake ya mambo
ya Waislam.

Hana shidanyule, utamnyang'aje elimu yake inayojulikana dunia mzima.?
. Labda uende wewe usiye na kazi akakutafutie kazi ya kufanya.

Unajuwa kupanga mafaili wewe?
Kumbe!

Ndio maana hana akili
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Professor gani mjinga huyu. Kuingia tu ofisini akakarabati nyumba ya kuishi yeye kwa mamilioni tenda kampa jamaa yake kandarasi. Kazini kageuza chumba kimoja cha ofisi msikiti wake. Halafu kamuamini zito eti rais hawezi kumtoa kufuatana na katiba. Kashindwa kujua au kukumbuka kwamba kateuliwa kwa mkataba. Mkataba kumalizika bila kutegemea jpm akamtema. Anasononeka bure hadi leo.
 
Prof tatizo lake kubwa ni fundamentalist, yaani anachokiamini huwezi mbadilisha, hakufaa kuwa kiongozi. Naamini hata vetting ilikuwa mbaya ila nadhani Dkt Kikwete atakuwa alilazimisha
Wakisikia hili wenzio watakushukia kama mwewe. Prof anafaa kufundisha tu. Uongozi haumfai kabisa.
 
Professor gani mjinga huyu. Kuingia tu ofisini akakarabati nyumba ya kuishi yeye kwa mamilioni tenda kampa jamaa yake kandarasi. Kazini kageuza chumba kimoja cha ofisi msikiti wake. Halafu kamuamini zito eti rais hawezi kumtoa kufuatana na katiba. Kashindwa kujua au kukumbuka kwamba kateuliwa kwa mkataba. Mkataba kumalizika bila kutegemea jpm akamtema. Anasononeka bure hadi leo.
Kumbe hana akili kabisa. Ndo maana anabaki kulia lia kama bwege ...
 
We kweli kiazi yani serikali ya chuma itapanye pesa afu CAG amwage upupu muanze CAG anamchukia chuma km yeye alikua akijinisabu msema kweli mbona ripoti ilivyotoka akawa anahahaha km mbweha. CAG hana shida ya mtu yeye kasema hajafika umri wa kustaafu gavo mpka imeenda kufoji makaratasi na saini ili astaafu huoni upumbavu tunalea
umemaliza...yakiwakuta watakuja lia lia huki..kichaa anachekesha akiwa hatoki familia yenu
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Ana uchungu wa fedha za watanzania masikini wakulima na walipa Kodi trilioni moja na nusu zilizopaa na wajuaji Wala matunda ya uhuru.
 
Professor gani mjinga huyu. Kuingia tu ofisini akakarabati nyumba ya kuishi yeye kwa mamilioni tenda kampa jamaa yake kandarasi. Kazini kageuza chumba kimoja cha ofisi msikiti wake. Halafu kamuamini zito eti rais hawezi kumtoa kufuatana na katiba. Kashindwa kujua au kukumbuka kwamba kateuliwa kwa mkataba. Mkataba kumalizika bila kutegemea jpm akamtema. Anasononeka bure hadi leo.
umeandika nn
 
We have said it once,we will say it again.
CCM ilimchagua Magufuli kuwa mgombea urais.
Prof. Assad alipokagua mahesabu akamwita Magufuli " mwizi" or words to that effect.
The rest is history.
It is important to understand kwamba Prof. Assad alimwita Magufuli " fisadi" siku chache baada ya Ile nomination.
 
Kaka huna aibu mbwa wewe unamsingizia mtu mzima, uliisikia vizuri mahojiano yake na kikeke alilia kwa ajili ya kufiwa na mkewe, mbwa wewe msema uongo kamsingizie baba yako
 
Sisi wakristo tunafundishwa kusamehe na kua usipomsamehe mtu hata wewe hutasamehewa na Mungu, angekua ni mkristo anayeisoma bible na kuielewa angeshasamehe
Siyo issue ya kuwa kama angekuwa mkiristo ndiyo asamehe.Kwanza asamehe amefanywa nini.Ile ofisi haukuwa ya baba yake Mzazi kwamba atakaa nayo milele.Kwanza mnavyosema ana akili kwa kuwa ni Profesa ,mimi naseama Assad hana akili kabisa.Profesa mzima mwenye taaluma tena ya kujiongeza binafsi maisha yakaendelea analialia mbele ya kamera eti anakumbuka alivyoondolewa ofisini.Huu ni ubwege uliopitiliza.Angelia kwa kuwa Magufuli kamnyang'anya degree zake zote hapo ningesema labda.Lakini no matter anashahada ngapi lakini hili analolionyesha sasa linamuweka katika kundi la vilaza.Analialia kama LAST BORN.Hata jina la Asaad halimfai tena. Mana ya Asaad ni Simba.Sasa huyu Simba kweli au Kondoo ?
 
Back
Top Bottom