Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Mbona wanasema jamaa ni Mtaalam ana CV kubwa na ma exposure ya kutosha UN nk? Alafu umri pia ushaenda Kwa hiyo hata kustaafu si Alisha jiandaa kisaikolojia au siku ya kuloa na mvua ndio siku ya kujilojolea? Kwa kuwa mjomba Magui alimuharibia ugali ndio ishakuwa ishu
 
Prof yuko sawa mbona kinachomliza ni kuhusu marehemu mke wake, wewe boya la wapi
 
Katiba ibara ya 144 (6)
"Mtu ambaye ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu au
aliyepata kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hawezi
kuteuliwa kushika au kushikilia madaraka ya kazi nyingine
yoyote katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano."
Kwishaaaaaaaaa
Labda ajiunge machozi band😂😂😂😂😂
 
Katiba ibara ya 144 (6)
"Mtu ambaye ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu au
aliyepata kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hawezi
kuteuliwa kushika au kushikilia madaraka ya kazi nyingine
yoyote katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano."
Ndio maana tunahitaji Katiba Mpya.
 
kitu ambacho nashindwa kumuelewa huyo mkubwa mtoto, kwa nini raisi Samia asimrudishie hicho cheo kama kweli alionewa? raisi Samia akiamua ni fasta tu anarudia u cag nini kinazuia? ni muislamu mwenzake, yeye mkubwa mtoto anamsapoti raisi Samia 100%, sasa shida iko wapi kurudishiwa hicho kama anafikiri kiliundwa kwa ajili yake?
Hana huo mpango wa kurudi kua CAG, ila anataka mahakama iweke on record kua kuondokewa kwako was unconstituitional ili serikali zijifunze next time, wasifanye vitu vya kipumbavu kama hivo.
 
Siyo kweli. Alilia kwa kumbukumbu ya marehemu mke wake siyo kwa sababu ya u-CAG. Angalia vizuri hiyo video. Labda kama unarejerea jambo lingine.
Tunamshukuru Mungu kwa kila jambo. Tunapolalamika kwa jambo lolote maana yake tunamlaumu Mungu.
 
Beira...
"Asalaam Aleikum."
Jibu ni "Waleikum Salaam."
Mzee said Tanganyika na Zanzibar yalikuwa mataifa na kiislam hawa wakristo wa leo waliomo kwenye hayo mataifa ambao wanaonekana ndo wengi zaid ya waislam except Zanzibar walitokea wapi
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Afya ya Akili is real na KARMA IS REAL
Watu huko Chamani wana tabia ya kuharibia wenzao reputation zao ukitofautiana nao kwa hoja 🙄
You never know what happened to Profesa behind the scenes !
MUNGU ANAWAONA
NA MARADHI YATAENDELEA KUWATAFUNA WAHUSIKA WOTE WA UDHALILISHAJI 🙌🙏🙏
 
Afya ya Akili is real na KARMA IS REAL
Watu huko Chamani wana tabia ya kuharibia wenzao reputation zao ukitofautiana nao kwa hoja 🙄
You never know what happened to Profesa behind the scenes !
MUNGU ANAWAONA
NA MARADHI YATAENDELEA KUWATAFUNA WAHUSIKA WOTE WA UDHALILISHAJI 🙌🙏🙏

INAWEZEKANA KABISA AISEEE......
 
Hizi ndio zinaitwa projection. Clearly lesser people projecting their inadequacies on a man that is objectively superior than them. Upuusi wa kitanzania. Somesheni watoto zenu na muwape malezi Bora kuliko mliopewa
 
Sikweli unayonena,alitoa mchozi juu yakifo chamkewake kwamba mkewake sikuhiyo kama angekuwepo nyumbani asingefariki sababu walishamjulia chakufanya akizidiwa
Kuna uwezekano huyu Mnafiki Assad nae alisherekea kifo cha Magufuli hajui kuwa ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji!
 
Inawezekana pia sababu yeye waandishi wanamfuata kumuhoji....ndo maana anafunguka.Si kuna wengine walijifia kabisa inasemekana..bora yeye bado anapumua.
Pia wengine hamfikiwi kuhojiwa hamna pa kushushia jazba labda.
 
Back
Top Bottom