Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Mzee said Tanganyika na Zanzibar yalikuwa mataifa na kiislam hawa wakristo wa leo waliomo kwenye hayo mataifa ambao wanaonekana ndo wengi zaid ya waislam except Zanzibar walitokea wapi
Beira...
Wanaonekana ndiyo wengi kwa kigezo gani?

Ikiwa kigezo ni kuhodhi fursa zilizopo nchini kama madaraka serikalini, wingi katika vyuo nk. wao wako mbali sana kwani uwiano ni 20:80.

Tanganyika haina sifa ya kuitwa taifa la Kiislam kama ilivyo Zanzibar.

Zanzibar Waislam ni wengi sana na hili halina shaka.

Lakini ukitaka kujua wingi wa jamii yoyote katika nchi unaweza kutumia kigezo hiki.

Ikiwa nchi ilitawaliwa angalia ni jamii gani iliyoongoza kwa wingi wao katika ukombozi wa taifa lao.

Siku zote ulimwenguni kote walio wengi ndiyo wanaoongoza ukombozi na wengine wanafuatia nyuma.

Hii ndiyo sheria kuu ya ukombozi.
 
Kufa uzeen sio shida shida kufa ujananii
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Prof. alitoa machozi kwa kumkumbuka mkewe, sio kazi. Even the strongest have weak points
 
Beira...
Wanaonekana ndiyo wengi kwa kigezo gani?

Ikiwa kigezo ni kuhodhi fursa zilizopo nchini kama madaraka serikalini, wingi katika vyuo nk. wao wako mbali sana kwani uwiano ni 20:80.

Tanganyika haina sifa ya kuitwa taifa la Kiislam kama ilivyo Zanzibar.

Zanzibar Waislam ni wengi sana na hili halina shaka.

Lakini ukitaka kujua wingi wa jamii yoyote katika nchi unaweza kutumia kigezo hiki.

Ikiwa nchi ilitawaliwa angalia ni jamii gani iliyoongoza kwa wingi wao katika ukombozi wa taifa lao.

Siku zote ulimwenguni kote walio wengi ndiyo wanaoongoza ukombozi na wengine wanafuatia nyuma.

Hii ndiyo sheria kuu ya ukombozi.
Asante sana mzee said ndo maana nimeuliza kama hapo mwanzo waislam ndo walikuwa wengi na kuhusika katika ukomboz wa taifa ilikuwaje tena ile alama ya uislam ikafutwa katika taifa hili la kiislam mpaka sasa kuonekana la kikristo katika vyuo na maofisin
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Awali nilimwelewa na kumuunga mkono, lakini kwa sasa ananikwaza tu. A-move on, maisha yaendelee. Analialia kupita kiasi na anayemlilia hayupo. Kama ana madai ayashughulikie kama mtu aliyeelimika. Kila siku ni yeye tu.
 
Sisi wakristo tunafundishwa kusamehe na kua usipomsamehe mtu hata wewe hutasamehewa na Mungu, angekua ni mkristo anayeisoma bible na kuielewa angeshasamehe
tena usiposamehe anayeumia ni yule ambaye hasamehe.aliyekukosea yeye anaendelea kudunda tu
 
Prof tatizo lake kubwa ni fundamentalist, yaani anachokiamini huwezi mbadilisha, hakufaa kuwa kiongozi. Naamini hata vetting ilikuwa mbaya ila nadhani Dkt Kikwete atakuwa alilazimisha
huku duniani nimejifunza ile mithali ya YESU kuwa muwe na busara kama nyoka na wapole kama huwa.ukibiashana na mkubwa jiandae kutafuta njia nyengine


Mathayo 10:16​

“Sasa, mimi nawatuma nyinyi kama kondoo kati ya mbwamwitu. Muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa.
 
Akina Beno Ndulu wenzake walienda kufanya kazi kimataifa mpaka wakawa washauri wa maRais lakini yeye kila siku ni lawama
Professor wa Ovyo kweli huyo, Anadhalilisha Wasomi Aiseee, Yaani Yeye Kila Siku ni kulialia tu, Wenziwe kina Beno ndulu Wako Ughaibuni Wanapiga Pesa Uko,
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Tatizo alifikiri msomi yuko peke yake!
 
Tunamshukuru Mungu kwa kila jambo. Tunapolalamika kwa jambo lolote maana yake tunamlaumu Mungu.
Lakini kwa mujibu wa maandiko matakatifu Mwenyezi Mungu si ndiye alimpa akili binadamu kuitawala dunia na vilivyomo. Kwa mawazo yangu kulalamika ni sehemu ya mwanzo wa kuitafuta suluhu.
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Mkuu mbona unadanganya, Prof alitoa machozi kwa kumkumbuka Mke wake alikufa hivi karibuni
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
The likes of Assad could be in higher places if our nation's leaders could value her human resources at all. Regretfully, we have blatantly allowed medoicres to dominate us, such as Tulia. Sad
 
Huyu mzee anatia huruma sana,hivi vyeo kila siku vimetajwa km koti la kuazima...hapa ndo pia napata mashaka na Elimu yetu,imagine profesa mwenye taaluma analia lia na cheo cha kupewa...je hawezi ku apply kazi kwa hiyo taaluma yake???je hawa si miongoni mwa wale wenye kuhimiza vijana kujiajiri??????maajabu.
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.la
Lazima aumie kwa cheo alichokuwa nacho na walichomfanyia hata wewe usingekaa sawa
 
Huyu mzee anatia huruma sana,hivi vyeo kila siku vimetajwa km koti la kuazima...hapa ndo pia napata mashaka na Elimu yetu,imagine profesa mwenye taaluma analia lia na cheo cha kupewa...je hawezi ku apply kazi kwa hiyo taaluma yake???je hawa si miongoni mwa wale wenye kuhimiza vijana kujiajiri??????maajabu.
Huyu Assad hayupo sawa.Ikiwezekana serikali impeleke Mirembe akatulizwe.Amekosa subra ambayo inasisitizwa sana kwenye imani yake.Mimi nilianza kumuona wa ovyo siku moja alipokuwa anaongea sehemu fulani akawa anasema tuwe makini tusije tukapata Rais mwingine DUBWANA.Mwingine !! maana yake kuna mwingine aliyepita ni DUBWANA.Asijue kwamba Magufuli alikuwa kwenye mioyo ya wanyonge wengi.Waliomchukia ni yale majizi, vibaraka wa magharibi na wahujumu wa uchumi kwa ujumla wao. Neno DUBWANA halikuwa la kiungwana litoke kwenye kinywa cha Prof. wa hadhi yake.Lakini pia ajiulize ana umri gani wa kuanza kulilialilia cheo.Kilishapita hicho.Ajutie mdomo wake kwa kauli aliyoitoa kule nje kuhusu bunge. Kama nia ilikuwa kuwafurahisha mabeberu basi awalilie haohao.
 
Sikweli unayonena,alitoa mchozi juu yakifo chamkewake kwamba mkewake sikuhiyo kama angekuwepo nyumbani asingefariki sababu walishamjulia chakufanya akizidiwa
Kina...
Wengi hapa wanaomshambulia Prof. wanasukumwa na husda na chuki.

Assad hakulia kwa kufukuzwa kazi na hili lipo wazi na hawalitaki.

Tunaomjua Mussa tunajua uwezo aliojaaliwa.

Nasoma michango yao naishia kucheka.


View: https://youtu.be/IHprgX70ECU?si=kEoTFYStB4r5OMr5
 
Back
Top Bottom