Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Wazee wa Magomeni waswahiliswahili sana hata kama ni wasomi.Mfano ni huu.
Huyu ni mpumbavu na hakustahili kupewa hiyo nafasi!
Mbona watu kibao wanapoteza nafasi zao kama Ndugai ulishamsikia anaongea popote?
Huyu Mswahili,Mnafiki na mwenye Roho mbaya asojitambua na kuna uwezekano mkubwa alikuwa anatumika kuhujumu serkali ya JPM!
 
Wewe na Asad nani anahitaji tiba ya akili unadhani?!! Bwana yule anafuatwa na waandishi yeye anawapa uhalisia wa uhuni uliokuwa unafanyika
 
Huyu mwamba tangu kipindi anakuja darasani kaning'iniza flash disks kibao shingoni utasema mmachinga vile, simu anapokelea darasani afu anaaga muda huohuo na kipindi ndio kimeisha hivo bila kufundisha.....mwenyez mungu amsimamie lakn jamaa hana baya na mtu
 
Huyu mwamba tangu kipindi anakuja darasani kaning'iniza flash disks kibao shingoni utasema mmachinga vile, simu anapokelea darasani afu anaaga muda huohuo na kipindi ndio kimeisha hivo bila kufundisha.....mwenyez mungu amsimamie lakn jamaa hana baya na mtu
Mimi au wadau wangependa kujua ripoti zake wakati yeye ni siagi, kabla ya awamu ya tano, ziliongelea vipi miradi ya nhc na ya nssf .
 
Mumbai...
"Hovyo" au "Ovyo?"

Lugha kali zinazodhihirisha chuki na hasa.

Katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam nakuhakikishia hakuna kuanzia VC hadi ngazi ya mwisho anaeweza kumwita Prof. Assad mtu wa ovyo.

Wewe una ujasiri huo.

Nimeandika fikra zangu katika post yangu # 133.

Naona inakwepwa wachangiaji wanaendelea kuandika kejeli na kashfa dhidi ya Prof. Mussa Assad.

Toka mwanzo imechukuliwa "wrong premise" kuwa Prof. Assad analia kuililia kazi aliyokuwanayo.

Kutokana na hilo ndilo haya yote yanafuatia.

Lakini hata pale inapokumbushwa kuwa hilo silo inaelekea hamtaki kusikiliza.

Mjadala wa aina hii hauna maana.

Tieni maanani kuwa ipo hukumu ya mahkama.

Prof. kashinda kesi.

Au tuchukulie mahkama imekosea?
Asante mzee Said kwa Marekebisho hovyo >>ovyo....

Hiyo hoja yako ya kushinda kesi sio ambayo imepostiwa humu...millio yake ndo tunaijadili.

Unajaribu kimsafisha na ushindi wa kesi,haina maana.mwaambie aache kulalama

Ni maprofesa wangapi wamenyang'anywa nafasi?mbona hatuwaskii wakishinda media kujiliza???

Hiyo heshima ya UDsm unayoizungumzia kwa milio yake nafikiri hadhi yake inakuwa sambamba na wale wa majalalani.
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Nasikitika kumuona mwalimu wangu wa chuo nguli kabisa akiweweka nimelia sana ,angeacha yapite u
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Wabongo tunapenda sana kupindisha habari, hili ni tatizo lipo miongoni mwetu.

Kilichomliza ni baada ya mwandishi wa habari Kikeke kuanza kuongelea kifo cha mkewe, kabla ya kuulizwa swali lile alikuwa anaongea kama kawaida tu.

Profesa Assad ni mjane na wajane wengi wanaume huwa wanaumizwa sana wanapoachwa na upweke wa kuondokewa na wake zao.
 
Sikweli unayonena,alitoa mchozi juu yakifo chamkewake kwamba mkewake sikuhiyo kama angekuwepo nyumbani asingefariki sababu walishamjulia chakufanya akizidiwa
Wabongo tunao upuuzi wa kupenda kutunga habari zetu wenyewe ambazo hazifanani na uhalisia wa kile kinachozungumzwa.

Profesa alianza kutoa machozi baada ya Kikeke kuongelea hali yake ipo vipi baada ya kufiwa na mke wake.

Hawezi kulia kwa sababu ya kuondolewa kazini huyo ni msomi mkubwa sana. Hivi sasa yupo katika ile tume ya kupitia mifumo ya kodi iliyoundwa na Rais Samia miezi kama miezi miwili iliyopita.
 
Prof. Assad Sasa zamu yake kwenda kujiajiri.
Mh.Samia mlipe stahiki zake Prof Assad akajiajiri.
Siku nyingine ajifunze ukichagua kusimamia unacho amini hata kama ikibidi upishane na boss wako ukubali matokeo yake. Ukubali kuteseka sababu ya itikadi zako, na matokeo ya maamuzi yako.
Ukijiona wewe mlaini basi huna budi kufuata matakwa ya boss wako.
Kuna kiongozi alisema Katiba ni kijitabu tu, hivyo Assad alikosea kuitegemea Katiba pekee.
Ndg fuatilia ,Assad alijiajiri toka alipopata cpa (t) na akiwa na degree moja tu .
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Naona kama kuna mahali unapotosha mtoa maada.Alisema issue inayomuumiza ni kifo cha mke wake kipenzi.Hayo mengine unaongezea wewe.Si dhani kama Prof.Asad ni wa hivyo.angelikuwa ni muoga wa maisha angeendeleza uchawa kama wanavyofanya wengine.binafsi nampenda huyu prof.kwa jinsi anavyoyachukulia maisha na kulinda uhuru wake binafsi na wakitaaluma.Hii inanifanya niaziamini kaguzi zake zaidi kuliko za Ma CAG wengine wote .Inaonekana ni kati ya watu wasiohofia wanadamu ila wanahofu ya Mungu wake.Hata hii interview inaonyesha ni mtu huru.
 
Mumbai...
"Hovyo" au "Ovyo?"

Lugha kali zinazodhihirisha chuki na hasa.

Katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam nakuhakikishia hakuna kuanzia VC hadi ngazi ya mwisho anaeweza kumwita Prof. Assad mtu wa ovyo.

Wewe una ujasiri huo.

Nimeandika fikra zangu katika post yangu # 133.

Naona inakwepwa wachangiaji wanaendelea kuandika kejeli na kashfa dhidi ya Prof. Mussa Assad.

Toka mwanzo imechukuliwa "wrong premise" kuwa Prof. Assad analia kuililia kazi aliyokuwanayo.

Kutokana na hilo ndilo haya yote yanafuatia.

Lakini hata pale inapokumbushwa kuwa hilo silo inaelekea hamtaki kusikiliza.

Mjadala wa aina hii hauna maana.

Tieni maanani kuwa ipo hukumu ya mahkama.

Prof. kashinda kesi.

Au tuchukulie mahkama imekosea?
Kesi ilihusu Nini Mzee wangu?
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Kama ni hivyo, basi alistahili kuondolewa. Na asipewe cheo chochote kabisa.kabisa.
 
Sikweli unayonena,alitoa mchozi juu yakifo chamkewake kwamba mkewake sikuhiyo kama angekuwepo nyumbani asingefariki sababu walishamjulia chakufanya akizidiwa
wewe ndio uko sahihi
nashangaa na Moderator haoni huu uzu kwamba hauko sawa

assad alitoa machozi sababu ya kumpoteza mkewake Dr Badria Bave na sio mambo ya ofisini

japokua katika mahojiano yale alioneshwa kuumizwa na utawala wa magufuli hata kutolewa kwake hakukua kwa njia nzuri

magufuli hakua rasmi Rais bora
aliharibu mengi na propaganda ndio ilikua inambeba tu
 
wewe ndio uko sahihi
nashangaa na Moderator haoni huu uzu kwamba hauko sawa

assad alitoa machozi sababu ya kumpoteza mkewake Dr Badria Bave na sio mambo ya ofisini

japokua katika mahojiano yale alioneshwa kuumizwa na utawala wa magufuli hata kutolewa kwake hakukua kwa njia nzuri

magufuli hakua rasmi Rais bora
aliharibu mengi na propaganda ndio ilikua inambeba tu

MIMI NAMCHUKIA SABABU YA SISI WENYE VYETI FAKE ALIVYOTUDHALILISHA. HILO KWA KWELI WENGI LILITUUMIZA SANA. ANYWAY TUMERUDI SASA. HILO TU NDO LILIKUWA TATIZO LA KUTUPIGA CHINI WENYE VYETI FAKE.
 
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika, anatatajika.

Prof mpaka kufika hapo ni wazi ana akili za darasani. Ila emotional intelligence ndo shida. Prof miaka mitatu bado anaugua sana akiugulia ile nafasi. Sisi wengine tulishaondolewa makazini kwa vyeti fake n.k na maisha yakaendelea tu.

Wengine tuliondolewa sababu ya uwezo ila vyetu tulikuwa navyo tukasema tu aaargh sikuzaliwa niwe Mkurugenzi au Katibu xxxxx.

Soma pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Kwa Prof Assad. Imekuwa tofauti. Bado analalamika. Serikali iingilie kati. Imsaidie akae sawa kihisia na kiakili. Ni wazi hili suala lilimuathiri sana. Asiachwe peke yake. Na kama ana madai Samia mlipe Prof apumzike. Pia apewe mtaalamu wa saikolojia amwambie haya ni maisha tu . Kwani

KUKATIKA KWA MPINI SI MWISHO WA KULIMA. asiumie bado ana maisha na anaweza pewa cheo kingine. Kumfariji asiachwe hivi hivi please. Afya ya akili is real.
Yaani unataka serikali ihangaike na matatizo/tamaa ya mtu binafsi? Kwa nini hushauri familia imsaidie? Au unaamini yametokana na kuondolewa nafasi ya CAG?

Huyu alikuwa mwalimu UDSM, Kwa nini hakurudi UDSM akafundishe? Kwani alisoma ili awe CAG. Iweje leo akiondolewa iwe ni tatizo la miaka nenda?
 
Wabongo tunao upuuzi wa kupenda kutunga habari zetu wenyewe ambazo hazifanani na uhalisia wa kile kinachozungumzwa.

Profesa alianza kutoa machozi baada ya Kikeke kuongelea hali yake ipo vipi baada ya kufiwa na mke wake.

Hawezi kulia kwa sababu ya kuondolewa kazini huyo ni msomi mkubwa sana. Hivi sasa yupo katika ile tume ya kupitia mifumo ya kodi iliyoundwa na Rais Samia miezi kama miezi miwili iliyopita.
Mleta Uzi huu mpuuzi na moderater wanautazama Uzi hu
 
Naona kama kuna mahali unapotosha mtoa maada.Alisema issue inayomuumiza ni kifo cha mke wake kipenzi.Hayo mengine unaongezea wewe.Si dhani kama Prof.Asad ni wa hivyo.angelikuwa ni muoga wa maisha angeendeleza uchawa kama wanavyofanya wengine.binafsi nampenda huyu prof.kwa jinsi anavyoyachukulia maisha na kulinda uhuru wake binafsi na wakitaaluma.Hii inanifanya niaziamini kaguzi zake zaidi kuliko za Ma CAG wengine wote .Inaonekana ni kati ya watu wasiohofia wanadamu ila wanahofu ya Mungu wake.Hata hii interview inaonyesha ni mtu huru.
Ni mkweli siku zote mwenye kusimamia misingi ya kazi anayoifanya.

Hayati JPM alimchukia kwa sababu hakutaka kuyumbishwa katika nafasi yake, aliheshimu miiko ya kazi yake.
 
Back
Top Bottom