Serikali inabidi kuwa 'think tank' ya wananchi na kumpa Mwongozo mwananchi na sio kupigia debe Kazi uchwara

Serikali inabidi kuwa 'think tank' ya wananchi na kumpa Mwongozo mwananchi na sio kupigia debe Kazi uchwara

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Serikali imejaa ujanja yaani unataka msomi wa degree umgeuze msukule eti awe mchuuzi?

Hizi rasilimali tulizonazo zinabidi. Kulisaidia Taifa kwa watu wote .

Hizo Kazi za bodaboda wapeni watoto wenu huko CCM wavunjike Miguu wawe walemavu wapate Tb n.k yaani hamna Huruma Wala utu.
 
Back
Top Bottom