Serikali inafanya makosa kutomfunga jela Zitto Kabwe kwa makosa ya uchochezi anayofanya. Afungwe kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho

Serikali inafanya makosa kutomfunga jela Zitto Kabwe kwa makosa ya uchochezi anayofanya. Afungwe kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho

Kiongozi aliyetangulia yaani Magufuli, hachafuliwi kwa kuwa alikwishachafuka kabla.

Yanayoongelewa kuhusu yeye na Zitto Kabwe ni kama kusoma ukurasa mmoja wa kitabu, lakini bado kuna page 500 za uozo na maovu ya DIKTETA huyo.

Kadri unavyoandika nyuzi nyingi za kumtetea Magufuli wewe Nyankurungu2020 ndiyo unavyoonyesha USUKULE wako.
Tuache ukweli uongee. Hakuna anayetetea. Chuki zako zinakufanya udhanie ndivyo sivyo.

Watu waliochoma moto walifanya kosa la Arson. zitto anatakiwa awapeleke polisi sheria ifuate mkondo. Sio kudanganya kumchua hayati JpM
 
Tuache ukweli uongee. Hakuna anayetetea. Chuki zako zinakufanya udhanie ndivyo sivyo.

Watu waliochoma moto walifanya kosa la Arson. zitto anatakiwa awapeleke polisi sheria ifuate mkondo. Sio kudanganya kumchua hayati JpM
Moto ulichoma nyumba mwaka 2018/19? wakati DIKTETA Magufuli yuko hai. Sasa huyu Zitto angefungua mashtaka yake kwenye Kituo gani cha Polisi? Ila nakusifu Nyankurungu2020 kwa kujitoa UFAHAMU, kwa hilo tu huna mshindani
 
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.

Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .

Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Cjakuona hapa chato mkuu nipo maeneo ya airport!
 
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.

Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .

Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Serikali haiwezi kumkamata maana wanajua alichokuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani. Wanaweza kumkamata ili kumziba mdomo, lakini sio kuzuia ukweli aliosema dhidi ya Magufuli.
 
Serikali haiwezi kumkamata maana wanajua alichokuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani. Wanaweza kumkamata ili kumziba mdomo, lakini sio kuzuia ukweli aliosema dhidi ya Magufuli.
Ina maana watu mia moja na ushee waliuwawa huko Kigom?

Watumishi wa seriklai/ Maafisa wq ikulu walichoma moto nyumba ya Zitto?
 
Ukiona mtu Ana toa tuhuma kama hizo na bado hachukuliwi hatua kuna mawili ... eidha niyakweli, au kuna watu wapo nyuma yake
 
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.

Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .

Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?

Natamani sana masalia ya mwendazake mngekuwa mnaamini kwenye utawala wa sheria siku zote, tusingefika hapa tulipo. Baada ya kuwa mayatima ndo mnaanza kuona umuhimu wa utawala wa sheria.

Kweli siku hazigandi.
 
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.

Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .

Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Wakimkamata ujue hicho alichosema sio cha kweli.

Lengo la uzi wako tumeshaijua
🤣🤣
 
Hawa waliopo madarakani hivi Sasa, ndio walikuwa watu wa karibu zaidi na Magufuli kuliko wewe uliyekuwa unamuona kwenye TV wanajua maovu ya Magufuli na wanajua anachosema Zitto ni kweli, ndio maana wameanzisha hii kitu inayoitwa maridhiano
 
Serikali haiwezi kumkamata maana wanajua alichokuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani. Wanaweza kumkamata ili kumziba mdomo, lakini sio kuzuia ukweli aliosema dhidi ya Magufuli.
Samia mwenyewe anafurahi Magu akisemwa vibaya, JPM naye alikuwa akifurahi JK alivyokuwa akisemwa vibaya....Ila kisirisiri
 
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.

Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .

Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Zitto Kabwe ni kishoka wa CCM, hawezi kufanywa kitu huu ndiyo ukweli wenyewe
 
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.

Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .

Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Hao ni mufilisi wa kisiasa nchini.
Wameishiwa sera wamebaki na Visasi Rohoni.
Wengine nao michango imebuma huko mtaani.
 
Hao ni mufilisi wa kisiasa nchini.
Wameishiwa sera wamebaki na Visasi Rohoni.
Wengine nao michango imebuma huko mtaani.

Nimecheka kwa nguvu nguvu, muumini wa dhalimu naona unapata tabu. Jitahidi kuvumilia ukweli.
 
Back
Top Bottom