Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #21
Tuache ukweli uongee. Hakuna anayetetea. Chuki zako zinakufanya udhanie ndivyo sivyo.Kiongozi aliyetangulia yaani Magufuli, hachafuliwi kwa kuwa alikwishachafuka kabla.
Yanayoongelewa kuhusu yeye na Zitto Kabwe ni kama kusoma ukurasa mmoja wa kitabu, lakini bado kuna page 500 za uozo na maovu ya DIKTETA huyo.
Kadri unavyoandika nyuzi nyingi za kumtetea Magufuli wewe Nyankurungu2020 ndiyo unavyoonyesha USUKULE wako.
Moto ulichoma nyumba mwaka 2018/19? wakati DIKTETA Magufuli yuko hai. Sasa huyu Zitto angefungua mashtaka yake kwenye Kituo gani cha Polisi? Ila nakusifu Nyankurungu2020 kwa kujitoa UFAHAMU, kwa hilo tu huna mshindaniTuache ukweli uongee. Hakuna anayetetea. Chuki zako zinakufanya udhanie ndivyo sivyo.
Watu waliochoma moto walifanya kosa la Arson. zitto anatakiwa awapeleke polisi sheria ifuate mkondo. Sio kudanganya kumchua hayati JpM
Jinai haina mwisho, awapeleke sasa hivi mahakamani.Moto ulichoma nyumba mwaka 2018/19? wakati DIKTETA Magufuli yuko hai. Sasa huyu Zitto angefungua mashtaka yake kwenye Kituo gani cha Polisi? Ila nakusifu Nyankurungu2020 kwa kujitoa UFAHAMU, kwa hilo tu huna mshindani
Cjakuona hapa chato mkuu!Ukiona hivyo ujue matendo yake yana baraka za wakubwa.
Cjakuona hapa chato mkuu nipo maeneo ya airport!Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.
Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .
Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Ni kweli Rejea nukuu za Mama Karibuni taifa lilifika pabaya. Hatuna budi kutoa nyongo ili tubakie SalamaUkiona hivyo ujue matendo yake yana baraka za wakubwa.
Serikali haiwezi kumkamata maana wanajua alichokuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani. Wanaweza kumkamata ili kumziba mdomo, lakini sio kuzuia ukweli aliosema dhidi ya Magufuli.Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.
Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .
Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Ina maana watu mia moja na ushee waliuwawa huko Kigom?Serikali haiwezi kumkamata maana wanajua alichokuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani. Wanaweza kumkamata ili kumziba mdomo, lakini sio kuzuia ukweli aliosema dhidi ya Magufuli.
Ina maana watu mia moja na ushee waliuwawa huko Kigom?
Watumishi wa seriklai/ Maafisa wq ikulu walichoma moto nyumba ya Zitto?
Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.
Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .
Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Wakimkamata ujue hicho alichosema sio cha kweli.Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.
Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .
Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Kama matendo ya Musiba yalivyokuwa na baraka za mwendazake?Ukiona hivyo ujue matendo yake yana baraka za wakubwa.
Samia mwenyewe anafurahi Magu akisemwa vibaya, JPM naye alikuwa akifurahi JK alivyokuwa akisemwa vibaya....Ila kisirisiriSerikali haiwezi kumkamata maana wanajua alichokuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani. Wanaweza kumkamata ili kumziba mdomo, lakini sio kuzuia ukweli aliosema dhidi ya Magufuli.
Zitto Kabwe ni kishoka wa CCM, hawezi kufanywa kitu huu ndiyo ukweli wenyeweMtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.
Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .
Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Hao ni mufilisi wa kisiasa nchini.Mtu anapotosha umma kuwa zaidi ya wananchi mia moja wameuwawa na jeshi la polisi. Ushahidi upo wazi na anatiwa hatiani alafu sababu ni mwanasiasa anapewa adhabu ya Conditional discharge. Huu ni upendeleo.
Anatamka hadharani kuwa mkuu wa nchi aliyefariki alituma watu wachome nyumba yake.Na anakiri waliochoma wamemuomba radhi, kwa nini asiwapeleke polisi? Maana kuchoma moto nyumba ni jinai na haina mwisho .
Anachafua hadharani kuwa taasisi ya rais inatumia maofisa wa serikali kufanya uharifu alafu anaachwa tu. Kwa nini amchafuae kiongozi aliyetangulia mbele za haki? Alafu anaangaliwa tu?
Hao ni mufilisi wa kisiasa nchini.
Wameishiwa sera wamebaki na Visasi Rohoni.
Wengine nao michango imebuma huko mtaani.
Nini kilichojificha?Wakimkamata ujue hicho alichosema sio cha kweli.
Lengo la uzi wako tumeshaijua
🤣🤣