Serikali inanyanyasa wananchi Dar kupitia mwendokasi

Serikali inanyanyasa wananchi Dar kupitia mwendokasi

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wananchi elfu tatu wako vituo vya hapa NBC bank mjini kati tangu saa 11, hakuna gari inayopakia bali zote za kwenda Mbezi na Kimara zinapita zimejaa na hazisimami.

Je, kwanini Serikali inakubali kunyanyasa wananchi wake hivi? Waziri wa Tamisemi na Mkurugenzi wa UDart unafurahia nini kuona wananchi wananyanyasika hivi.

Kwanini serikali isuruhusu daladala kutumia Barabara za mwendo kasi kupakia raia ili kuwapunguzia shida hizi.?

Mlaaniwe wote mlioko kwenye maamuzi kwa manyanyaso mnayowafanyia watanzania hawa kwa kushindwa kuruhusu wenye daladala kutoa huduma kupitia Barabara za mwendokasi wakati hamuwezi kutoa huduma ya usafiri.
 
Tayari tuliahabinafisisha hayo madude,kwa hiyo mwenye hayo madude ndo anamtindo huo mtafanyeje? Tumieni coaster, wakaazi wa Dar, mpaka mkome, bandari nazo tayari, bado SGR tu
 
Hali ni mbaya sasa masaa mawili gari inapita nankupakia watu wasiozidi 20 na kuondoka.Bahati mbaya gari Moja inapita kila baada ya dk 30 na kupakia watu 10 au 20 wakusimama nakuondoka.Ni Mateso sana.Vyombo vya habari havimuliki hili Wala vyama vya upinzani vimekalia kuongelea mambo yasiyo ya maana badala ya kuchukua hii kama agenda kwa wakati wa Dar nakuongelea wanachi wanavyonyanyaswa na serikali lakini hawaoni kama hii ni fursa yakutoa elimu ya ulalia.Senegal wapinzani walitumia fursa kama hizi na kuingia ikulu
 
Wananchi elfu tatu wako vituo vya hapa NBC bank mjini kati tangu saa 11, hakuna gari inayopakia bali zote za kwenda Mbezi na Kimara zinapita zimejaa na hazisimami.

Je, kwanini Serikali inakubali kunyanyasa wananchi wake hivi? Waziri wa Tamisemi na Mkurugenzi wa UDart unafurahia nini kuona wananchi wananyanyasika hivi.

Kwanini serikali isuruhusu daladala kutumia Barabara za mwendo kasi kupakia raia ili kuwapunguzia shida hizi.?

Mlaaniwe wote mlioko kwenye maamuzi kwa manyanyaso mnayowafanyia watanzania hawa kwa kushindwa kuruhusu wenye daladala kutoa huduma kupitia Barabara za mwendokasi wakati hamuwezi kutoa huduma ya usafiri.
Hivi kwanini BRT wasiongeze mabasi?
 
Mamvo ya serikali ni magumu sana hasa hizi serikali za black mamba...ww jiulize mwendo kasi tu imetushinda huko kwingine wanako kusanya kodi nako pakoje si kujilia tu mihela nyie mtajiju
 
Mungu awalaine viongozi wa UDart na uongozi wa serikali kuanzia ikulu, wizarani ,office ya mkuu wa mkoa na familia zao.Waugue kansa na wafe ikiwatesa kwa sbbau wanatunayanysa sana. Hadi sasa tangia saa 11 wananchi wasiozidi 100 ndo wamepakiwa wakati kityo kinawatunkama elfu 3.
 
Mimi kama mzalendo Huwa nachukia sana kuona hao walinzi wa dart wakiwasumbua watu wanaopita kwenye barabara za mwendokasi.mradi huu ulishajifia Kwa Nini tusiruhisu tu na gari zingine zipite ikiwemo na daladala?Kwa uendeshani ulivyo wa hovyo Kwa huu mradini ni bora ukafutwa kabisa na barabara hizi zikatumiwa na gari zingine za watu binafsi pamoja na daladala.Mradi umechezea Kodi zetu lakini ufanisi ni Zero kabisa.
 
Back
Top Bottom