Inasikitisha sanaMungu awalaine viongozi wa UDart na uongozi wa serikali kuanzia ikulu, wizarani ,office ya mkuu wa mkoa na familia zao.Waugue kansa na wafe ikiwatesa kwa sbbau wanatunayanysa sana. Hadi sasa tangia saa 11 wananchi wasiozidi 100 ndo wamepakiwa wakati kityo kinawatunkama elfu 3.
Wamepitisha bajeti ya mavieiti hela ipoWananchi elfu tatu wako vituo vya hapa NBC bank mjini kati tangu saa 11, hakuna gari inayopakia bali zote za kwenda Mbezi na Kimara zinapita zimejaa na hazisimami.
Je, kwanini Serikali inakubali kunyanyasa wananchi wake hivi? Waziri wa Tamisemi na Mkurugenzi wa UDart unafurahia nini kuona wananchi wananyanyasika hivi.
Kwanini serikali isuruhusu daladala kutumia Barabara za mwendo kasi kupakia raia ili kuwapunguzia shida hizi.?
Mlaaniwe wote mlioko kwenye maamuzi kwa manyanyaso mnayowafanyia watanzania hawa kwa kushindwa kuruhusu wenye daladala kutoa huduma kupitia Barabara za mwendokasi wakati hamuwezi kutoa huduma ya usafiri.
Nasikia yamekufa mengi sana na hawataki kutengeneza, sijui kwanini?Yale mabasi yaliyokuwepo mwanzo yako wapi?
Nakazia hapo kwenye uvumilivuNilionya mambo haya kama yatafanyika ruti ya Mbagala yatasababisha vurugu, watu wa kule hawana uvumilivu
zikijaa hazisimamiWananchi elfu tatu wako vituo vya hapa NBC bank mjini kati tangu saa 11, hakuna gari inayopakia bali zote za kwenda Mbezi na Kimara zinapita zimejaa na hazisimami.
Nalog offMlaaniwe wote mlioko kwenye maamuzi kwa manyanyaso mnayowafanyia watanzania
Barabara ya peke yao,mabasi wamepewa na serikali kazi yao ni kuyasimamia tu,hawana foleni kana mabasi mengine,hawana faini wala mabao ya tradiki,serikali makini hao dart saa hz wangekua jela,how come washindwe kuendesha biashara rahisi kama ile,kuna mtu anamiliki kihiace kibovu lakini faida anaiona,dart pesa wamepeleka wapi!Nasikia yamekufa mengi sana na hawataki kutengeneza, sijui kwanini?
Mwendokasi ishakua hekaheka sikuhizi!!
Yale mabasi yaliyokuwepo mwanzo yako wapi?
Mlivyokuwa mnaipigia CCM MLIITEGEMEA Nini na Bado mpaka mteme bungoHali ni mbaya sasa masaa mawili gari inapita nankupakia watu wasiozidi 20 na kuondoka.Bahati mbaya gari Moja inapita kila baada ya dk 30 na kupakia watu 10 au 20 wakusimama nakuondoka.Ni Mateso sana.Vyombo vya habari havimuliki hili Wala vyama vya upinzani vimekalia kuongelea mambo yasiyo ya maana badala ya kuchukua hii kama agenda kwa wakati wa Dar nakuongelea wanachi wanavyonyanyaswa na serikali lakini hawaoni kama hii ni fursa yakutoa elimu ya ulalia.Senegal wapinzani walitumia fursa kama hizi na kuingia ikulu