choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha
1. Walimu hawana uwezo?
2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?
3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?
Au ni nini hasa?
Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
1. Walimu hawana uwezo?
2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?
3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?
Au ni nini hasa?
Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.