Serikali inaogopa nini kufanya lugha ya kufundishia iwe kingereza kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu?

Serikali inaogopa nini kufanya lugha ya kufundishia iwe kingereza kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu?

choza choza

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2019
Posts
2,081
Reaction score
3,831
Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha

1. Walimu hawana uwezo?

2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?

3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?

Au ni nini hasa?

Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
 
Wazo la serikali kufundisha kwa lugha ya kiswahili mpaka vyuo ni jema sana, kuendelea kuking'ang'ania kiingereza ni ujinga
Mkuu, kiuhalisia kabisa bila ushabiki kiswahili hakitupeleki popote. Nchi yetu bado ni tegemezi, tunategemea kutumia tafiti zote za kiteknolojia, kisayansi nk. zilizofanyika na nchi nyingine. Sisi bado wachanga mmno ktk dunia hii hatujielewi. Ukitofautisha na nchi nyingine zilizojiwekeza kwenye tafiti za sayansi na technologies. Wanasema kiswahili kitumike kufundishia watoto wao wanasoma mitaala ya kingereza kalaga baho
 
Mkuu, kiuhalisia kabisa bila ushabiki kiswahili hakitupeleki popote. Nchi yetu bado ni tegemezi, tunategemea kutumia tafiti zote za kiteknolojia, kisayansi nk. zilizofanyika na nchi nyingine. Sisi bado wachanga mmno ktk dunia hii hatujielewi. Ukitofautisha na nchi nyingine zilizojiwekeza kwenye tafiti za sayansi na technologies. Wanasema kiswahili kitumike kufundishia watoto wao wanasoma mitaala ya kingereza kalaga baho
Hakuna kitu kama hicho, mkuu. UN Kiswahili kinaheshimika, sasa je?

Nini kinachokosekana au kushindikana kufundishia kwa Kiswahili? Mbona hadi vyuoni maprofesa na wahadhiri wanakiswang'anya Kiingereza huku wakitumia Kiswahili kama kawaida?

Jambo la msingi, maandalizi muhimu yafanyike halafu utajionea mwenyewe. Tena Kiswahili kinaweza kuwa bora kabisa hata kuliko Inglishi.

Miaka zaidi ya 100 ya matumizi rasmi ya Kiswahili, halafu bado watu wanadai eti ni lugha changa?
 
Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha

1. Walimu hawana uwezo?

2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?

3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?

Au ni nini hasa?

Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
Devide and rule, lazima watengeneze matabaka ili kupanua wigo wa familia zao kuwa the rulling class forever
 
Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha

1. Walimu hawana uwezo?

2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?

3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?

Au ni nini hasa?

Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
Kwanini isiwe kiswahili, kutokujiamin ni maradhi yanayotibika
 
Wazo la serikali kufundisha kwa lugha ya kiswahili mpaka vyuo ni jema sana, kuendelea kuking'ang'ania kiingereza ni ujinga
Kenya wanafundishwa kingereza toka Chekechea na kiswahili wanakimudu barabara hata nje ya nchi ndio wanaongoza kuwa walimu wa kufundisha lugha ya kiswahili mataifa mbalimbali na vyuo kibao

Watanzania wanakosa ajira nje ya nchi kufundisha kiswahili tofauti na wakenya sababu uwezo wao mdogo wa kufundisha kiswahili kimataifa kuliko wakenya
 
Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha

1. Walimu hawana uwezo?

2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?

3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?

Au ni nini hasa?

Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
Kiswahili chenyewe kinatushinda sembuse lugha ya watu tusiyoijuwa?
 
Mawndeleo sio lugha peke yake bali ni jitihada
Kuendana na dunia ni moja na kukuza uchumi wetu ni jambo lingine
Kama hata packaging ya matunda hatuwezi sasa tutauza lugha?
Usisahau kukuza ajira kimataifa za walimu wa kiswahili hiyo ni kukuza uchumi pia kwa kuleta pesa za kigeni kwa ku export walimu wa kiswahili

Sasa hivi kuna soko kubwa mno la walimu wa kiswahili kinataifa lakini nafasi zote zinachukuliwa na wakenya sababu walimu wetu wa kiswahili wabovu kwenye kingereza uwezo wao mwisho kufundisha kiswahili Tanzania tu

Serikali iache ujinga imebadilishe mitaala iwe shule zote English Medium kiswahili kibaki kama somo tu kama kenya na kibaki kuwa lugha ya taifa tu

Kenya kingereza wanakiweza na kiswahili wanakiweza
 
Kwenye LUGHA rasmi za UN sizani kama kiswahili kipo
Hakuna kitu kama hicho, mkuu. UN Kiswahili kinaheshimika, sasa je?

Nini kinachokosekana au kushindikana kufundishia kwa Kiswahili? Mbona hadi vyuoni maprofesa na wahadhiri wanakiswang'anya Kiingereza huku wakitumia Kiswahili kama kawaida?

Jambo la msingi, maandalizi muhimu yafanyike halafu utajionea mwenyewe. Tena Kiswahili kinaweza kuwa bora kabisa hata kuliko Inglishi.

Miaka zaidi ya 100 ya matumizi rasmi ya Kiswahili, halafu bado watu wanadai eti ni lugha changa?
LU
 
Back
Top Bottom