Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Lengo lao ni kufanya watoto wa kimasikini waendelee kuwa masikini na wao watoto wao waendelee kuwa juu
Hakuna waziri Wala mkulugenzi yoyote katika nchi hii ambaye hajui kuwa kingereza ni lugha muhimu
Kipindi Dar es salaam hakuna English medium za private wao walikuwa na English medium zao Olympio na Bunge na watoto wote wa viongizi unaowajua wewe wamesoma katika hizo shule
Alafu nyinyi mnambiwa watoto wenu wasome primary Kwa lugha ya kiswahili Ili kudumisha uzalendo
Mtoto wa kimasikini anatoka kayumba anapelekwa secondary ya kata akiwa anapambana na lugha hapo mtihani wa kidato Cha nne huo anamaliza hapo hata kuomba maji Kwa kingereza hajui
Hapo Sasa chichiem ndio wanajisikia Raha maana wajinga wanaongezeka mitaani na ndio mtaji wao katika uchaguzi
Hakuna waziri Wala mkulugenzi yoyote katika nchi hii ambaye hajui kuwa kingereza ni lugha muhimu
Kipindi Dar es salaam hakuna English medium za private wao walikuwa na English medium zao Olympio na Bunge na watoto wote wa viongizi unaowajua wewe wamesoma katika hizo shule
Alafu nyinyi mnambiwa watoto wenu wasome primary Kwa lugha ya kiswahili Ili kudumisha uzalendo
Mtoto wa kimasikini anatoka kayumba anapelekwa secondary ya kata akiwa anapambana na lugha hapo mtihani wa kidato Cha nne huo anamaliza hapo hata kuomba maji Kwa kingereza hajui
Hapo Sasa chichiem ndio wanajisikia Raha maana wajinga wanaongezeka mitaani na ndio mtaji wao katika uchaguzi