Serikali inapaswa kuratibu madarasa ya kufundisha watoto wadogo dini kupitia mfumo rasmi wa elimu

Serikali inapaswa kuratibu madarasa ya kufundisha watoto wadogo dini kupitia mfumo rasmi wa elimu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Video ya inayosambaa mitandaoni ya mwalimu wa madrasa huko Mbagala akiwapiga fimbo watoto wadogo ni mbaya sana. Hata hivyo ukisikiliza wanaochukua hiyo video wanasema siku nyingine huwa anawapiga mpaka hasira zake ziishe! Hii ni hatari kwa usalama wa hao watoto.

Kwa kumuangalia tu huyo mwalimu wa unaweza kuona ni kama mtu mwenye matatizo ya saikolojia lakini pia hana mbinu zozote za kufundisha watoto wadogo. Ni hatari sana kumuacha mtu wa aina hiyo na watoto wadogo.

Ni jambo lenye mashiko kwa serikali kuratibu mafunzo yoyote ya umma ya watoto wadogo kuanzia madrasa hadi madarasa ya kipaimara na komunyio. Serikali iweke vigezo vya msingi vya ujumla vya mtu kuwa mwalimu wa watoto wadogo ikiwemo kuwa na cheti cha mafunzo ya mbinu za kufundisha watoto wadogo kutoka vyuo vya ualimu.
 
Hawa walimu wa madrasa huwa ni wehu, kuna mmoja alikuja shuleni kufundisha kipindi cha dini, darasa lake likawa na wanafunzi wachache akaambiwa wengine wameingia kwa wakristo. Yule ustaadh aliingia darasa la wanafunzi wakristo kibabe akisaka wanafunzi waislam, aliwapata na kuanza kuwaadhibu hapo hapo darasani kwa wakristo kwa kuwapiga makofi na makwenzi watoto wa watu. Alikuwa kama kavuta bangi hivi, kwanza hakuwa na adabu kuingia darasa la ibada za wengine kibabe akisaka waislam
 
Hawa walimu wa dini hii wanaoenda kufundisha dini kwenye shule za umma ni bora wakafuatiliwa kwa maana akili zao haziko sawa. Ni wababe, wana munkari, hawana upendo kwa wanafunzi, mafundisho yao ni ya shuruti, hufanya wanafunzi wao wakimbilie kuliko na upendo na amani kwenye vipindi vya wakristo
 
Video ya inayosambaa mitandaoni ya mwalimu wa madrasa huko Mbagala akiwapiga fimbo watoto wadogo ni mbaya sana. Hata hivyo ukisikiliza wanaochukua hiyo video wanasema siku nyingine huwa anawapiga mpaka hasira zake ziishe! Hii ni hatari kwa usalama wa hao watoto.

Kwa kumuangalia tu huyo mwalimu wa unaweza kuona ni kama mtu mwenye matatizo ya saikolojia lakini pia hana mbinu zozote za kufundisha watoto wadogo. Ni hatari sana kumuacha mtu wa aina hiyo na watoto wadogo.

Ni jambo lenye mashiko kwa serikali kuratibu mafunzo yoyote ya umma ya watoto wadogo kuanzia madrasa hadi madarasa ya kipaimara na komunyio. Serikali iweke vigezo vya msingi vya ujumla vya mtu kuwa mwalimu wa watoto wadogo ikiwemo kuwa na cheti cha mafunzo ya mbinu za kufundisha watoto wadogo kutoka vyuo vya ualimu.
Seriously, we don't need masomo ya dini za kuletewa kwani hazina mantiki yeyote kwa wanetu maana zinawafanya kuwa wajinga zaidi kuamini vitu visivyo na tija maishani mwao. Ebu jiulize, unamkaririsha mtoto Quran mwisho anakuja kufuga majini au kuwa mshirikina maishani, kuna faida gani? Au mtoto anakariri Biblia na kujifunza vitu vya uwongo vilivyomo ndani yake, kuna faida gani hapo? Turekebishe mtaala wetu wa elimu na kuweka historia ya Tanzania na Afrika A MUST kwa kila mwanafunzi, hizi dini za kuletewa ni laana tu kwetu.
 
Video ya inayosambaa mitandaoni ya mwalimu wa madrasa huko Mbagala akiwapiga fimbo watoto wadogo ni mbaya sana. Hata hivyo ukisikiliza wanaochukua hiyo video wanasema siku nyingine huwa anawapiga mpaka hasira zake ziishe! Hii ni hatari kwa usalama wa hao watoto.

Kwa kumuangalia tu huyo mwalimu wa unaweza kuona ni kama mtu mwenye matatizo ya saikolojia lakini pia hana mbinu zozote za kufundisha watoto wadogo. Ni hatari sana kumuacha mtu wa aina hiyo na watoto wadogo.

Ni jambo lenye mashiko kwa serikali kuratibu mafunzo yoyote ya umma ya watoto wadogo kuanzia madrasa hadi madarasa ya kipaimara na komunyio. Serikali iweke vigezo vya msingi vya ujumla vya mtu kuwa mwalimu wa watoto wadogo ikiwemo kuwa na cheti cha mafunzo ya mbinu za kufundisha watoto wadogo kutoka vyuo vya ualimu.
Hao maustash hawachelewi kuwabashia watoto wenu
 
Video ya inayosambaa mitandaoni ya mwalimu wa madrasa huko Mbagala akiwapiga fimbo watoto wadogo ni mbaya sana. Hata hivyo ukisikiliza wanaochukua hiyo video wanasema siku nyingine huwa anawapiga mpaka hasira zake ziishe! Hii ni hatari kwa usalama wa hao watoto.

Kwa kumuangalia tu huyo mwalimu wa unaweza kuona ni kama mtu mwenye matatizo ya saikolojia lakini pia hana mbinu zozote za kufundisha watoto wadogo. Ni hatari sana kumuacha mtu wa aina hiyo na watoto wadogo.

Ni jambo lenye mashiko kwa serikali kuratibu mafunzo yoyote ya umma ya watoto wadogo kuanzia madrasa hadi madarasa ya kipaimara na komunyio. Serikali iweke vigezo vya msingi vya ujumla vya mtu kuwa mwalimu wa watoto wadogo ikiwemo kuwa na cheti cha mafunzo ya mbinu za kufundisha watoto wadogo kutoka vyuo vya ualimu.
Usiende huko, umefika wakati wa kuzikemea hizi dini zisizo na maaili ya Kiafrika (Uislam na Ukristu). Hizi dini zote zipigwe marufuku hapa nchini, wakati umefika wa kuwakomboa wananchi wetu.
 
Seriously, we don't need masomo ya dini za kuletewa kwani hazina mantiki yeyote kwa wanetu maana zinawafanya kuwa wajinga zaidi kuamini vitu visivyo na tija maishani mwao. Ebu jiulize, unamkaririsha mtoto Quran mwisho anakuja kufuga majini au kuwa mshirikina maishani, kuna faida gani? Au mtoto anakariri Biblia na kujifunza vitu vya uwongo vilivyomo ndani yake, kuna faida gani hapo? Turekebishe mtaala wetu wa elimu na kuweka historia ya Tanzania na Afrika A MUST kwa kila mwanafunzi, hizi dini za kuletewa ni laana tu kwetu.
umeamua kubalansi mambo huku ukiwa unajua dini ya kishenzi ni ipi
 
Usiende huko, umefika wakati wa kuzikemea hizi dini zisizo na maaili ya Kiafrika (Uislam na Ukristu). Hizi dini zote zipigwe marufuku hapa nchini, wakati umefika wa kuwakomboa wananchi wetu.
utaanzaje kupiga marufuku dini ya kobazi ambayo ndiyo ina mambo ya hovyo na ujinga mwingi?
 
Kwa nini? Dini ikiruhusu watoto wanywe pombe, wasiende shule au waolewe wakiwa wadogo serikali haitaingilia?
ukute serikali yenyewe imejikita mizizi kwenye dini utaanzaje kuing'oa?
 
Seriously, we don't need masomo ya dini za kuletewa kwani hazina mantiki yeyote kwa wanetu maana zinawafanya kuwa wajinga zaidi kuamini vitu visivyo na tija maishani mwao. Ebu jiulize, unamkaririsha mtoto Quran mwisho anakuja kufuga majini au kuwa mshirikina maishani, kuna faida gani? Au mtoto anakariri Biblia na kujifunza vitu vya uwongo vilivyomo ndani yake, kuna faida gani hapo? Turekebishe mtaala wetu wa elimu na kuweka historia ya Tanzania na Afrika A MUST kwa kila mwanafunzi, hizi dini za kuletewa ni laana tu kwetu.
Wenye dini zao ni kama wamechanjiwa, hawawezi kukuelewa ukizipuuza.
 
Kwa nini? Dini ikiruhusu watoto wanywe pombe, wasiende shule au waolewe wakiwa wadogo serikali haitaingilia?
Unazungumzia uvunjaji wa sheria hapa wakati andiko lako linaongea kitu cha tofauti kabisa na hiki
 
Mafundisho ya komunio na kipaimara hayana adhabu za viboko kabisa.

Utafundishwa, muda wa usaili ukifika, ukishindwa basi hupati sakramenti.

Utarudia tena mwaka unao fuata, hadi ufuzu usaili.
 
Back
Top Bottom